Ndio na faida tunagawana kwa wanakikundi wote kila mkopo mkubwa una riba ya asilimia kumi acha mikopo ya chap chap ya mwezi mmoja nayo ina riba kuna faini za watu wasiohudhuria kicoba zote zinakusanywa ndio faida ya kicoba mwisho wa siku mkivunja unapata hela yako na faida juuSi huwa mnachangiana pesa then mmoja anachukua?
Usikatae maana mwaka huu ndio mmenunua tena vitu vya ndani.Mume wangu hata alikuwa hajui sasa 🤣🤣🤣
Kwamba vilibebwa na vikoba🤣🤣🤣Usikatae maana mwaka huu ndio mmenunua tena vitu vya ndani.
Unajisahaulisha mapema? Ukazuga uko nje ya nchi umeenda kuchukua samaki zako kwenye vicoba vingine? 😂😂Kwamba vilibebwa na vikoba🤣🤣🤣
Sasa kwani sikuwa nchi za nje jamani?🤣🤣🤣Unajisahaulisha mapema? Ukazuga uko nje ya nchi umeenda kuchukua samaki zako kwenye vicoba vingine? 😂😂
Kumbe vina faida namna hiyo. Kwa maana hiyo nyie wanavicoba ndio mnafanyq vionekane havina faida kwa kukopa halafu mtu hana biashara matokeo yake kulipa ni mpaka apate aibu.Ndio na faida tunagawana kwa wanakikundi wote kila mkopo mkubwa una riba ya asilimia kumi acha mikopo ya chap chap ya mwezi mmoja nayo ina riba kuna faini za watu wasiohudhuria kicoba zote zinakusanywa ndio faida ya kicoba mwisho wa siku mkivunja unapata hela yako na faida juu
...mimi ni msukuma... najua matumiz ya ela pia... Ila sijatumiaga pesa kwa kias kikubwa hovyo...
Twende zetu tukamsalimie bebé 🥰Sasa kwani sikuwa nchi za nje jamani?🤣🤣🤣
Bebe which?Twende zetu tukamsalimie bebé 🥰
Sijawahi cheza vicoba lakini naona umepwaya sana, pesa inatafutwa kwa kila namna maadam ipatikane, na ikipatikana heshima ni ile ile.Nawaza Hapa,
1. Hivi mwanaume unapata wapi ujasili kucheza kikoba Kama wanawake? Lengo lako Ni Nini hasa? Unajiskiaje kwa mfano.
2. Tena wengine utashangaa kabisa, anakuaga hadharani mwanaume mwenzie kua Anaenda kwenye kikoba! Unabaki unamwangalia Mara mbili mbili humpatii picha.
3. Hivi wanaume wanaocheza vikoba, nao upitia Changamoto kama hizi wanazopitia dada zetu na mama zetu ktk kusaka pesa za marejesho ya vikoba kila baada ya siku kadhaa za wiki au mwezi?
...aha! Basi Fine mr Robert Heriel MtibeliHata Mimi ni Msukuma Mkuu
Na ndio maana kwenye form ya kukopa kuna sehemu ya kuweka dhamana ya vitu vyako unaorodhesha vitu kutokana na thamani ya mkopo unaochukuaKumbe vina faida namna hiyo. Kwa maana hiyo nyie wanavicoba ndio mnafanyq vionekane havina faida kwa kukopa halafu mtu hana biashara matokeo yake kulipa ni mpaka apate aibu.
'hey' sishauri uitumie vile vileNi kweli. Mwanaume hasalimii mambo. Sijawahi na hakuna mshikaji au mwanaume yoyote amewahi nitumia salami ya hivi
Salamu zetu huwa ni
Ukianza na lolote hapo uliyemtumia ataelewa umemsalimia.
- hey
- mkuu
- kamanda
- vp mwamba
- chief
- oyaa
- aje
- oii
- arifu
- bro
Kwa mrembo ukianza na "hello" inatosha.
Ila kama unataka sana kutumia mambo, basi sema "mambo vipi"
Hakuna mwanaume anasema "mambo" , hili ni kosa kubwa sana na mwanaume hawezi kumtumia mwanaume mwenzie hivi.
usalama unakuwaje kwasababu naskiaga sana story za mtu mmoja kukimbia na hela zote...Ndio na faida tunagawana kwa wanakikundi wote kila mkopo mkubwa una riba ya asilimia kumi acha mikopo ya chap chap ya mwezi mmoja nayo ina riba kuna faini za watu wasiohudhuria kicoba zote zinakusanywa ndio faida ya kicoba mwisho wa siku mkivunja unapata hela yako na faida juu
Kuwa mwanaume ni tabu sana kama ndio hivyo masharti kama kwa sangoma.'hey' sishauri uitumie vile vile
yanazoeleka....Kuwa mwanaume ni tabu sana kama ndio hivyo masharti kama kwa sangoma.