Nilipe nisepe
JF-Expert Member
- Sep 9, 2024
- 446
- 971
Pesa tafuta mwenyewe ๐Tumechoka wanaume kupewa maua ,ifike wkt mtupee hata pesa enyi wanawakee๐
Wakati uho ww unamuonekano wa kiumeInategemea umekujaje. Ila ntakufinyanga popote kuanzia 100k hadi 650k kulingana na appearance ako!!
Ahahahahaha
SITANII
Shot ngapiInategemea umekujaje. Ila ntakufinyanga popote kuanzia 100k hadi 650k kulingana na appearance ako!!
Ahahahahaha
SITANII
Whats chura?Wajumbe wanauliza, Una chura kwanza kabla ya kuhoji hivyo?
Wakati uho ww unamuonekano wa kiume
Unasema kweli? ๐Kuna mda ukifika utakua na mtazamo mwingine tofauti na huu , wala sio vibaya ni umri wako tu๐ค
MsambwandaWhats chura?
Ndivyo unavyo jidanganya?Ukishapiga bia zako 8 nakuwa kama malaika
Mwanaume smart ana mvuto wake nyie hamjui tuNyie ndo mnakosaga utamu kwa kupima pima kupitia nguo
Nakazia, kuna demu alikuwaga anasema hawez olewa na mwanaume ambaye sio hb, akakutana na hb akammimba na kusepa zake, juz kati nimekutana naye kaniambia anatafuta mzee wa miaka 50+ atulie naye. amechoka, hata sikumuuliza amechoka nn maana nilimwelewa.Kuna mda ukifika utakua na mtazamo mwingine tofauti na huu , wala sio vibaya ni umri wako t
Lipia tangazo la biashara mkuu.Wanaume mnaovaaga hivi chukueni maua yenu ๐๐๐๐ mnapendezaga sana mnakua sexy.
Hapa wanalengwa wanaume warefu wembamba wasio na kitambi. Kama wewe una kitambi au mfupi alafu unavaa ivi haya maua hayakuhusu pita hivi โช๏ธ
Najua utanii upo kazini kwako mtt wa mujinii๐..Inategemea umekujaje. Ila ntakufinyanga popote kuanzia 100k hadi 650k kulingana na appearance ako!!
Ahahahahaha
SITANII
Ndivyo unavyo jidanganya?
Embu wapelekee wastaafu nan anataka kushika paja liloshukaIla dude nyuma ninalo. Tena zigo kweli.
Na najua kulitumia.
Japo sura ndo hyo ya avatar
Aha aha aha ahaaaa!!
Hapana sijasema kweli , natania tu.Unasema kweli? ๐