Kumekucha Salama
Tuchape Kazi Ndugu Zangu
Tanzania Ni Tajiri [emoji485]
JPM
Mambo Ni mengi muda mchache
Ndiyo Ukweli WenyeweAu nasema uongo ndugu zangu,
Kim kardashian alikuwa millionaire kabla ya huyo kichaa.Nachojua mimi wanawake wa kizungu wengi ni gold diggers,wana mapenzi ya pesa,target zao zikishatimia wanaanzisha chokochoko za kuachana,mwangalie kim kardashian nae hivyohvyo,yaani hawa ni wa kuzalisha bila ndoa we unabaki kulea watoto tu,over
Hata kwa waafrika katika kizazi hiki.Wanaume watafute hela mwanamke hata ukimgo... vp kama huna hela imekula kwako.Nachojua mimi wanawake wa kizungu wengi ni gold diggers,wana mapenzi ya pesa,target zao zikishatimia wanaanzisha chokochoko za kuachana,mwangalie kim kardashian nae hivyohvyo,yaani hawa ni wa kuzalisha bila ndoa we unabaki kulea watoto tu,over
Hakuna cha ukichaa wala nini,kashaona wakiachana atachukua mpunga wa kutosha kasingizia ugonjwa wa mwenzake.Kim kardashian alikuwa millionaire kabla ya Huyo kichaa
Bill gates is too ugly and creepy .it’s time kwa melinda kupata Mwanaume wa ukweli .Huyo ashagundua Bill Gates anatoka na Binti kama Priyanka Chopra yupo mjini Mumbai kwenye penthouse apartment moja kali down town. Sasa mama ukiangalia kila kitu ndiyo kwishney (So sorry for saying that).
My point is, ukiwa na fedha, halafu ni mwanaume. Kwa dunia hii "You are the man", huo ndiyo ukweli. Mmeshika makali.
Mali anazoondoka nazo Melinda.Ukishaanza kuiona ndoa kama ajira hata kama hulipwi ipo siku utaivunja ili upate malipo ya kazi yako.
Nafikiri tuanze kuwatumikisha ipasavyo ili mgawanyo uende kihalali hapo baadae.
By the way hakuna sayansi inayosema mwanaume ndio huwa kifaa chake huwa kinagoma akifika uzeeni. Labda awe na matatizo mengine. Wanaume tumepewa everlasting gift mpata tufe.
mali anazoondoka nazo melinda
View attachment 1772648
View attachment 1772649
View attachment 1772650
View attachment 1772651
Wengine wasaka ngawira kama huyu Melinda ambaye Bill alimtoa kwenye umaskini wa kunuka. Period.Ndoa ni kazi isiyo na mshahara lazima uifanyie kazi ndoa yako .Siku hizi wanawake hawataki pesa zenu tupo juu sana .Heshima muweke mbele mtaachwa .Mzee gates ameachwa document zinaonyesha Hivyo .So wanaume muanze kupika ,piga deki na kufua nguo .wanawake tupo juu Sana,habari ndio hiyo .
View attachment 1772640
Wanaume wa siku hizi hatujali. Tunakugawia kiroho safi maisha yanaendelea kama kawaida. Unatafuta kabinti kabichi pisi kali nako kaje kafaidi mali ili ukizeeka uwe umeacha Legacy ya wa kuwatoa watu kwenye umaskini.mali anazoondoka nazo melinda
View attachment 1772648
View attachment 1772649
View attachment 1772650
View attachment 1772651
He got that money ...Bill gates is too ugly and creepy .it’s time kwa melinda kupata Mwanaume wa ukweli .
Ukishaanza kuiona ndoa kama ajira hata kama hulipwi ipo siku utaivunja ili upate malipo ya kazi yako.
Nafikiri tuanze kuwatumikisha ipasavyo ili mgawanyo uende kihalali hapo baadae.
By the way hakuna sayansi inayosema mwanaume ndio huwa kifaa chake huwa kinagoma akifika uzeeni. Labda awe na matatizo mengine. Wanaume tumepewa everlasting gift mpata
Mhh Melinda ametoka kwenye familia nzuri sana baba ake ni millionaire ,Bill gates yeye ndio alikuwa mtoto wa mlala hoi .Melinda ali kuwa Victorian student( Victorian ni mtu mwenye Akili saaana ) .Wengine wasaka ngawira kama huyu Melinda ambaye Bill alimtoa kwenye umaskini wa kunuka. Period.
Kwa hii statement yako nimeona kuna umuhimu wa kumjengea Dr Reginald Mengi sanamu pale Moshi town.Wanaume wa siku hizi hatujali. Tunakugawia kiroho safi maisha yanaendelea kama kawaida. Unatafuta kabinti kabichi pisi kali nako kaje kafaidi mali ili ukizeeka uwe umeacha Legacy ya wa kuwatoa watu kwenye umaskini.
Mali zenyewe nyingi hivyo hata ukifa bado watafaidi watu. Kwa nini usiwaachie mapema kiroho safi akiwemo uliyeishi naye muda mrefu?