Hongera sanaMwaka wa Saba huu unaisha sijawahi kuchepuka.
Mwaka wa Saba unaisha sijawahi kuvaa kondo** Wala kuingia gesti kwa ajili ya uzinzi Wala kuhonga Wala kumnunulia Malaya bia Wala kunawa Wala kuliwa koni. Aisee Mambo Ni mengi.
Nimeamka salama kabisa sijui wewe? Eid ni njema sana nasubiri mialiko tu.Umeamkaje pendaelli?
Eid Mubarak
Karibu basi kwetuHya na Mimi nasubiri wangu hpa
Apelekwe unyagoni haraka sana,maana hajawiva huyu!
NakaziaTupeni hela tutatulia.
Kwanin tutulie ?Nimekuwa msomaji wa kimya Ila Leo Nina kitu kooni kimenikaba imebidi niingie nikiweke.
Kwanza kabisa Shikamoo kwa wale wakubwa na habari zenu kwa wale wadogo.
Kumekuwa na tabia ya wakaka na wababa wengi kutotulia kwenye mahusiano. Na wao wamekuwa wakikiri kwamba mwanaume mmoja ana wanawake zaidi ya 1. Hii imekuwa kero Sana kwa wanawake kwa kuwa hawapendezwi na wenza wao kutotulia na mpenzi au mwenza mmoja.
Nawauliza Leo mfanyiwe nini mtulie na mwenza mmoja?
Maana Wanawake wengi wamechoka kupata pid na uti sugu maana kila wakitibiwa mnaleta nyingine huko nje.
Sisemi wote hamjatulia Ila mnaoruka ruka ndio wengi zaidi. Wanawake wamekuwa wakilalamika Sana kwenye vikao vyetu.
Ni mada nimeona niilete.
Asante ni.
Acha kujiuza tutatulia.Nimekuwa msomaji wa kimya Ila Leo Nina kitu kooni kimenikaba imebidi niingie nikiweke.
Kwanza kabisa Shikamoo kwa wale wakubwa na habari zenu kwa wale wadogo.
Kumekuwa na tabia ya wakaka na wababa wengi kutotulia kwenye mahusiano. Na wao wamekuwa wakikiri kwamba mwanaume mmoja ana wanawake zaidi ya 1. Hii imekuwa kero Sana kwa wanawake kwa kuwa hawapendezwi na wenza wao kutotulia na mpenzi au mwenza mmoja.
Nawauliza Leo mfanyiwe nini mtulie na mwenza mmoja?
Maana Wanawake wengi wamechoka kupata pid na uti sugu maana kila wakitibiwa mnaleta nyingine huko nje.
Sisemi wote hamjatulia Ila mnaoruka ruka ndio wengi zaidi. Wanawake wamekuwa wakilalamika Sana kwenye vikao vyetu.
Ni mada nimeona niilete.
Asante ni.
Huku kwetu mwisho wa mji.Hya
Ni wapi?
📌Tuma namba nikutumie na ya kutolea...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wapo wanaotulia dada, isijumuishe.
cacutee Aisee hii ipogo sanaaaaa kwenye ndoa yaan isingekuwa kumuogopa Mungu kasi ya uchepukaji ingekuwa kubwa kupindukiaaaaaaa mke wa ndoa lakini anatoa mwili wake kwa mume ka anatoa kitu cha thamani gan sijui yaan mke hataki kuguswa na mume kitandan , mke yupo kitandan muda wa kumpa mume tendo ye yupo instagram, na ni kwa wengi hii inawatokea kwa hali hii sasa ukute mume ni yule mwenye uhitaji mkubwa wa tendo anaachaje kuchepuka? Sitetei lakini wanawake na wao wajitafakariTatizo hamtupi kwa wakati pale tunapotaka
Mwanaume anatakiwa kuwa na hekahekaEnhee, endelea una kitu kitoe zaidi.
nyumbani tu kusafisha vyoo vimewashinda pamoja na kununuliwa sabuni ya usafi tuwafanyeje uti lazima iwanyooshe,mnashinda tu kwenye sofa na tamthilia ya wahindi wakiongea kiswahiliNimekuwa msomaji wa kimya Ila Leo Nina kitu kooni kimenikaba imebidi niingie nikiweke.
Kwanza kabisa Shikamoo kwa wale wakubwa na habari zenu kwa wale wadogo.
Kumekuwa na tabia ya wakaka na wababa wengi kutotulia kwenye mahusiano. Na wao wamekuwa wakikiri kwamba mwanaume mmoja ana wanawake zaidi ya 1. Hii imekuwa kero Sana kwa wanawake kwa kuwa hawapendezwi na wenza wao kutotulia na mpenzi au mwenza mmoja.
Nawauliza Leo mfanyiwe nini mtulie na mwenza mmoja?
Maana Wanawake wengi wamechoka kupata pid na uti sugu maana kila wakitibiwa mnaleta nyingine huko nje.
Sisemi wote hamjatulia Ila mnaoruka ruka ndio wengi zaidi. Wanawake wamekuwa wakilalamika Sana kwenye vikao vyetu.
Ni mada nimeona niilete.
Asante ni.
Kwenye ndoa pia mnanyimana bila sababu za msingi kumbecacutee Aisee hii ipogo sanaaaaa kwenye ndoa yaan isingekuwa kumuogopa Mungu kasi ya uchepukaji ingekuwa kubwa kupindukiaaaaaaa mke wa ndoa lakini anatoa mwili wake kwa mume ka anatoa kitu cha thamani gan sijui yaan mke hataki kuguswa na mume kitandan , mke yupo kitandan muda wa kumpa mume tendo ye yupo instagram, na ni kwa wengi hii inawatokea kwa hali hii sasa ukute mume ni yule mwenye uhitaji mkubwa wa tendo anaachaje kuchepuka? Sitetei lakini wanawake na wao wajitafakari
Kingine wanawake wa siku hizi wengi wanatumia miili yao kama silaha ya kupata anachotaka, mwanamke yupo kwenye ndoa anataka mume amnunulie kitu fulan, na kwa muda huo labda haiwezekan basi na tendo ananyimwa jumla au anapewa kiduuchu tena kwa masimango sasa umkute mume mwenyewe naye kaamua liwalo na liwe ahh lazima akakule nje....
Ieleweke sitetei dhambi.....