Wanaume mnaruhusu vipi wake zenu kushiriki marathon?

Wanaume mnaruhusu vipi wake zenu kushiriki marathon?

Kimsingi ni kweli. Hiki kiitwacho sijui Marathoni ni aina mpya ya ufuska na umalaya na hazina maana yoyote.

Kwa mwanaume yoyote mwenye mke anayeshiriki sijui Marathoni sijui CCM na CDM jua huyo ni malaya. Hakuna mwanamke mwenye heshima na staha zake akishiriki huo upuuzi wa Marathoni na siasa.
Na ushabiki wa soka
 
Nashindwa kukielezea hapa, naomba mtu anayekimbia sana marathon na amekutana na hii style ya kibasi amueleweshe mdau tafadhali.

Ila ngoja nijaribu, ni kikundi cha wakimbiaji ambao wanakimbia pamoja kwa pace moja hawaachani, wanaanza pamoja wanamaliza pamoja. Maranyingi hawa wanafanyaga mazoezi pia pamoja ili kuhimilibpace yao. Huwa wanaimba huku wanakimbia au wanakuwa na kispika wanaweka miziki mbalimbali kupoteza uchovu.

Kinaitwa kibasi sababu wote mnaanza kituo kimoja mnashuka kituo kimoja pamoja, yaani mwanzo wa mbio hafi mwisho wa mbio.

Hawana lengo la kuwa mshindi wa kwanza au wa pili au watatu wao ni kukimbia na kufurahia mbio kama sehemu ya starehe aka starehe inayoumiza ila unaipotezea kama huumii vile...[emoji28][emoji28][emoji28]

Mfano ni kikundi cha vijana wanaofanyaga mazoezi ya kukimbia huku wamevaa jezi zenye nembo ya Wasafi.

That way...[emoji6]

Short story made long...[emoji2356][emoji2356][emoji849]
Nimeelewa mrembo asante sana
 
Wakimbiaji ni watu kama watu wengine kwenye starehe zao...kuna watu wakitoka kuangalia mpira au matamasha mengine lazima waburudike...hata kwenye marathon it's the same...lazima watu wenyewe wadance na wanywe waenjoy...
.Naona NBC dodoma marathon imekuwa second kula bata ,number one baba lao kilimanjaro marathon.
Mimi mwenyewe nikitoka kuzipiga km 21 au 42 kwenye marathon lazima nijipongeze kwa nyama choma,bia na mziki..
 
Wakuu ni kweli mnakimbia hizo 21km au 42km hadi kuzimaliza au ni mbwembwe tu? Kukimbia hata 2km seriously ni muziki mnene mno. Kutoka Posta hadi Ubungo ni 7km je hizo tu mnaziweza?
 
Aisee Mambo yanayoendelea Dodoma after marathon ni balaa.

Ni kama watu wenye ndoa wametoka kifungoni they want to experience everything.

Watu wenye Pete ndio wanaongoza kuingia double kwenye rooms za hoteli.

Magari parking yanatingishika balaaa hahaha.

Ni balaaa.
Kataa ndoa oyeee
 
Back
Top Bottom