Wanaume mnaocheza vikoba mnatia aibu

Upatu ndio mnaocheza mnakuwa mnapeana pesa Kwa kiwango sawa mnapanga muda kama ni wiki au mwezi anapewa mtu pesa

Vicoba ni kama bank jamii yenyew wanaweka hisa/amana Kwa wiki au mwezi inategemea mnavokubaliana Kwa muda mliyokubaliana pia lakin Huwa wanakopeshana Kwa riba na kunawengine hawana riba pia na mara nying humalizwa baada ya mwaka au miak miwili na washiriki Huwa wengi pia
 
Mi nafikir hii inasaidia Kwa wenye malengo ya muda mrefu na wanahitaji pesa nying
Kunamtu ana kipato Cha million Kwa mwez lakin kusave laki 5 ni changamoto ndo Huwa wanatumia njia hii
 
Kiukweli km mtu haupo makini hali ni ngumu hasa kipind Cha marejesho na wengine ndoa zinavunjika kabisa vikoba nafikir vinawafaa walio na kazi au biashara na vinawasaidia
 
Kwahiyo angekopa CRDB wangemsamehe deni?

Umalaya ni hulka ya mtu, aina uhusiano na Vicoba.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…