Wanaume muwe waaminifu na ndoa sio kombolela. Angalieni mtaachwa uzeeni na Wamama hatuzeeki

Wamefunga ndoa 1994.

Microsoft imeanzishwa 1970s au 1980s.
 
Limbukeni tu huyo.

Mali zenyewe kuzitunza zinamtokea puani.
 
Ma-Super women hamkosekanaga.

What if mellinda ndie mchimbachumvi kwenye ndoa .

The smell of money drive some feminists crazy

Sent from my TECNO P703 using JamiiForums mobile app
Ukweli ni kwamba Bill alikuwa bilionea wakati anamuoa Melinda.

Bill amelelewa familia ya kitajiri. Ukoo wa Gates ni mamilionea miaka na miaka.

Sawa na Bezos na Zuckerberg.
 
Kumbe kuna Prenup ilisainiwa?

Gates amecheza kama pele.

Huyo Melinda sahivi atafute vyanzo vingine.
 
Kwa nini haswa unafikiri wanaume ndio wanaotengeneza pesa Jamani
Ni pesa ya mwanaume ndo huwa inatumika na anayetoa hana kinyongo za kwenu mpaka mtoe ni vikao 7 vikae na atakayepewa labda awe mtoto wako au wazazi wako.Ukimpa mwanaume kumi huo ni mkakati wa kuvuna mia.Na kama imetokea dharura utamsema nayo mpaka ndevu zing'oke.
 
Na mwanamke utayempata halafu akadai talaka ikatakiwa mgawane mali pasu kwa pasu from that day "you will no longer be a man" wao wanaita "mwanaume suruali"
Usiogope hilo la kugawana kwani aliyetafuta bado atasimama tena na maisha yatasonga otherwise utakuwa katika ndoa ya mateso.
 
Watu wanatalikiana kwa kupeana mabilioni ya dola huko, ugonjwa wa moyo wanapata Waafrika mbaali kwa mjadala utafikiri walikuwa nao nyumba moja!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] umenikumbusha mbali sana kwa comment yako ile.
 
Uongo
Hasa hapo kwny kuanzisha Microsoft
 
Mimi hata nikikuoa hata ukitoka kulala na mabwana zako nipo tayari kukufulia chupi zako ambazo wamezichafua,. Uko sahihi kabisa inabidi wanaume tubadilike tuwatii wanawake maana kiuhalisia kushindana nao hautwezi.
 
Hahahahahahah acha tu,,, yani hela ya mwanamke ina masimango balaa hata ikiwa umeomba ujazilizie kwenye mzunguko wa biashara ole wako hio biashara izingue isiende sawa halafu ile hela iwe imekufa. Hamna rangi utaacha kuiona aisee!
 
Hahahahahah nimecheka sana
 
Unapataje stimu ya kuinjoy kuona mali zako zikienda kwa mwanamke?

Happiness without racks can sometimes be impossible
Hela ya kitoto kama trillion 3 iende ubakie na trill 123 Kuna kuumia gani hapo! Yani ni sawa na mtu una million 123 halafu umlipe kivuruge million 3 akuondolee balaa kwenye maisha yako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…