Wanaume mpewe nini mtulie?

Kwenye pid na uti hapo nakataa sana...japo ni njia za uambukizaji....lakini angalieni hizo pad na vyoo mnavyotumia...maana mie ni mmoja wa watu ambao sitoki nje na mke wangu pia...lakini maambukizi ndani hayakuisha mpaka tulipobadili style ya maisha.
 
Duh
 
Hongeraaaa sanaaa
 
Safi sana
 
Watatulia kaburini 😂
Tofauti na hapo usijivunje kiuno madam. Hawatuliagi, na hawajui kutulia.
Wewe ndio wakupewa viti maalumu una akili zimepitiliza ,busara yako iko ghorofa ya juu kabisa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…