- Thread starter
- #61
Wakwangu alikua na kitambi nimemtengeneza asaivi wanammezea mate wadada wa mjiniBahati mbaya wa kwako ana kitambi kama gunia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakwangu alikua na kitambi nimemtengeneza asaivi wanammezea mate wadada wa mjiniBahati mbaya wa kwako ana kitambi kama gunia
Wafanye vyoteMuonekano mzuri sana wanaume wengi tunatamani. Shida iko kwenye kulipa bills na ada za shule kwa watoto. Je tuwape maua yao kwa upande huo pia au tubaki kwenye appearance?
Kufanya vyote ni kazi ngumu sana. Kuna uwezekano wa kuwa na muonekano mzuri na pesa pia ila ukakosekana muda wa kuwa na wewe ukawepo muda wa kuwa na yeyote kwa wakati wowote ninaotaka mimi.Wafanye vyote
Ukifuata tamaa ya mwanamke kuyaishi maisha hii dunia itakuwa mbaya sana kuiishi. Ishi uwezavyo mwanamke ajikute ndani ya mfumo wakoMbona wanaume wanaptia wakat mgum Yan had kuvaa mwenyew tupangiwe
Mnunulie zawadi ya mavazi ambayo yanamfanya aonekane smart atakua anavaa atazoeaHuyu wangu mda wote na vijinsi na tisheti navumilia tu ila napenda mtu smart
Hakuna kitu kigumu chini ya juaKufanya vyote ni kazi ngumu sana. Kuna uwezekano wa kuwa na muonekano mzuri na pesa pia ila ukakosekana muda wa kuwa na wewe ukawepo muda wa kuwa na yeyote kwa wakati wowote ninaotaka mimi.
Huyo aliyesema ni mshangazi mwenzio, sema yaonekana yy mshangazi ila ana pesa, tofauti na lishangazi ww.Mavazi hata kasuku anayo
SISI TWATAKA PESA.
Tutawavua hizo nguo tuuze?
We njoo hata uchi uje na kibunda tu
Mrefu mweusi au siyo 🤣🤣🤣
Si useme tu duka lako la nguo.lilipo....porojo nyingi za niniWanaume mnaovaaga hivi chukueni maua yenu 💐💐💐💐 mnapendezaga sana mnakua sexy.
Hapa wanalengwa wanaume warefu wembamba wasio na kitambi. Kama wewe una kitambi au mfupi alafu unavaa ivi haya maua hayakuhusu pita hivi ↪️