Wanaume mnakera sana

Wanaume mnakera sana

Kashatumiwa Million moja tayari 🤣🤣🤣
Ugonjwa wa Upweke ni mbaya sana. We Strong and Fearless jifunze hata kufanya Mental Travel Time itakusaidia. Halafu Kila Mtu ana shida zake na raha zake lakini watu wametulia wameamua kutulia kwa hekima na busara
 
Weka namba ya Baba mkwe hapa nitume mahari moja kwa moja.

Wewe ndio mwanamke wa kuoa.
 
Kama unaomba kijanja kwetu vile
Haya weka namba nikutumie unachotaka ila usituweke wanaume wote kuwa ni sawa
 
Wanaume mnakera sana. Yani mtu anajua kabisa mwezi huu hajatuma hela ya matumizi Alaf anajikausha, unamkumbusha kwenye text mkiwa mnachat yeye anajibu sms nyingine hiyo anajifanya hajaiona unamtumia tena as a reminder anajibu oh I remember I will send . Anajikausha mpaka siku inaisha.

Ivi mna nn wanaume mnapenda kusumbuliwa eti? Na sio kwamba hela sina ninazo zangu bank sitaki kuzitumia. Yy ameshajicommit kwenye jukumu la matumizi monthly Sasa Mbona ananletea mambo meusi.

Kwan mtu ukiwa muwazi ukasema umeshindwa si bora kila mtu ashike njia yake Au mnaogopa izo kauli?
Sasa simkumbushi tena na simpigii wala simtext na yy akinitafuta sijibu mpaka hela iingie Ndio conversation itaendelea

Mmxxieeww nimechukia sanaa khaaa [emoji35][emoji35][emoji35]
sema dada sema
 
Acha ujinga tafuta hela kwani hujasikia kuwa siku hz ni haki sawa kwa wote? 50/50
 
Wanaume mnakera sana. Yani mtu anajua kabisa mwezi huu hajatuma hela ya matumizi Alaf anajikausha, unamkumbusha kwenye text mkiwa mnachat yeye anajibu sms nyingine hiyo anajifanya hajaiona unamtumia tena as a reminder anajibu oh I remember I will send . Anajikausha mpaka siku inaisha.

Ivi mna nn wanaume mnapenda kusumbuliwa eti? Na sio kwamba hela sina ninazo zangu bank sitaki kuzitumia. Yy ameshajicommit kwenye jukumu la matumizi monthly Sasa Mbona ananletea mambo meusi.

Kwan mtu ukiwa muwazi ukasema umeshindwa si bora kila mtu ashike njia yake Au mnaogopa izo kauli?
Sasa simkumbushi tena na simpigii wala simtext na yy akinitafuta sijibu mpaka hela iingie Ndio conversation itaendelea

Mmxxieeww nimechukia sanaa khaaa 😡😡😡
Kwanini wewe usimtumie?✓
 
Katoe zako huko ulikozichimbia usije lala njaa
Haya mambo si magumu hivyo
 
Wanaume mnakera sana. Yani mtu anajua kabisa mwezi huu hajatuma hela ya matumizi Alaf anajikausha, unamkumbusha kwenye text mkiwa mnachat yeye anajibu sms nyingine hiyo anajifanya hajaiona unamtumia tena as a reminder anajibu oh I remember I will send . Anajikausha mpaka siku inaisha.

Ivi mna nn wanaume mnapenda kusumbuliwa eti? Na sio kwamba hela sina ninazo zangu bank sitaki kuzitumia. Yy ameshajicommit kwenye jukumu la matumizi monthly Sasa Mbona ananletea mambo meusi.

Kwan mtu ukiwa muwazi ukasema umeshindwa si bora kila mtu ashike njia yake Au mnaogopa izo kauli?
Sasa simkumbushi tena na simpigii wala simtext na yy akinitafuta sijibu mpaka hela iingie Ndio conversation itaendelea

Mmxxieeww nimechukia sanaa khaaa 😡😡😡
Kuna ulicho muuzia?
 
Kwamaana nyepesi ni kwamba, unaitumia kama kitege uchumi right...🤔
 
Back
Top Bottom