Wanaume mnaocheza vikoba mnatia aibu

Wanaume mnaocheza vikoba mnatia aibu

Si huwa mnachangiana pesa then mmoja anachukua?
Ndio na faida tunagawana kwa wanakikundi wote kila mkopo mkubwa una riba ya asilimia kumi acha mikopo ya chap chap ya mwezi mmoja nayo ina riba kuna faini za watu wasiohudhuria kicoba zote zinakusanywa ndio faida ya kicoba mwisho wa siku mkivunja unapata hela yako na faida juu
 
Ndio na faida tunagawana kwa wanakikundi wote kila mkopo mkubwa una riba ya asilimia kumi acha mikopo ya chap chap ya mwezi mmoja nayo ina riba kuna faini za watu wasiohudhuria kicoba zote zinakusanywa ndio faida ya kicoba mwisho wa siku mkivunja unapata hela yako na faida juu
Kumbe vina faida namna hiyo. Kwa maana hiyo nyie wanavicoba ndio mnafanyq vionekane havina faida kwa kukopa halafu mtu hana biashara matokeo yake kulipa ni mpaka apate aibu.
 
VICOBA= Village Community Bank hubadilika na kuwa SACOSS kama unasikia Hazina Sacoss. Sasa hivi maofisi karibia yote ya VIcoba vyao.
 
Nawaza Hapa,

1. Hivi mwanaume unapata wapi ujasili kucheza kikoba Kama wanawake? Lengo lako Ni Nini hasa? Unajiskiaje kwa mfano.

2. Tena wengine utashangaa kabisa, anakuaga hadharani mwanaume mwenzie kua Anaenda kwenye kikoba! Unabaki unamwangalia Mara mbili mbili humpatii picha.

3. Hivi wanaume wanaocheza vikoba, nao upitia Changamoto kama hizi wanazopitia dada zetu na mama zetu ktk kusaka pesa za marejesho ya vikoba kila baada ya siku kadhaa za wiki au mwezi?

Sijawahi cheza vicoba lakini naona umepwaya sana, pesa inatafutwa kwa kila namna maadam ipatikane, na ikipatikana heshima ni ile ile.
Hapa umekurupuka
 
Kumbe vina faida namna hiyo. Kwa maana hiyo nyie wanavicoba ndio mnafanyq vionekane havina faida kwa kukopa halafu mtu hana biashara matokeo yake kulipa ni mpaka apate aibu.
Na ndio maana kwenye form ya kukopa kuna sehemu ya kuweka dhamana ya vitu vyako unaorodhesha vitu kutokana na thamani ya mkopo unaochukua

Mwisho wa siku haujaleta marejesho inachukuliwa akiba yako inalipa deni haitoshi wanachukua baadhi ya vitu vya dhamana vinauzwa hela inarudishwa naona utakuwa umeelewa mkuu
 
Ni kweli. Mwanaume hasalimii mambo. Sijawahi na hakuna mshikaji au mwanaume yoyote amewahi nitumia salami ya hivi

Salamu zetu huwa ni
  • hey
  • mkuu
  • kamanda
  • vp mwamba
  • chief
  • oyaa
  • aje
  • oii
  • arifu
  • bro
Ukianza na lolote hapo uliyemtumia ataelewa umemsalimia.

Kwa mrembo ukianza na "hello" inatosha.

Ila kama unataka sana kutumia mambo, basi sema "mambo vipi"

Hakuna mwanaume anasema "mambo" , hili ni kosa kubwa sana na mwanaume hawezi kumtumia mwanaume mwenzie hivi.
'hey' sishauri uitumie vile vile
 
Ndio na faida tunagawana kwa wanakikundi wote kila mkopo mkubwa una riba ya asilimia kumi acha mikopo ya chap chap ya mwezi mmoja nayo ina riba kuna faini za watu wasiohudhuria kicoba zote zinakusanywa ndio faida ya kicoba mwisho wa siku mkivunja unapata hela yako na faida juu
usalama unakuwaje kwasababu naskiaga sana story za mtu mmoja kukimbia na hela zote...
 
Back
Top Bottom