Bill gates is too ugly and creepy .it’s time kwa melinda kupata Mwanaume wa ukweli .
😂😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bill gates is too ugly and creepy .it’s time kwa melinda kupata Mwanaume wa ukweli .
I'm the one enjoying .... Who cares what they call me? Or label me as?Na mwanamke utayempata halafu akadai talaka ikatakiwa mgawane mali pasu kwa pasu from that day "you will no longer be a man" wao wanaita "mwanaume suruali"
Duuuuh mama anaenda kufaidi mema ya mumewe peke yake.mali anazoondoka nazo melinda
View attachment 1772648
View attachment 1772649
View attachment 1772650
View attachment 1772651
Kwani kuachwa ni tatizo??? kuna haja gani ya kufuga ng'ombe kama nina uwezo wa kununua maziwa kila siku??Ndoa ni kazi isiyo na mshahara lazima uifanyie kazi ndoa yako .Siku hizi wanawake hawataki pesa zenu tupo juu sana .Heshima muweke mbele mtaachwa .Mzee gates ameachwa document zinaonyesha Hivyo .So wanaume muanze kupika ,piga deki na kufua nguo .wanawake tupo juu Sana,habari ndio hiyo .
View attachment 1772640
Wote washazeeka wangebaki kulea wajukuu tu sasa,wasituchoshe mashabiki ata tukiwajadili hakuna cha kupunguza wala kuongezaView attachment 1772930
[emoji23][emoji23]
Safi sana mzee baba hivi vitu tunavitafuta na kuviacha hapa duniani, kufanya hivyo ni upendo mzuriSina utajiri ila nilipokuwa najenga kakibanda kangu nilimkabidhi wife na watoto kuwa nyumba yake na watoto. Hata ikitokea tukiachana ni mali yake sitadai chochote ntasonga mbele na maisha mengine.
Haya mastress mengine tunajitakia tu. Najaribu niishi maisha rahisi yasiyoumiza kichwa.
Wachache sana na wateule tu wanatambua hiliUmenena vema. Tusiumize vichwa sana. Provided una brain na nguvu songa mbele na maisha mengine kiroho safi.
Aliekuambia kazeeka Nani .Unaona wanawake wa bill gates na trump na bill clinton wanasafirishwa dubai wamekamatwa jumamosi .Huko dubaiWote washazeeka wangebaki kulea wajukuu tu sasa,wasituchoshe mashabiki ata tukiwajadili hakuna cha kupunguza wala kuongeza
Unapataje stimu ya kuinjoy kuona mali zako zikienda kwa mwanamke?I'm the one enjoying .... Who cares what they call me? Or label me as?
It's almost impossible to be broke ukishafika level ya bill gates.
Mahusiano ya Tandika hayafanani na haya mahusiano ya Bill gates.
Mkuu, hii taarifa umeisoma kwenye gaazeti la wachina niniMhh Melinda ametoka kwenye familia nzuri sana baba ake ni millionaire ,Bill gates yeye ndio alikuwa mtoto wa mlala hoi .Melinda ali kuwa Victorian student( Victorian ni mtu mwenye Akili saaana ) .
Steve job na Melinda walikuwa wote Wakati wa apple .Melinda akamtosa Steve Jobs akaanzisha kampuni ya Microsoft na bill gates .
Melinda anaakili zaidi ya Bill gates .Level ya Akili ya Melinda ni level nyingine .So Melinda yeye ni mwanzilishi wa Microsoft
Wewe ni muongo. Hii habari ni toka April 7Aliekuambia kazeeka Nani .Unaona wanawake wa bill gates na trump na bill clinton wanasafirishwa dubai wamekamatwa jumamosi .Huko dubai
View attachment 1772995
View attachment 1772996
View attachment 1772997
View attachment 1772998
Wamama hamzeeki nani kawadanganya miaka 35 tu mnazeeka na mlivyo walafi wa kula hovyo na mazoezi hamfanyi hata kazi za bustani ni house girl mlio wengi wavivu. Miaka 39 kama bibi wa 60yrs tunawavumilia tu tumezaa. Kazi za ndani tufanye na hela tuwape? Labda tuwe tumerogwaNdoa ni kazi isiyo na mshahara lazima uifanyie kazi ndoa yako .Siku hizi wanawake hawataki pesa zenu tupo juu sana .Heshima muweke mbele mtaachwa .Mzee gates ameachwa document zinaonyesha Hivyo .So wanaume muanze kupika ,piga deki na kufua nguo .wanawake tupo juu Sana,habari ndio hiyo .
View attachment 1772640
Huwa ni 50%.Unapataje stimu ya kuinjoy kuona mali zako zikienda kwa mwanamke?
Happiness without racks can sometimes be impossible
Huyo ashagundua Bill Gates anatoka na Binti kama Priyanka Chopra yupo mjini Mumbai kwenye penthouse apartment moja kali down town. Sasa mama ukiangalia kila kitu ndiyo kwishney (So sorry for saying that).
My point is, ukiwa na fedha, halafu ni mwanaume. Kwa dunia hii "You are the man", huo ndiyo ukweli. Mmeshika makali.
Yes he is known for bringing women to elites .More bombshell to comeWewe ni muongo. Hii habari ni toka April 7 View attachment 1773047
Kwa nini haswa mnaona mali Katengeneza bill gates .Angalia Wikipedia ya Melinda gates . sio wanaume tu wanaojua kutengeneza pesa bwana .mnatumia wanawake mkifanikiwa mnasepaNaunga Mkono Hoja 🍹
Hamuwezi kufanikiwa bila mwanamke mkubaliWamama hamzeeki nani kawadanganya miaka 35 tu mnazeeka na mlivyo walafi wa kula hovyo na mazoezi hamfanyi hata kazi za bustani ni house girl mlio wengi wavivu. Miaka 39 kama bibi wa 60yrs tunawavumilia tu tumezaa. Kazi za ndani tufanye na hela tuwape? Labda tuwe tumerogwa
Huyu kaka yupo kwenye circle na Jeffrey Epstein na bill clinton na Trump na Putin .Wewe ni muongo. Hii habari ni toka April 7 View attachment 1773047