Mjinga sana mimi
Member
- Aug 18, 2022
- 96
- 331
Jiwe lilitupwa gizani lakiniIla baadhi ya wakaka wa humu ndani mmezidi uongo mno, baadhi ya wadada nawafahamu humu ndani and they're so beautiful and smart, wengine wanaonekana jukwaa la Selfika kule, hayo yenu huwa sijui huwa mnatoka nayo tu wapi..!!
Ama ni mkilala mkiota mnaanza kusimanga watu ovyo humu ndani..!!
Enweiz, 'Beauty is in the eyes of the Beholder'..!!
siingii vipindi.... sipati sup.... hiki chuo hawafuatilii tukifeli wanatuongezea marks 😂haya maisha ya shul wajinga nyie mnachez sana humu mkitoboa chuo niiteni mbwa nimekaa pale😀
nyie ndio wafanyakaz wa ovyosiingii vipindi.... sipati sup.... hiki chuo hawafuatilii tukifeli wanatuongezea marks 😂
nitajiajiri 😂nyie ndio wafanyakaz wa ovyo
utakuja kuomba kaz kila interview hutoboi kumbuka JF kuna vilaza wengi hakuna faida
chuo flani hivi amazing 😂[emoji1787][emoji1787][emoji1787] chuo gani
Si mlisema haki sawa nusu kwa nusu, iweje sisi ndo tutoe pesa peke yetu!Mwanamke mzuri ni kama wazo la Biashara, Bila pesa utabaki kuliongelea tu.
Namna gani vipi unamfata mp public hukoment chochote😂😂 kama scout akiwa anatafta wachezajiiKuna wengine wanaume we unazania demu kumbe jamaa limekaa kutega watu
Ahh, lazima kwanza ukomet ili uone reaction zake ndo sasa unazama pm, usije ukajikuta ww ndo unatongozwaNamna gani vipi unamfata mp public hukoment chochote[emoji23][emoji23] kama scout akiwa anatafta wachezajii
Kwa kweli [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787] Kwahiyo unatushaurije sasa hivi sura zetu za baba halafu tuweke avatar mbaya hapana kwakweli pisi kali kazifate tu insta huku tumebaki mashangazi yako
Haswaaaaaah!!!!Ila baadhi ya wakaka wa humu ndani mmezidi uongo mno, baadhi ya wadada nawafahamu humu ndani and they're so beautiful and smart, wengine wanaonekana jukwaa la Selfika kule, hayo yenu huwa sijui huwa mnatoka nayo tu wapi..!!
Ama ni mkilala mkiota mnaanza kusimanga watu ovyo humu ndani..!!
Enweiz, 'Beauty is in the eyes of the Beholder'..!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Zipo I'd wewe hujawahi kujua hehe... Tatizo mnatembea jf kwa makelele ndio maana mnakutana na madunga embe..[emoji3]