cacutee Aisee hii ipogo sanaaaaa kwenye ndoa yaan isingekuwa kumuogopa Mungu kasi ya uchepukaji ingekuwa kubwa kupindukiaaaaaaa mke wa ndoa lakini anatoa mwili wake kwa mume ka anatoa kitu cha thamani gan sijui yaan mke hataki kuguswa na mume kitandan , mke yupo kitandan muda wa kumpa mume tendo ye yupo instagram, na ni kwa wengi hii inawatokea kwa hali hii sasa ukute mume ni yule mwenye uhitaji mkubwa wa tendo anaachaje kuchepuka? Sitetei lakini wanawake na wao wajitafakari
Kingine wanawake wa siku hizi wengi wanatumia miili yao kama silaha ya kupata anachotaka, mwanamke yupo kwenye ndoa anataka mume amnunulie kitu fulan, na kwa muda huo labda haiwezekan basi na tendo ananyimwa jumla au anapewa kiduuchu tena kwa masimango sasa umkute mume mwenyewe naye kaamua liwalo na liwe ahh lazima akakule nje....
Ieleweke sitetei dhambi.....