Wanaume mpewe nini mtulie?

Umeshaona kifo kimetulia na mtu mmoja?
 
Wanawake wanachangamoto nyingi sana especially kwenye s3x ,Mwanamme yupo ready 24hrs ila mwanamke wanamambo mengi mara redcarpet ,mara kachoka alikuwa anakazi nyumbani ,mara kichwa kinauma,nampikia mtoto,mara napika,mara mara mara mara kibao ,ndiyo maana m/me anaamua kwenda kupunguza nje,
 
Hauna orodha uwataje kma bashite
 
inaonekana unadandia wanaume wasiofaa ndio maana unapata UTI sugu na PID
Soon utapata kaswende akili ikukae sawa
 

Swali hilo sion kwa wanaume pekee, linakwenda kwa wote.

Koo za simba hatuna tatizo hilo.

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…