Wanaume mnaruhusu vipi wake zenu kushiriki marathon?

Wanaume mnaruhusu vipi wake zenu kushiriki marathon?

Hata bila Marathon ukisikia mwanamke wako ana safari ya Dodoma sali sana. Siku hizi wadada wa mjini wamekuwa na safari nyingi za Dodoma kwenda kufanya umalaya. Mwanamke yeyote mwenye safari za Dodoma muepuke. Kama anapenda safari mkatie tiketi ya Majinja akatalii wilayani Kalambo na sio Dodoma.
 
Well lisemwalo lipo, kama halipo liko njiani na litatokea.
Aliimba pia mmoja wa wasanii wa mziki.

Mahusiano yawe ya ndoa ama uchumba ama urafiki ile ubestie yanataka uaminifu walau kwa asilimia 80 kama 100 zote hazipatikani. Na kwenye uaminifu huo yataka kila mmoja amuamini mwenzake hasa wanapokuwa mbalimbali.

Ukiona wanaotakiwa kuheshimiwa na watu wote (Ndoa naniheshimiwe na watu wote) wenyewe hawaiheshimu hiyo ndoa, wake kwa waume.

Basi ujue joto ni kali wanapunguza mgandamizo wa matukio waliyonayo ndani ya ndoa.

Aliimba mmoja wa wanamuziki.....

Mgeni ameingia hadi chumbanjnkwa baba na mama, mgeni huyu balaa...!!
 
Wacha nijisimulie,

Angalizo, nilifeli kufupisha habari.

Safari moja wakati hizi marathon ndo zinaanza ikiongozwa na Kilimarathon, bosi wangu alikuwa anachangia na akawa anapewa nafasi kadhaa watu anaotaka washiriki, so safari moja itakotea Zanzibar marathon, sikuwa na mwili wa athletic 😄, ila wa kinyamwezi zaidi nikachukua nafasi moja wapo anazopewa boss nikaenda Zanzibar. Ila mahala pa kulala, usafiri na chakula unajitegemea.

Huyo nikachukua kit yangu, boti la jioni hadi Zanzibar nikachukua chumba maeneo ya stone town maana kulikuwa kumejaa wadau. Huku na kule usiku nikaenda forodhani aiseeeh wadau kama wote wanapena vituo tuu vya kuhama, hasa wanaume walikuwa wanasema ukikesha halafu asubuhi yake unakimbia ukishapewa medali yako unaenda kuzimua na mzinga mmoja na supu halafu unaingia kwenye usafiri wa kurudi nyumbani unalala kama roba la kuli.

Basi nikakutana na wadau niliosoma nao chuo, watu wanajikipu figa utasema wanamiaka 20 kumbe 50+...1😋😋😋

So ilikuwa marathon yangu ya kwanza kushiriki na ya mwisho. Nikavutiwa na amsha amsha, nikaunga tela ila nikawapa angalizo asubuhi nikishindwa kukimbia kutokana na uchovu wa kutokulala usikukucha na usingizi ntachukua medali ya mmoja wenu.

Mmoja akaniambia Kasie usijali hapa kama unavyotuona hatupoi, hatulali, tuko na kibasi chetu saa kumi tunarudi vyumbani kuoga na kuvaa nguo za kukimbilia kisha mchakamchaka unaanza. Shurti kilomita 10 ziishe.....😜😜

Tukaanza kuhama viwanja, zanzibar siku hiyo watu hawakulala hadi saa kumi hii hapa, tukarudi vyumbani nikasikitika tuu nimelipia chumba cha bure halafu sijakilalia.

Baada ya kuoga kidogo nijitupe kitandani nilale, qakati nakitizama kitanda saa 11 alfajiri nasikia nagongewa mlango, Kasie kibasi kinakusubiri wewe tuu huyo nikatoka mchaka mchaka ukaanza na spika ya miziki ya amsha amsha hadi uwanja wa kuanza mbio.

Tulipopigiwa kipenga cha kuanza mbio za kilomita 10 hao tukaanza mdogodogo aiseeh usingizi wote ulikata. Sijui kuna maajabu gani ila tunakimbia wote kwa pace moja na hatuachani lengo wote tumalize mbio kiongozi wetu anatuhamasa tumekesha wote medali tutachukua wote ila kila mtu atarudi kwake mwenyewe 🤣🤣🤣🤣🤣

Baada ya kupokea medali, maana kilomita 10 ziliisha nilikuwa na furaha tukaamsha tena mchakamchaka hadi eneo la kunywa supu, wakati nakunywa supu mmoja wa wale wadau akaniambia Kasie marathon ina mambo mengi sana, ukijiingiza humo na huwezi kuhimili unapotea.
Hii njia sisi tunatumia ya kibasi inatulipa sana hatulali na mademu maana kwenye hizi marathon mitego mingi wengine wameungua, mimba zisizotarajiwa zinatungwa magonjwa ya zinaa na kadha wa kadha.

Sasa sisi wazee wenzako tunajiepusha na hayo kwa style ya kutokulala, wanawake wanaotufata wataishia kununuliwa pombe tena kidogo maana hata sisi hatunywi sana ili tuweze kukimbia asubuhi. Ila wanawake wapo wanaojiuza, wapo mashoga wanatafuta mabwana, wako kila aina ya sampuli, akili mukichwa.

Ila marathon ina ulevi na starehe flani ukiuanza huachi hadi uchoke mwenyewe.

So nilirudi na bothya saa sita mchana na kibasi changu kwenye boti tena hatukulala amsha amsha kama zote za vurugu za marathon, yule mdau akaniambia, namna hii unapata wapi muda wa kutongoza demu na kulala nae. Kibasi hakipoiiii tunajiandaa na marathon nyingine Morogoro ya trailer nini nini sijui huko, nashukuru nikarudi nyumbani salama.

Kila mtu na mtazamo wake na namna anachukulia mambo, mabaya yapo na mazuri ya jambo yapo vilevile.

Akili mukichwa.

Kasie Matata.
 
Wacha nijisimulie,

Angalizo, nilifeli kufupisha habari.

Safari moja wakati hizi marathon ndo zinaanza ikiongozwa na Kilimarathon, bosi wangu alikuwa anachangia na akawa anapewa nafasi kadhaa watu anaotaka washiriki, so safari moja itakotea Zanzibar marathon, sikuwa na mwili wa athletic [emoji1], ila wa kinyamwezi zaidi nikachukua nafasi moja wapo anazopewa boss nikaenda Zanzibar. Ila mahala pa kulala, usafiri na chakula unajitegemea.

Huyo nikachukua kit yangu, boti la jioni hadi Zanzibar nikachukua chumba maeneo ya stone town maana kulikuwa kumejaa wadau. Huku na kule usiku nikaenda forodhani aiseeeh wadau kama wote wanapena vituo tuu vya kuhama, hasa wanaume walikuwa wanasema ukikesha halafu asubuhi yake unakimbia ukishapewa medali yako unaenda kuzimua na mzinga mmoja na supu halafu unaingia kwenye usafiri wa kurudi nyumbani unalala kama roba la kuli.

Basi nikakutana na wadau niliosoma nao chuo, watu wanajikipu figa utasema wanamiaka 20 kumbe 50+...1[emoji39][emoji39][emoji39]

So ilikuwa marathon yangu ya kwanza kushiriki na ya mwisho. Nikavutiwa na amsha amsha, nikaunga tela ila nikawapa angalizo asubuhi nikishindwa kukimbia kutokana na uchovu wa kutokulala usikukucha na usingizi ntachukua medali ya mmoja wenu.

Mmoja akaniambia Kasie usijali hapa kama unavyotuona hatupoi, hatulali, tuko na kibasi chetu saa kumi tunarudi vyumbani kuoga na kuvaa nguo za kukimbilia kisha mchakamchaka unaanza. Shurti kilomita 10 ziishe.....[emoji12][emoji12]

Tukaanza kuhama viwanja, zanzibar siku hiyo watu hawakulala hadi saa kumi hii hapa, tukarudi vyumbani nikasikitika tuu nimelipia chumba cha bure halafu sijakilalia.

Baada ya kuoga kidogo nijitupe kitandani nilale, qakati nakitizama kitanda saa 11 alfajiri nasikia nagongewa mlango, Kasie kibasi kinakusubiri wewe tuu huyo nikatoka mchaka mchaka ukaanza na spika ya miziki ya amsha amsha hadi uwanja wa kuanza mbio.

Tulipopigiwa kipenga cha kuanza mbio za kilomita 10 hao tukaanza mdogodogo aiseeh usingizi wote ulikata. Sijui kuna maajabu gani ila tunakimbia wote kwa pace moja na hatuachani lengo wote tumalize mbio kiongozi wetu anatuhamasa tumekesha wote medali tutachukua wote ila kila mtu atarudi kwake mwenyewe [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Baada ya kupokea medali, maana kilomita 10 ziliisha nilikuwa na furaha tukaamsha tena mchakamchaka hadi eneo la kunywa supu, wakati nakunywa supu mmoja wa wale wadau akaniambia Kasie marathon ina mambo mengi sana, ukijiingiza humo na huwezi kuhimili unapotea.
Hii njia sisi tunatumia ya kibasi inatulipa sana hatulali na mademu maana kwenye hizi marathon mitego mingi wengine wameungua, mimba zisizotarajiwa zinatungwa magonjwa ya zinaa na kadha wa kadha.

Sasa sisi wazee wenzako tunajiepusha na hayo kwa style ya kutokulala, wanawake wanaotufata wataishia kununuliwa pombe tena kidogo maana hata sisi hatunywi sana ili tuweze kukimbia asubuhi. Ila wanawake wapo wanaojiuza, wapo mashoga wanatafuta mabwana, wako kila aina ya sampuli, akili mukichwa.

Ila marathon ina ulevi na starehe flani ukiuanza huachi hadi uchoke mwenyewe.

So nilirudi na bothya saa sita mchana na kibasi changu kwenye boti tena hatukulala amsha amsha kama zote za vurugu za marathon, yule mdau akaniambia, namna hii unapata wapi muda wa kutongoza demu na kulala nae. Kibasi hakipoiiii tunajiandaa na marathon nyingine Morogoro ya trailer nini nini sijui huko, nashukuru nikarudi nyumbani salama.

Kila mtu na mtazamo wake na namna anachukulia mambo, mabaya yapo na mazuri ya jambo yapo vilevile.

Akili mukichwa.

Kasie Matata.
Kibasi ndio nini
 
Wewe ukiona MTU kavaa Pete Akili yako inakuambia yupo kwenye Ndoa?

Ndio maana kila Siku nasema humu kuwa Watu hawajui hata maana ya Ndoa.
Hakuna uhusiano wowote baina ya Ndoa, Pete na Cheti cha ndoa. Hakuna.

Ndoa ni Upendo. Upendo upo moyoni.
Kufanya harusi na sijui kutoa Mahari hizo sio ndoa. Ila ni taratibu tuu ambazo Watu wamejiwekea ili wapate maslahi Yao iwe ya furaha na Mali.
 
Bora mana marathon watu wanakimbia kwa miguu na mwendo sio wa kasi ila wanagongana balaa
Mkuu hujui kama ile ni booster mzee. 🤣 Yani mule wanachangamsha mwili na kunywa maji mengi ni kama foreplay damu inasambaa vizuri mwilini. Wakikamatana ni mechi ya dakika 90 yani demu anakojozwa hadi ubongo unamkaa sawa. 🤣
 
Kimsingi ni kweli. Hiki kiitwacho sijui Marathoni ni aina mpya ya ufuska na umalaya na hazina maana yoyote.

Kwa mwanaume yoyote mwenye mke anayeshiriki sijui Marathoni sijui CCM na CDM jua huyo ni malaya. Hakuna mwanamke mwenye heshima na staha zake akishiriki huo upuuzi wa Marathoni na siasa.
 
Aisee Mambo yanayoendelea Dodoma after marathon ni balaa.

Ni kama watu wenye ndoa wametoka kifungoni they want to experience everything.

Watu wenye Pete ndio wanaongoza kuingia double kwenye rooms za hoteli.

Magari parking yanatingishika balaaa hahaha.

Ni balaaa.
Acha wanyamduane,ndoa za Kikiristo zimejaa unafikia isiyo mithilika
 
Back
Top Bottom