Rashidi Jololo
JF-Expert Member
- Sep 21, 2022
- 1,704
- 2,858
Hapana ni kama BAHARI tu, ukizuia watu wasiogelee coco beach wataogelea Bagamoyo hukoMwanamke mzuri ni kama wazo la Biashara, Bila pesa utabaki kuliongelea tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana ni kama BAHARI tu, ukizuia watu wasiogelee coco beach wataogelea Bagamoyo hukoMwanamke mzuri ni kama wazo la Biashara, Bila pesa utabaki kuliongelea tu.
Ukiona mtu kakurupuka from nowhere anakudiss Ina maana fan wako sana Kila unachofanya anafuatilia,mtu usiyemfuatilia huwezi mkumbukaKabisa yaani watu wote humu hajawaona mpk mimi [emoji28]
[emoji23][emoji23]Wewe ulitaka niwe na sura yako ya kike [emoji1787]
Imekaa Poa sana hii👍Hapana ni kama BAHARI tu, ukizuia watu wasiogelee coco beach wataogelea Bagamoyo huko
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kuna mtu kaangukiwa na kitu nzito [emoji23]
Pole yake [emoji23]Kuna mtu kaangukiwa na kitu nzito [emoji23]
Usipite tu, tembeza dislike za kumwagaNapita tu
Kabisaaaa....tuendelee na moyo huu huuAsante sana. Nishazimwaga za kutosha, na kila nitakapokuta post yake namwaga dislike. Naomba mods watuwezeshe mtu mmoja aweze kuweka dislike zaidi ya moja kwenye post moja.
Hawajui ukweli. We waache tu wajiongopeeIla baadhi ya wakaka wa humu ndani mmezidi uongo mno, baadhi ya wadada nawafahamu humu ndani and they're so beautiful and smart, wengine wanaonekana jukwaa la Selfika kule, hayo yenu huwa sijui huwa mnatoka nayo tu wapi..!!
Ama ni mkilala mkiota mnaanza kusimanga watu ovyo humu ndani..!!
Enweiz, 'Beauty is in the eyes of the Beholder'..!!
KhaaaMoooNiii!!bibi shunie,,,usitufanyie hivyo Binti!!Sio mimi huyooo wala sifananii naye hataa me ni makamo ya bibi yako
🤣🤣🤣🤣😀Atakuwa ana tatizo mwanaume unapendaje avatar ni matatizo ya akili 😀
Yaani nimeangalia avatar yako, yaliyopita mawazoni mwangu, kweli tuna mambo
Huyu tunarara naye mbereeeee..!!1Kazi iendeleee