Wanaume mnaovaa hivi chukueni maua yenu

Kuna mda ukifika utakua na mtazamo mwingine tofauti na huu , wala sio vibaya ni umri wako t
Nakazia, kuna demu alikuwaga anasema hawez olewa na mwanaume ambaye sio hb, akakutana na hb akammimba na kusepa zake, juz kati nimekutana naye kaniambia anatafuta mzee wa miaka 50+ atulie naye. amechoka, hata sikumuuliza amechoka nn maana nilimwelewa.
 
Inategemea umekujaje. Ila ntakufinyanga popote kuanzia 100k hadi 650k kulingana na appearance ako!!

Ahahahahaha

SITANII
Najua utanii upo kazini kwako mtt wa mujinii๐Ÿ˜‹..

Kazi njema
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ