Wanaume mtujibu


mpuuzi wewe huwezi kuwa mama yangu ata uzae watoto 200 hapo mama yangu atabaki mama yangu na wewe ubaki kuwa mwanamke tu bogazi Kabisa Mama yangu afananishwi na kinyago kama wewe au mtu yoyote hapa Duniani... Mama yangu ni mtu special zaidi ya special
 
Kwani sisi wanawake mmetuweka kwenye kundi gani? Mnatuonaje yaan? Mbali na kuwazaa kuwalea mkakua kwani sisi wanawake mnatuonaje onaje....

Bi mkubwa, kusingekuwa na wanaume ninyi mngezaaje?
 
Wewe kama siyo single mom, basi utakuwa haukunwi vizuri...

Maana siyo kwa grudges ulizonazo kwa sisi wanaume..

Kaa kimasta shangazi, this world is full of sh*t things..
 
Ha ha haa,nimesema wanawake wanawazaa nyie wanaume.... Kwahiyo Leo nijitoe niwe mwanaume? Hapana kwa kweli
 
Wewe kama siyo single mom, basi utakuwa haukunwi vizuri...

Maana siyo kwa grudges ulizonazo kwa sisi wanaume..

Kaa kimasta shangazi, this world is full of sh*t things..
Yeah sure...am single mom...mulemule mkuu
 
Mi nawaona kama mama nyumbu
 
Pole sana, kwa uandishi wako tu inaonyesha kuna kipengele umekutana nacho au unakutana nacho.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…