Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bahati mbaya wa kwako ana kitambi kama guniaWanaume mnaovaaga hivi chukueni maua yenu 💐💐💐💐 mnapendezaga sana mnakua sexy.
Hapa wanalengwa wanaume warefu wembamba wasio na kitambi. Kama wewe una kitambi au mfupi alafu unavaa ivi haya maua hayakuhusu pita hivi ↪️
Huyo buku jelo tubei elekezi n sh ngap madam😋😋😋
Umeongea kinyume chakeWanaovaa hivi wengi matapeli
Anakwambiaa laki 😅😅😅😅..cwezi nunua kitu km k Kwa laki aiseee mkuuHuyo buku jelo tu
Hao wavuta bangi wanakesha wakibetiJe tunaevaa earphone, vibukta,malapa meupe na soksi?
Ukimuona tu moyo unaanza kudundaWembamba warefu weusi
KumekuchaWajumbe wanauliza, Una chura kwanza kabla ya kuhoji hivyo?
Kumeanza kuchangamkaKumekucha
Mh! Mambo yameshakuwa mazito na rahisi kwa wakati mmojaIla dude nyuma ninalo. Tena zigo kweli.
Na najua kulitumia.
Japo sura ndo hyo ya avatar
Aha aha aha ahaaaa!!
Naona mzee.Kumeanza kuchangamka
Mh! Mambo yameshakuwa mazito na rahisi kwa wakati mmoja
Nikibadilisha swagger nitapata nafasi kwenye moyo wako?Hao wavuta bangi wanakesha wakibeti
We jichanganye ndio utakumbuka maneno aliyopenda kutumia mzee Magu winwin situation. Muuza cheni bandia anapewa pesa bandia. Hakuna kuoneana huruma kwenye ulimwengu huuJichanganye ulie!
dadeki!!
Sijawai kuangalia movie za kokoreaMovie za kikorea zimekuharibu
Tunaangalia mavazi na pochiBado mnaangalia tu mavazi??