Wanaume mnaovaa nguo za ndani nyingi huwa hamhisi fukuto?

Wanaume mnaovaa nguo za ndani nyingi huwa hamhisi fukuto?

Vest kama unaishi mazingira ya baridi angalau kuongeza joto ila kama unaishi Dar vest sio recommended kabisa maana inaingeza nguo mwilini na kuingeza joto. Unless uwe na kitambi maana vest wakati mwingine hutumika kama sidiria ya kitambi, kushikilia kitambi. Ila kama uko na normal build, nguo tatu tu yaani boxer, suruali na shati zinakutosha.
Mkuu ni rahisi sana ukisweat kwa kiwango kikubwa,shati kukamatana na mwili,kama haujavaa vest,hata hivyo siyo vema shati likipanda juu ya kiuno,boxer kuonekana,vest inazuia mengi.
 
Kaka zangu kujeni dada enu nawaita.

Unakuta mkaka mzuri sana, kapendeza akiinama labda kuokota kitu unaona boxer ndani na lijikaptula tena lingine kwa ndani kama ya Man u, Yanga au Liverpool.

Mwingine juzi kwenye daladala kasema konda nishushe sehem fulani kusimama kushika juu boxer nyeusi na jezi kaptula ya kijani🙆🙆🙆.

Mwingine juzi site ya boss wangu, kaambiwa aingie huko juu kufunga nin sijui kupanda kavaa mkaptula wa purple na boxer.

Watu wa namna hii hua wanaficha nin hadi kuvaa vitu viwili viwili na hua hawafukuti joto?

Wanaume wengi wa kanda ya ziwa ndio wako na hii tabia au wanajitunza.
😊😊😊😊
Tuambie ulikoona hao watu na uvaaji huo
 
Hata mimi siwaelewi, mtu katinga boxer yake(bixe zenyewe kama pensi tu🤪), juu kaweka pensi jekundu la simba, then juu kaweka kadet/jeans...

Unajiuliza sasa hili joto pombou zinapumua kweli?
 
Hata mimi siwaelewi, mtu katinga boxer yake(bixe zenyewe kama pensi tu🤪), juu kaweka pensi jekundu la simba, then juu kaweka kadet/jeans...

Unajiuliza sasa hili joto pombou zinapumua kweli?
Ni mateso na kujitesa sana
 
Kaka zangu kujeni dada enu nawaita.

Unakuta mkaka mzuri sana, kapendeza akiinama labda kuokota kitu unaona boxer ndani na lijikaptula tena lingine kwa ndani kama ya Man u, Yanga au Liverpool.

Mwingine juzi kwenye daladala kasema konda nishushe sehem fulani kusimama kushika juu boxer nyeusi na jezi kaptula ya kijani🙆🙆🙆.

Mwingine juzi site ya boss wangu, kaambiwa aingie huko juu kufunga nin sijui kupanda kavaa mkaptula wa purple na boxer.

Watu wa namna hii hua wanaficha nin hadi kuvaa vitu viwili viwili na hua hawafukuti joto?

Wanaume wengi wa kanda ya ziwa ndio wako na hii tabia au wanajitunza.
😊😊😊😊
kwaiyo unatakaje avae trauza bila nguo za ndani au Avae Boxer tu moja na Trauza?
 
Back
Top Bottom