Wanaume muwe waaminifu na ndoa sio kombolela. Angalieni mtaachwa uzeeni na Wamama hatuzeeki

Wanaume muwe waaminifu na ndoa sio kombolela. Angalieni mtaachwa uzeeni na Wamama hatuzeeki

😂😂😂 wanawake wa sasa mnachekesha hivi ni nani anawaambia mwanaume anazeeka.wanaume wanaozeeka ni beta males wanaoishi kimayai ila sisi wengine tunapeleka moto kama kawa tunazeeka ngozi tu😂😂😂😂ila body linafanyiwa tizi kwa ajili ya kuzalisha vibinti vyenye chuchu zao.sio wewe mwenye kandoro na minyama uzembe kwanza utakichepuka unakuwa haumizi mtu bali unachukesha😂😂😂😂 eti limama zima lenye miaka 45 unataka kushindana na slay queen wa mjini aiseee imbombo ngafu!!!!😂😂😂😂
 
Wanaume wa siku hizi hatujali. Tunakugawia kiroho safi maisha yanaendelea kama kawaida. Unatafuta kabinti kabichi pisi kali nako kaje kafaidi mali ili ukizeeka uwe umeacha Legacy ya wa kuwatoa watu kwenye umaskini.

Mali zenyewe nyingi hivyo hata ukifa bado watafaidi watu. Kwa nini usiwaachie mapema kiroho safi akiwemo uliyeishi naye muda mrefu?
My brother nagonga like, men we are born to hustle sasa ya nini tuwe na wasiwasi mwanamke anapodai mali mgao, mali tutakufa tutaziacha, zikipotea tutazitafuta tena kwanza Mungu atazidi kubariki zaidi, na isitoshe mwanamke unaemuachia amezaa nawe ni watoto pia watafaidi, namshangaa sana mleta mada kushadadia kwa mwanaume kufirisika shameful
 
Wanaume wa siku hizi hatujali. Tunakugawia kiroho safi maisha yanaendelea kama kawaida. Unatafuta kabinti kabichi pisi kali nako kaje kafaidi mali ili ukizeeka uwe umeacha Legacy ya wa kuwatoa watu kwenye umaskini.

Mali zenyewe nyingi hivyo hata ukifa bado watafaidi watu. Kwa nini usiwaachie mapema kiroho safi akiwemo uliyeishi naye muda mrefu?
Yani wewe jamaa ni moja watu very gentleman only if its true unaishi kwenye maanidishi haya uliyoandika hapa , upo vizuri sana kama upo positive hivi wewe Mungu atakubariki sana, umeongea vyema sana i wish most of men wachukue ushauri wako watafaidika sana, naongea hivi kwa kuwa napenda sana kuona mwanaume kuwaza kiujasiri hivi
 
Mhh Melinda ametoka kwenye familia nzuri sana baba ake ni millionaire ,Bill gates yeye ndio alikuwa mtoto wa mlala hoi .Melinda ali kuwa Victorian student( Victorian ni mtu mwenye Akili saaana ) .

Steve job na Melinda walikuwa wote Wakati wa apple .Melinda akamtosa Steve Jobs akaanzisha kampuni ya Microsoft na bill gates .

Melinda anaakili zaidi ya Bill gates .Level ya Akili ya Melinda ni level nyingine .So Melinda yeye ni mwanzilishi wa Microsoft
Wewe una Ukichaa, Karudie kusoma Historia... Hakuna Mtu anaitwa Melinda kwenye Historia ya Microsoft.
 
We anakuhusu nini mtu mwenyewe unaishi kwa chini ya dola moja kwa siku, kwahiyo we unamsujudu kwakuwa ana hela nenda basi akakuoe wewe
Nan amekwambia mm namsujudu,acha mawazi mgando ww pan'gan'gaa,mnapinga teknolojia ya mzungu ili hali hapa unanijibu kwa kutumia teknolojia ya mzungu,madawa yenyewe mnaletewa na hao hao wazungu pan'gan'gaa wewe
 
Mhh Melinda ametoka kwenye familia nzuri sana baba ake ni millionaire ,Bill gates yeye ndio alikuwa mtoto wa mlala hoi .Melinda ali kuwa Victorian student( Victorian ni mtu mwenye Akili saaana ) .

Steve job na Melinda walikuwa wote Wakati wa apple .Melinda akamtosa Steve Jobs akaanzisha kampuni ya Microsoft na bill gates .

Melinda anaakili zaidi ya Bill gates .Level ya Akili ya Melinda ni level nyingine .So Melinda yeye ni mwanzilishi wa Microsoft
AAaaaaa kweli hiyo?: Mbona search inaonyesha Founder ni Paul Allen na Billy Gates chini ya CEO: Satya Nadella
 
Huyo ashagundua Bill Gates anatoka na Binti kama Priyanka Chopra yupo mjini Mumbai kwenye penthouse apartment moja kali down town. Sasa mama ukiangalia kila kitu ndiyo kwishney (So sorry for saying that).

My point is, ukiwa na fedha, halafu ni mwanaume. Kwa dunia hii "You are the man", huo ndiyo ukweli. Mmeshika makali.
Na mwanamke utayempata halafu akadai talaka ikatakiwa mgawane mali pasu kwa pasu from that day "you will no longer be a man" wao wanaita "mwanaume suruali"
 
Ndoa ni kazi isiyo na mshahara lazima uifanyie kazi ndoa yako .Siku hizi wanawake hawataki pesa zenu tupo juu sana .Heshima muweke mbele mtaachwa .Mzee gates ameachwa document zinaonyesha Hivyo .So wanaume muanze kupika ,piga deki na kufua nguo .wanawake tupo juu Sana,habari ndio hiyo .

View attachment 1772640
Sababu ni kwamba Walienda Tanga Mapenzi yalikozaliwa, Mzee Gates kashindwa kuvumilia huenda Kampata Mwajuma Ndala ndefu wa Kibanda Maiti Muheza Tanga
 
Bill gates is too ugly and creepy .it’s time kwa melinda kupata Mwanaume wa ukweli .
Too ugly ukim-compare na nani?

Mi naamini bi kidude angepata fursa ya kuwa na pesa usingeweza kumringanisha na huyo melinda kwa urembo.
 
Yani wewe jamaa ni moja watu very gentleman only if its true unaishi kwenye maanidishi haya uliyoandika hapa , upo vizuri sana kama upo positive hivi wewe Mungu atakubariki sana, umeongea vyema sana i wish most of men wachukue ushauri wako watafaidika sana, naongea hivi kwa kuwa napenda sana kuona mwanaume kuwaza kiujasiri hivi
Sina utajiri ila nilipokuwa najenga kakibanda kangu nilimkabidhi wife na watoto kuwa nyumba yake na watoto. Hata ikitokea tukiachana ni mali yake sitadai chochote ntasonga mbele na maisha mengine.

Haya mastress mengine tunajitakia tu. Najaribu niishi maisha rahisi yasiyoumiza kichwa.
 
My brother nagonga like, men we are born to hustle sasa ya nini tuwe na wasiwasi mwanamke anapodai mali mgao, mali tutakufa tutaziacha, zikipotea tutazitafuta tena kwanza Mungu atazidi kubariki zaidi, na isitoshe mwanamke unaemuachia amezaa nawe ni watoto pia watafaidi, namshangaa sana mleta mada kushadadia kwa mwanaume kufirisika shameful
Umenena vema. Tusiumize vichwa sana. Provided una brain na nguvu songa mbele na maisha mengine kiroho safi.
 
Kamwambie baba yako kwanza.ukimalizana nae uje kwetu.
 
Uzuri mwanamke mwenyewe alikuta Bill tayari ana microsoft yake huyo maza alikua kijakazi kwny hio Co. kabla hajamuoa na huyo maza alishasainishwa prenup mwaka 1994.

Pole sana Joyce Kiria


Haya Gates nenda katembeze pumbu huko mtaani uwape maisha na wanawake wengine huko duniani.7
Nilikuwa najiuliza Bill gates hana prenup? Dunia hii wanawake hawa kama mleta mada unaanzaje kuruka bila parachute!
 
Back
Top Bottom