Wanaume mnakera sana

Kama hajakuoa huna haki yoyote ile ya kulalamika chochote anachokupa ni kama zawadi tuu lakini sio wajibu wake kufanya hivyo mapenzi ni starehe sio kitega uchumi, Mimi kama katibu wa UWABATA Kanda ya kaskazini nimpongeze sana huyo comrade kwa maamuzi mazuri kabisa yenye kutia matumaini, ungeweka jina lake hapa ili tumtambue kwenye kikao kijacho
 
Kuweni makini na hili tangazo …unaweza kukuta ni mwanaume anajifanya mwanamke,,,, jf raha sana
 
Sasa si ungesema tu huyo mwanaume wako, kuliko kutujumuisha wote.Maana kama Mimi niko makini kwa Majukumu yangu.
 
Moja ya post yenye mindset ya kupuuzi kabisa hii ndio mijianamke inayofikiri uchi ndio chanzo cha kupata pesa kwa mwanaume...
 
Kuna wanaume wajinga sana!
 
Eti amekwisha jicommit kutoa matumizi monthly... seriously!
Je akifa utaishije?
Hao ni kama maisha ya kupe ndugu yangu, ng'ombe au mnyama akifa chap-chap wanahamia kwa mnyama mwingine aliye hai. Life goes on.
 
Tafuta Zako Mamii,,unahitaji kiasi gani Kipenzi nikutumie??
 
Komaa nae huyo sio wote, wakati mnageuziana matumbo mkiwa watupu wa kuzaliwa mkifurahi na kugaragara kwa utamu, sisi hatukuwepo
 
Mi huwa nawashangaa Sana nyie ke na mentality zenu!

Fikra tegemezi mtaziacha lini!?
Kama una Hela benki kwanini usubiri za kupewa!!?kwani watakaozila hizo pesa zako hawkuhusu!!?

Kama upon wewe na watoto ambao umewatoa tumboni kwako kwani ukinunua mahitaji ukala nao unapata shida gani!?kwanini usubiri mtu akutumie Hela wakati wewe unazo!!?kwani hao watoto wakifanikiwa hayo matunda atakula huyo mwanamme pekee yake!!?kwani umesahau watoto hai wakikua SI wanasemaga hakuna kama mama!!?sio hakuna Kama baba!!!?


Umejaza ujinga kichwani,ufe njaa na watoto kisa mwanamme hajatuma Hela kwani wewe ukitumia zako unaumwa Nini!!?

Aiseh!!
 
akutumie kisa nini. stop nonsense
 
Embu mwambie kama ameshindwa aseme ili upite na njia yako ukale zako mwenyewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…