Dr criminal
JF-Expert Member
- May 16, 2022
- 2,282
- 4,316
[emoji1787][emoji1787]Mtu kaliwa hata mia hajapewa[emoji23][emoji23]
Umalaya kazi sana[emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1787][emoji1787]Mtu kaliwa hata mia hajapewa[emoji23][emoji23]
Umalaya kazi sana[emoji23]
Na wewe ungekuwa na kazi usingeforce kulelewa.Huna kazi ungekuwa na kazi ungekuwa busy
Timu kataa ndoa inakataa "Feminism" ambayo ipo kinyume na Maandiko.Tabia za kina timu kataa ndoa, Mwaka bado huu, tutawavisha sketi kama za shakira watikise hivo vinyonga vyao visivyo na rutuba.
Wanakera sanaTabia za kina timu kataa ndoa, Mwaka bado huu, tutawavisha sketi kama za shakira watikise hivo vinyonga vyao visivyo na rutuba.
ZitakuwaTimu kataa ndoa inakataa "Feminism" ambayo ipo kinyume na Maandiko.
Acheni kuiga sera za Magharibi muone kama hizo timu zitakuwa na nguvu.
Je umeolewa?Wanakera sana
Mvulana tulia.Timu kataa ndoa inakataa "Feminism" ambayo ipo kinyume na Maandiko.
Acheni kuiga sera za Magharibi muone kama hizo timu zitakuwa na nguvu.
Ndiooo Nina watoto ulionipa weweJe umeolewa?
😂😂Wanakera sana
Single mom huna hojaMvulana tulia.
Inakuhusu weweSingle mom huna hoja
😂😂😂Single mom huna hoja
Kwani wewe inakuhusu nini?Inakuhusu wewe
ShoboKwani wewe inakuhusu nini?
Nimekuquote wewe au ni shobo tu?
Huna hela za kunitisha kabisa.😂😂😂
Sema naweza kukulea na ukoo wako.
Sawa.Shobo
Mwanaume maneno mengi kama vile umenyimwa na basha wako.Huna hela za kunitisha kabisa.
Msukuma hawezi lea kabila lenye wasomi wakubwa wa nchi hii.
Nawee unapenda kutunzwa na mwanamke? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ubinafsi umekujaaa kama yeye anakutunza kwanini ww usimtuze
Hii ni type ya wanawake wanao takiwa kuondoka mapema dunian
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaaahView attachment 2560999
Isa 4:1 SUV
Na siku hiyo wanawake saba watamshika mtu mume mmoja wakisema, Tutakula chakula chetu, na kuvaa nguo zetu wenyewe, lakini tuitwe tu kwa jina lako; utuondolee aibu yetu
Kumbe maandiko yanaposema hivi maana yake wanaume wengi watakuwa mashoga alafu sisi wachache tutatafutwa kwa tochi hata mchana wa jua kali [emoji4]