Wanaume muwe waaminifu na ndoa sio kombolela. Angalieni mtaachwa uzeeni na Wamama hatuzeeki

Wanaume muwe waaminifu na ndoa sio kombolela. Angalieni mtaachwa uzeeni na Wamama hatuzeeki

Bill gates is too ugly and creepy .it’s time kwa melinda kupata Mwanaume wa ukweli .
Screenshot_20210504-123647.png

😂😂
 
Wanaume mna Cha kujifunza juu ya wanawake Kama mnavyo ona akili ya mtoa post.

Ukizembea tu imekula kwako .....zalisha utakomboa mtoto .... Kama wakina 50 cent vile ...... Kuoana na mwanamke mnae chuana uchumi sio hizi takataka unazitoa huko Cha thaman wanacho miliki Ni smart phone na vibegi vya kubebea mafuta ya kulainishia marinda wanavyo nyanduliwa.

Wanawake wa Sasa hauhitaji akili nyingi kwenda nao sawa ,unahitaji moyo mgumu wenye maamuzi magumu.
 
Na mwanamke utayempata halafu akadai talaka ikatakiwa mgawane mali pasu kwa pasu from that day "you will no longer be a man" wao wanaita "mwanaume suruali"
I'm the one enjoying .... Who cares what they call me? Or label me as?
It's almost impossible to be broke ukishafika level ya bill gates.
Mahusiano ya Tandika hayafanani na haya mahusiano ya Bill gates.
 
Ndoa ni kazi isiyo na mshahara lazima uifanyie kazi ndoa yako .Siku hizi wanawake hawataki pesa zenu tupo juu sana .Heshima muweke mbele mtaachwa .Mzee gates ameachwa document zinaonyesha Hivyo .So wanaume muanze kupika ,piga deki na kufua nguo .wanawake tupo juu Sana,habari ndio hiyo .

View attachment 1772640
Kwani kuachwa ni tatizo??? kuna haja gani ya kufuga ng'ombe kama nina uwezo wa kununua maziwa kila siku??
 
Sina utajiri ila nilipokuwa najenga kakibanda kangu nilimkabidhi wife na watoto kuwa nyumba yake na watoto. Hata ikitokea tukiachana ni mali yake sitadai chochote ntasonga mbele na maisha mengine.

Haya mastress mengine tunajitakia tu. Najaribu niishi maisha rahisi yasiyoumiza kichwa.
Safi sana mzee baba hivi vitu tunavitafuta na kuviacha hapa duniani, kufanya hivyo ni upendo mzuri
 
Wote washazeeka wangebaki kulea wajukuu tu sasa,wasituchoshe mashabiki ata tukiwajadili hakuna cha kupunguza wala kuongeza
Aliekuambia kazeeka Nani .Unaona wanawake wa bill gates na trump na bill clinton wanasafirishwa dubai wamekamatwa jumamosi .Huko dubai

528F191D-21EB-4C97-B48D-3A3C1B8B3C5A.jpeg


D87F9041-8097-4866-95BE-DE0AEF5C3288.jpeg


F62AA09B-CD2B-4F6F-B076-F1D9520BDAA4.jpeg


95BC7565-F81F-47B7-A6BE-6ABF527CD901.jpeg
 
I'm the one enjoying .... Who cares what they call me? Or label me as?
It's almost impossible to be broke ukishafika level ya bill gates.
Mahusiano ya Tandika hayafanani na haya mahusiano ya Bill gates.
Unapataje stimu ya kuinjoy kuona mali zako zikienda kwa mwanamke?

Happiness without racks can sometimes be impossible
 
Mhh Melinda ametoka kwenye familia nzuri sana baba ake ni millionaire ,Bill gates yeye ndio alikuwa mtoto wa mlala hoi .Melinda ali kuwa Victorian student( Victorian ni mtu mwenye Akili saaana ) .

Steve job na Melinda walikuwa wote Wakati wa apple .Melinda akamtosa Steve Jobs akaanzisha kampuni ya Microsoft na bill gates .

Melinda anaakili zaidi ya Bill gates .Level ya Akili ya Melinda ni level nyingine .So Melinda yeye ni mwanzilishi wa Microsoft
Mkuu, hii taarifa umeisoma kwenye gaazeti la wachina nini
 
Ndoa ni kazi isiyo na mshahara lazima uifanyie kazi ndoa yako .Siku hizi wanawake hawataki pesa zenu tupo juu sana .Heshima muweke mbele mtaachwa .Mzee gates ameachwa document zinaonyesha Hivyo .So wanaume muanze kupika ,piga deki na kufua nguo .wanawake tupo juu Sana,habari ndio hiyo .

View attachment 1772640
Wamama hamzeeki nani kawadanganya miaka 35 tu mnazeeka na mlivyo walafi wa kula hovyo na mazoezi hamfanyi hata kazi za bustani ni house girl mlio wengi wavivu. Miaka 39 kama bibi wa 60yrs tunawavumilia tu tumezaa. Kazi za ndani tufanye na hela tuwape? Labda tuwe tumerogwa
 
Unapataje stimu ya kuinjoy kuona mali zako zikienda kwa mwanamke?

Happiness without racks can sometimes be impossible
Huwa ni 50%.
Baada ya hapo ni mwendo wa freaky sex on prenup.
 
kumekucha !

ila nawashauri wanaume wajenge maisha yao ya baadae
manake mwisho wa siku hao wanaowahangaikia 85% hawana shukurani including mke na watoto

Naunga Mkono Hoja 🍹

 
Huyo ashagundua Bill Gates anatoka na Binti kama Priyanka Chopra yupo mjini Mumbai kwenye penthouse apartment moja kali down town. Sasa mama ukiangalia kila kitu ndiyo kwishney (So sorry for saying that).

My point is, ukiwa na fedha, halafu ni mwanaume. Kwa dunia hii "You are the man", huo ndiyo ukweli. Mmeshika makali.
Wewe ni muongo. Hii habari ni toka April 7 View attachment 1773047
Yes he is known for bringing women to elites .More bombshell to come
 

Naunga Mkono Hoja 🍹

Kwa nini haswa mnaona mali Katengeneza bill gates .Angalia Wikipedia ya Melinda gates . sio wanaume tu wanaojua kutengeneza pesa bwana .mnatumia wanawake mkifanikiwa mnasepa
 
Wamama hamzeeki nani kawadanganya miaka 35 tu mnazeeka na mlivyo walafi wa kula hovyo na mazoezi hamfanyi hata kazi za bustani ni house girl mlio wengi wavivu. Miaka 39 kama bibi wa 60yrs tunawavumilia tu tumezaa. Kazi za ndani tufanye na hela tuwape? Labda tuwe tumerogwa
Hamuwezi kufanikiwa bila mwanamke mkubali
 
Back
Top Bottom