Mkuu ni rahisi sana ukisweat kwa kiwango kikubwa,shati kukamatana na mwili,kama haujavaa vest,hata hivyo siyo vema shati likipanda juu ya kiuno,boxer kuonekana,vest inazuia mengi.Vest kama unaishi mazingira ya baridi angalau kuongeza joto ila kama unaishi Dar vest sio recommended kabisa maana inaingeza nguo mwilini na kuingeza joto. Unless uwe na kitambi maana vest wakati mwingine hutumika kama sidiria ya kitambi, kushikilia kitambi. Ila kama uko na normal build, nguo tatu tu yaani boxer, suruali na shati zinakutosha.
Njoo uchukue wifiUna tako kubwa mno nigawie kidg
Imeisha hiyoNitumie kwa bus
Tuvae na jeans ndani rafiki?suruali ya kitambaa ifuate juu?π€£Unaweza kuvaa boxer na suruali yakitambaa kicha ukalamba mchomekeo na mchongongo chini?
Amini itakua vituko kama hutoonekana umejinyea basi utaona umekimbiwa na mke nyumbani.
Over...
Tuambie ulikoona hao watu na uvaaji huoKaka zangu kujeni dada enu nawaita.
Unakuta mkaka mzuri sana, kapendeza akiinama labda kuokota kitu unaona boxer ndani na lijikaptula tena lingine kwa ndani kama ya Man u, Yanga au Liverpool.
Mwingine juzi kwenye daladala kasema konda nishushe sehem fulani kusimama kushika juu boxer nyeusi na jezi kaptula ya kijaniπππ.
Mwingine juzi site ya boss wangu, kaambiwa aingie huko juu kufunga nin sijui kupanda kavaa mkaptula wa purple na boxer.
Watu wa namna hii hua wanaficha nin hadi kuvaa vitu viwili viwili na hua hawafukuti joto?
Wanaume wengi wa kanda ya ziwa ndio wako na hii tabia au wanajitunza.
ππππ
Halafu unakuta akiinama kila nguo ipo nje/wazi, kuanzia boxer, bukta na jeans yake...yaani vijana mna mambo sana.π€£Ni mateso na kujitesa sana
Hivi dogo ID yako imepewa life ban?ndo hivyo wanavyovaa wengi
mimi ninaevaa moja naonekana mshamba
kwaiyo unatakaje avae trauza bila nguo za ndani au Avae Boxer tu moja na Trauza?Kaka zangu kujeni dada enu nawaita.
Unakuta mkaka mzuri sana, kapendeza akiinama labda kuokota kitu unaona boxer ndani na lijikaptula tena lingine kwa ndani kama ya Man u, Yanga au Liverpool.
Mwingine juzi kwenye daladala kasema konda nishushe sehem fulani kusimama kushika juu boxer nyeusi na jezi kaptula ya kijaniπππ.
Mwingine juzi site ya boss wangu, kaambiwa aingie huko juu kufunga nin sijui kupanda kavaa mkaptula wa purple na boxer.
Watu wa namna hii hua wanaficha nin hadi kuvaa vitu viwili viwili na hua hawafukuti joto?
Wanaume wengi wa kanda ya ziwa ndio wako na hii tabia au wanajitunza.
ππππ
bado mweziHivi dogo ID yako imepewa life ban?
Ulikosea nini kupewa ban ya mda mrefu namna hiyo?bado mwezi
nilitaja jina halisi la mtuUlikosea nini kupewa ban ya mda mrefu namna hiyo?
Aah hapo ulikosea kweli, unasatahili BAN!!nilitaja jina halisi la mtu