Wanaume mnapenda kutunzwa sio vizuri jishughulisheni

Wanaume mnapenda kutunzwa sio vizuri jishughulisheni

Tabia za kina timu kataa ndoa, Mwaka bado huu, tutawavisha sketi kama za shakira watikise hivo vinyonga vyao visivyo na rutuba.
Timu kataa ndoa inakataa "Feminism" ambayo ipo kinyume na Maandiko.
Acheni kuiga sera za Magharibi muone kama hizo timu zitakuwa na nguvu.
 
Mpaka wenye sura personal nao wanataka kuwa marioo. Jamani mwanaume kusimamia majukumu yake "kwa uwezo wake" inaleta heshima sana kwenye mahusiano. sasa utashangaa leo hii mwanaume eti nae anachoweza changia kwenye mahusiano ni kiuno tu ghaaai
 
Huna hela za kunitisha kabisa.
Msukuma hawezi lea kabila lenye wasomi wakubwa wa nchi hii.
Mwanaume maneno mengi kama vile umenyimwa na basha wako.
Usinitafutie ban mim konokono pori ww.
 
View attachment 2560999

Isa 4:1 SUV​

Na siku hiyo wanawake saba watamshika mtu mume mmoja wakisema, Tutakula chakula chetu, na kuvaa nguo zetu wenyewe, lakini tuitwe tu kwa jina lako; utuondolee aibu yetu

Kumbe maandiko yanaposema hivi maana yake wanaume wengi watakuwa mashoga alafu sisi wachache tutatafutwa kwa tochi hata mchana wa jua kali [emoji4]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaaah
 
Back
Top Bottom