Wanaume mnapenda kutunzwa sio vizuri jishughulisheni

Wanaume mnapenda kutunzwa sio vizuri jishughulisheni

Nyie mnapenda kutunzwa kabisa hampendi wajibu wenu . Kama wanaume mjue ni laana kutunzwa mtageuzwa Kwa kupenda dezo



Mtalazimika kuvishwa vikuku miguni,nashangaa kiunoni sio matusi ila nikweli .

Siku njema haya maisha ni yakuangalia sana .

Kila mwanamke anamtu wakeanayejitolea ikiwemo ndugu na wengineo,mtu kAng'aa sio Bure ni mamillioni anatumia
Baada ya kuliwa Ela zako na mbususu umekuja kutema nyongo humu😅😅
 
View attachment 2560999

Isa 4:1 SUV​

Na siku hiyo wanawake saba watamshika mtu mume mmoja wakisema, Tutakula chakula chetu, na kuvaa nguo zetu wenyewe, lakini tuitwe tu kwa jina lako; utuondolee aibu yetu

Kumbe maandiko yanaposema hivi maana yake wanaume wengi watakuwa mashoga alafu sisi wachache tutatafutwa kwa tochi hata mchana wa jua kali [emoji4]
Ndipo tunapoelekea mkuu tunaona mambo kama LGBTQ huu ndyo mwanzo tu .
 
Kazi ipooooo
Sasa si umuambie humpend ili aachane nawee.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mazoea mwishowee tabia.

Ahahahha aelewi kwahiyo nau yeye analazimika nihudumie
 
Haki sawa. Si ndio matokeo ya kampeni ya 50/50 kuzaa matunda?!

Wacha vijana wahudumiwe.
 
Nyie mnapenda kutunzwa kabisa hampendi wajibu wenu . Kama wanaume mjue ni laana kutunzwa mtageuzwa Kwa kupenda dezo



Mtalazimika kuvishwa vikuku miguni,nashangaa kiunoni sio matusi ila nikweli .

Siku njema haya maisha ni yakuangalia sana .

Kila mwanamke anamtu wakeanayejitolea ikiwemo ndugu na wengineo,mtu kAng'aa sio Bure ni mamillioni anatumia
Mambo si 50/50 ama?
 
NI MATOKEO YA MALEZI YA SINGLE MAMA.
WAO WAMELELEWA KUWA HIVYO
NDIO KWENDA NA WAKATI,
NI MATOKEO YA HARAKATI ZA KUETETEA WANAWAKE
KWA SASA MWANAUME ANAWEZA KUWA MKE WA MTU, AU KULELEWA,AUKUKOSA NGUVU ZA KIUME,

KWA SASA PIGANA VINA VYAKO ISHI MWENYEWE

KATAA NDOA
Ndoa itakataliwa na nyie wabongo tu maana hamtaki kujishughulisha
 
Back
Top Bottom