Loser!
Kama nakutana na partner kama wewe kwenye harakati zangu nikajua ulikuwa unafuata mali zangu na ukanichezea akili tugawane nitakugaia ila ndani ya miezi sita utakuwa chini kwenye foot 6 huku mali zikirudi kwa wanangu kwa mlango wa nyuma!
Jaribu hii Africa uone,ila siyo kosa lako kosa ni baba yako kukulea ktk hali ya umaskini wake kiasi unataka kua-dobt tabia za kizungu kwenye uafrika wako,ukisoma mwanzo wa unaoshangilia kuachana kwao hapa utakuta melinda alipoajiriwa microsoft huko 80s na baada ya kutamkiana mapenzi aliwekeza zaidi akili yake pale sasa mianaake mingi ya Kiafrica hutaka kuolewa na waliokwisha fanikiwa hakika ujinga huu ukiuleta hapa hiyo shingo iliyoshikilia kichwa kilichovaa wig itagawanywa!