spidernyoka
JF-Expert Member
- Jan 2, 2020
- 7,557
- 20,477
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bora mana marathon watu wanakimbia kwa miguu na mwendo sio wa kasi ila wanagongana balaaAisee 😃😃,, basi unabahati sikimbiagi mimi😊🤗
Je kama wapo na wame zaoAisee Mambo yanayoendelea Dodoma after marathon ni balaa.
Ni kama watu wenye ndoa wametoka kifungoni they want to experience everything.
Watu wenye Pete ndio wanaongoza kuingia double kwenye rooms za hoteli.
Magari parking yanatingishika balaaa hahaha.
Ni balaaa.
Basi kua na amani kipenzi🤗Bora mana marathon watu wanakimbia kwa miguu na mwendo sio wa kasi ila wanagongana balaa
Ndio nini mti wa nyama?Hahaha Aisee mti wa nyama unaliwa haswa
Hili ndiyo janga Kali, kama mwanamke huwezi kumkataza na akaelewa. Ndoa haipo hapo kiongozi. Ni janga kubwa sana katika ndoa nyingi na linamanifest kutoka kwenye financial capabilities mostly.Kama ulifanikiwa kuona video moja ilikuwa ina-trend sana miezi mitano nyuma mwanamke mmoja feminist aliyemkamata bwege mmoja alikuwa anajitapa kwenye kikao na wenzake akisema yeye akitaka kutoka anatoka kwa sababu hela zake anazo so hana wa kumpangia atoke saa ngapi au arudi saa ngapi!
Vijana wengi wanaoa wanawake ambao hawawezi kuwakataza kufanya yale wasiyoyataka na hata wakijaribu kukataza mwanamke anaenda kwa sababu sponsors wapo akirudi anaingia ndani ya nyumba mume akitingisha kiberiti kesho mwanamke anaamkia kwao kesho kutwa mahakamani wagawane mali.
Hili ndiyo janga Kali, kama mwanamke huwezi kumkataza na akaelewa. Ndoa haipo hapo kiongozi. Ni janga kubwa sana katika ndoa nyingi na linamanifest kutoka kwenye financial capabilities mostly.