Wanaume mnaotongoza wanawake kwa kigezo cha avatar mnaenda kupigwa na kitu kizito kichwani

Wanaume mnaotongoza wanawake kwa kigezo cha avatar mnaenda kupigwa na kitu kizito kichwani

Ukweli mchungu ni kwamba

Wanawake wengi (asilimia kubwa) wa humu jf ni
-Jobless
-Hawana ndoa
-Hawana biashara
-Sio warembo wa sura
-wanakaa bado kwa wazazi wao

Wanaume wengi (asilimia kubwa)wa humu jf
-jobless kama mimi (hatuna kazi rasmi)
-Vipato vyetu ni vya kuunga unga (source moja wapo ya vipato vyetu ni kubeti)
-Tuna wapenzi wengi(wazinzi)
-Tunafake maisha nyuma ya simu

Hivyo basi eee kaka usidanganyike na avatar za hawa dada zetu na ewe dada usidanganyike na maneno ya hawa kaka zenu,Nakazia usivutiwe na maonyesho ya hapa jukwaani.

Hali ni ngumu mtaani
Natamani kusema jambo ila ngoja nikae kimyaa
 
Ukweli mchungu ni kwamba

Wanawake wengi (asilimia kubwa) wa humu jf ni
-Jobless
-Hawana ndoa
-Hawana biashara
-Sio warembo wa sura
-wanakaa bado kwa wazazi wao

Wanaume wengi (asilimia kubwa)wa humu jf
-jobless kama mimi (hatuna kazi rasmi)
-Vipato vyetu ni vya kuunga unga (source moja wapo ya vipato vyetu ni kubeti)
-Tuna wapenzi wengi(wazinzi)
-Tunafake maisha nyuma ya simu

Hivyo basi eee kaka usidanganyike na avatar za hawa dada zetu na ewe dada usidanganyike na maneno ya hawa kaka zenu,Nakazia usivutiwe na maonyesho ya hapa jukwaani.

Hali ni ngumu mtaani
Nimejikuta kwenye hizo asilimia za wanaume wa jf mi sipo aiseee daaah
 
Wewe unaona pisi ipo jf na ni mchangiaji kila siku,unategemea iwe pisi kali tangu lini.Pisi nyingi za jf ni jobless,marriageless na beautyless
Huu ni udhalilishaji, ukweli ni kinyume chake na uliyoyaandika hapa.

Wengi sasa hivi hawachangii mada au wanachangia Mara chache sana kwa sababu kizazi kipya cha JF mmekosa adabu na heshima.
 
😂😂😂😂😂
Mleta uzi Faller Sana wewe. Sijui huo uzuri wa mwanamke wewe unauchukuliaje???
 
Ukweli mchungu ni kwamba

Wanawake wengi (asilimia kubwa) wa humu jf ni
-Jobless
-Hawana ndoa
-Hawana biashara
-Sio warembo wa sura
-wanakaa bado kwa wazazi wao

Wanaume wengi (asilimia kubwa)wa humu jf
-jobless kama mimi (hatuna kazi rasmi)
-Vipato vyetu ni vya kuunga unga (source moja wapo ya vipato vyetu ni kubeti)
-Tuna wapenzi wengi(wazinzi)
-Tunafake maisha nyuma ya simu

Hivyo basi eee kaka usidanganyike na avatar za hawa dada zetu na ewe dada usidanganyike na maneno ya hawa kaka zenu,Nakazia usivutiwe na maonyesho ya hapa jukwaani.

Hali ni ngumu mtaani
Apo kwenye kubeti umewatugusa wengi😂😂
 
Wizara ya Mahusiano na Uchumba mko hapa.......

Hili nalo mkalitazme
 
Back
Top Bottom