Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 154,929
- 459,607
Ndio na faida tunagawana kwa wanakikundi wote kila mkopo mkubwa una riba ya asilimia kumi acha mikopo ya chap chap ya mwezi mmoja nayo ina riba kuna faini za watu wasiohudhuria kicoba zote zinakusanywa ndio faida ya kicoba mwisho wa siku mkivunja unapata hela yako na faida juuSi huwa mnachangiana pesa then mmoja anachukua?