Wanaume mtujibu

Wanaume mtujibu

Wanawake hamnazo, mtu anakujaje "kukutongoza" anakupiga saundi, fiksi kibao unamkubalia na unampa kibumbu yani unashindwa kujua unapigwa saundi. Hapo tuu ndo nawaonaga akili kisoda.
N:B: Nj mama zetu ila ndo hivyo.
Kwahiyo tusiwaamini kabisa mkuu
 
Ni muhimu mnooo sema ndo vile tena ni wao pekee walifanikiwa kupiga story na nyoka sijui aliwaambia mambo gani kuhusu sisi, nyoka mshenzi yule...
Ha haa,aisee....ila nyoka tunasingizia tu
 
Shida tumechanganywa na tuliyo kopi na kuyaishi sasa shida kuu kurudi kwenye nafasi halisi... Inspiration na matamanio yamekuwa meengi ila Discipline zero....Anguko++
#Nawaonaga Kama Magaidi☢️
Mambo yamebadilika,yaan kote hakutamaniki...daa
 
Kwani sisi wanawake mmetuweka kwenye kundi gani? Mnatuonaje yaani? Mbali na kuwazaa, kuwalea mkakua, kwani sisi wanawake mnatuonaje onaje?

Mfano mimi wakiniuliza wanaume unawaonaje onaje, nitawajibu nawaona kama nyumbu! Maana tabia ya nyumbu ni kusahau, akianza fukuzwa na simba anakimbia dakika moja halafu anaganda, ashasahau kuwa alikuwa anafukuzwa na simba!

Hivyo anajishangaa kwa kitendo chake cha kukimbia pasipo sababu!

Hivi mnakumbuka kweli kwamba sisi ni mama zenu kweli? Sijui mnatuonaje yaani.
Binafsi nawachukulia wanawake kama watoto, sifa ya mtoto ni kutaka na kila kizuri anachokiona bila kuzingatia uwezo wa Mzazi wake, hii hutokea kwa wanawake kupenda kumiliki kila kizuri na kwenda na mitindo ya kisasa kama ya simu, nywele, viatu, mavazi n.k.
Pia mtoto ni kiumbe ambacho huamini kwa haraka kile anachoambiwa au kushawishiwa bila kujiuliza mara mbilimbili kwakuwa wanayaamini zaidi masikio yao kuliko macho yao. Mfano, mwanamke anaweza kuaminishwa kuwa atajengewa ghorofa na mtu ambaye tayari anamjua fika kuwa hana hata uwezo wa kumnunulia kiwanja na bado akaamini kwamba inawezekana anachoambiwa.
Mtoto ni kiumbe ambaye hana msimamo bali anaamini kutokana na nguvu ya ushawishi anayokutana nayo. Mfano; mwanamke anaweza akawa anasema mimi napenda Mwanaume mwenye sifa mathalani ya urefu au rangi fulani, lakini ikatokea short chasis moja hivi ikamjaza maneno vizuri tu mtoto wa kike akajaa mazima.
Kwangu mimi naona ukielewa tabia za watoto basi hakuna mwanamke hapa Duniani anaweza akakusumbua na kama una nia ovu ya kuwatafuna tu, basi nakuhakikishia utakula nyama mpaka meno yatauma

Sent from my TECNO KC6 using JamiiForums mobile app
 
Binafsi nawachukulia wanawake kama watoto, sifa ya mtoto ni kutaka na kila kizuri anachokiona bila kuzingatia uwezo wa Mzazi wake, hii hutokea kwa wanawake kupenda kumiliki kila kizuri na kwenda na mitindo ya kisasa kama ya simu, nywele, viatu, mavazi n.k.
Pia mtoto ni kiumbe ambacho huamini kwa haraka kile anachoambiwa au kushawishiwa bila kujiuliza mara mbilimbili kwakuwa wanayaamini zaidi masikio yao kuliko macho yao. Mfano, mwanamke anaweza kuaminishwa kuwa atajengewa ghorofa na mtu ambaye tayari anamjua fika kuwa hana hata uwezo wa kumnunulia kiwanja na bado akaamini kwamba inawezekana anachoambiwa.
Mtoto ni kiumbe ambaye hana msimamo bali anaamini kutokana na nguvu ya ushawishi anayokutana nayo. Mfano; mwanamke anaweza akawa anasema mimi napenda Mwanaume mwenye sifa mathalani ya urefu au rangi fulani, lakini ikatokea short chasis moja hivi ikamjaza maneno vizuri tu mtoto wa kike akajaa mazima.
Kwangu mimi naona ukielewa tabia za watoto basi hakuna mwanamke hapa Duniani anaweza akakusumbua na kama una nia ovu ya kuwatafuna tu, basi nakuhakikishia utakula nyama mpaka meno yatauma

Sent from my TECNO KC6 using JamiiForums mobile app
Ndiyo maana wengi wao ni wana-CCM.
 
Kuzaa, kunyonyesha n.k hayo huwa ni majukumu yenu kiasili huwa sioni haja ya mwanamke kupewa sifa za ziada kutimiza majukumu yake ya asili.

Lakini pamoja na hayo jinsi ya kike haipewi thamani stahiki katika tamaduni nyingi kuanzia kwenye the so called "vitabu vitakatifu".
 
Kuzaa, kunyonyesha n.k hayo huwa ni majukumu yenu kiasili huwa sioni haja ya mwanamke kupewa sifa za ziada kutimiza majukumu yake ya asili.

Lakini pamoja na hayo jinsi ya kike haipewi thamani stahiki katika tamaduni nyingi kuanzia kwenye the so called "vitabu vitakatifu".
Ni vema umewaambia iliyo kweli.Wanaume wanabeba na kutunza watoto miilini mwao tangu utotoni na hawalalamiki.
 
Unapo mfananisha mwanaume ni kama nyumbu basi wewe ni nyumbu mara 10 ndio maana tunawatala,Nyalakuduku wewe, njoo uniue niko hapa Rock City
 
Back
Top Bottom