Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
bei elekezi n sh ngap madam😋😋😋Mavazi hata kasuku anayo
SISI TWATAKA PESA.
Tutawavua hizo nguo tuuze?
We njoo hata uchi uje na kibunda tu
Nyie ndo mnakosaga utamu kwa kupima pima kupitia nguoWanaume mnaovaaga hivi chukueni maua yenu 💐💐💐💐 mnapendezaga sana mnakua sexy. Hapa naamaanisha wanaume warefu wembamba wasio na kitambi. Kama wewe una kitambi au mfupi alafu unavaa haya maua hayakuhusu pita hivi ↪️
View attachment 3147976View attachment 3147976View attachment 3147977View attachment 3147978View attachment 3147979
Wanaovaa hivi wengi matapeliWanaume mnaovaaga hivi chukueni maua yenu 💐💐💐💐 mnapendezaga sana mnakua sexy.
Hapa wanalengwa wanaume warefu wembamba wasio na kitambi. Kama wewe una kitambi au mfupi alafu unavaa ivi haya maua hayakuhusu pita hivi ↪️
View attachment 3147976View attachment 3147976View attachment 3147977View attachment 3147978View attachment 3147979
Umri unamsumbua mkuu😎Kuna mda ukifika utakua na mtazamo mwingine tofauti na huu , wala sio vibaya ni umri wako tu🤔
Sio kweli mkuuWanaovaa hivi wengi matapeli
How much?Mavazi hata kasuku anayo
SISI TWATAKA PESA.
Tutawavua hizo nguo tuuze?
We njoo hata uchi uje na kibunda tu
Wanaonekana kama wavuta bangiDaslamu joto, wanavaa vibukta na sendo😌
Usiku mmoja bei elekezi n sh ngap madam