Wanaume muwe waaminifu na ndoa sio kombolela. Angalieni mtaachwa uzeeni na Wamama hatuzeeki

Wanaume muwe waaminifu na ndoa sio kombolela. Angalieni mtaachwa uzeeni na Wamama hatuzeeki

Mhh Melinda ametoka kwenye familia nzuri sana baba ake ni millionaire ,Bill gates yeye ndio alikuwa mtoto wa mlala hoi .Melinda ali kuwa Victorian student( Victorian ni mtu mwenye Akili saaana ) .Steve job na Melinda walikuwa wote Wakati wa apple .Melinda akamtosa Steve Jobs akaanzisha kampuni ya Microsoft na bill gates .Melinda anaakili zaidi ya Bill gates .Level ya Akili ya Melinda ni level nyingine .So Melinda yeye ni mwanzilishi wa Microsoft
Hivyo kwa vyovyote vile Bill anagawana mali na mkewe kiroho safi. Hata hivyo Melinda kuwa na akili au kutoka familia ya kitajiri haimaanishi Bwana Bill hakuwa safi kichwani vinginevyo hata jina lake lisingekuwepo kwenye ramani ya dunia maana angekuwa Marioo kama wa kibongo
 
Mleta mada na Melinda wote Wana akil sawa mchunguze tu comment zake anafurah Melinda kumuacha bilgate


Sio mbaya ndio wanawake tulionao akili zao zpo kwenye vitu kuliko upendo unaonesha vitu atakavyopata maana yake umefurah vp wewe mumeo au mchepuko wako ana Mali Kama hizo ili ukaombe talaka
 
Mhh Melinda ametoka kwenye familia nzuri sana baba ake ni millionaire ,Bill gates yeye ndio alikuwa mtoto wa mlala hoi .Melinda ali kuwa Victorian student( Victorian ni mtu mwenye Akili saaana ) .Steve job na Melinda walikuwa wote Wakati wa apple .Melinda akamtosa Steve Jobs akaanzisha kampuni ya Microsoft na bill gates .Melinda anaakili zaidi ya Bill gates .Level ya Akili ya Melinda ni level nyingine .So Melinda yeye ni mwanzilishi wa Microsoft
Umetumia mizani gani ya kupima akili za hao watu!!??
au umetumia hii ya kupimia nyama
 
Ndoa ni kazi isiyo na mshahara lazima uifanyie kazi ndoa yako .Siku hizi wanawake hawataki pesa zenu tupo juu sana .Heshima muweke mbele mtaachwa .Mzee gates ameachwa document zinaonyesha Hivyo .So wanaume muanze kupika ,piga deki na kufua nguo .wanawake tupo juu Sana,habari ndio hiyo .

View attachment 1772640
kama si umbea ni nn? kwamba chanzo cha kuachana ni nguv za kiume?
Wabongo mna shida ya ku conclude mambo kabla hata ya kujua sababu yenyewe.
 
Huyo ashagundua Bill Gates anatoka na Binti kama Priyanka Chopra yupo mjini Mumbai kwenye penthouse apartment moja kali down town. Sasa mama ukiangalia kila kitu ndiyo kwishney (So sorry for saying that).

My point is, ukiwa na fedha, halafu ni mwanaume. Kwa dunia hii "You are the man", huo ndiyo ukweli. Mmeshika makali.
Siwezi kuwa na mihela yote alafu nisile mbususu mpya that is abomination.....
 
Mhh Melinda ametoka kwenye familia nzuri sana baba ake ni millionaire ,Bill gates yeye ndio alikuwa mtoto wa mlala hoi .Melinda ali kuwa Victorian student( Victorian ni mtu mwenye Akili saaana ) .Steve job na Melinda walikuwa wote Wakati wa apple .Melinda akamtosa Steve Jobs akaanzisha kampuni ya Microsoft na bill gates .Melinda anaakili zaidi ya Bill gates .Level ya Akili ya Melinda ni level nyingine .So Melinda yeye ni mwanzilishi wa Microsoft
Kwahio hii ni kutaka kumfanya Bill Gates aonekane kiande tu kwa mkewe! Hebu acha uchizi fundi kompyuta tunamjua mzee wa windows 95 acha porojo
 
Ww ndio hakimu wa hiyo kesi!!??
Huyu bwege kafurahia mali akili za kimaskini hizi! Melinda anaachana sababu ya furaha kuisha au sababu ya misuguano ya kihisia! We unachekelea nyumba hizo sio ishu kwa wenzetu wala haiwezi mpunguzia chochote bill Gates mzee wa kuku 😂😂😂!

Kugawana mali kunatutesaga sisi tu ambao kuna kajumba kamoja tulikojenga kwa kula dagaa miaka mitatu na kulipa mkopo benki! Sasa jamaa hela iliopo bank anaweza nunua huo mtaa upya na wala asiyumbe unahisi kuna kitu atapungukiwa pole sana!
 
Na msema kweri ni mpenzi wa Mungu
Msema Kweli Ni Mpenzi Wa Mungu
Wenzangu Wote Mmewapa Miaka 10
Mimi Tu Ndiyo Mninyime?Nimewakosea Nini
😁🍷😀😂😃🍷🍸
JPM
 
Back
Top Bottom