Wamefunga ndoa 1994.Mhh Melinda ametoka kwenye familia nzuri sana baba ake ni millionaire ,Bill gates yeye ndio alikuwa mtoto wa mlala hoi .Melinda ali kuwa Victorian student( Victorian ni mtu mwenye Akili saaana ) .
Steve job na Melinda walikuwa wote Wakati wa apple .Melinda akamtosa Steve Jobs akaanzisha kampuni ya Microsoft na bill gates .
Melinda anaakili zaidi ya Bill gates .Level ya Akili ya Melinda ni level nyingine .So Melinda yeye ni mwanzilishi wa Microsoft
Limbukeni tu huyo.Mleta mada na Melinda wote Wana akil sawa mchunguze tu comment zake anafurah Melinda kumuacha bilgate
Sio mbaya ndio wanawake tulionao akili zao zpo kwenye vitu kuliko upendo unaonesha vitu atakavyopata maana yake umefurah vp wewe mumeo au mchepuko wako ana Mali Kama hizo ili ukaombe talaka
Ukweli ni kwamba Bill alikuwa bilionea wakati anamuoa Melinda.Ma-Super women hamkosekanaga.
What if mellinda ndie mchimbachumvi kwenye ndoa .
The smell of money drive some feminists crazy
Sent from my TECNO P703 using JamiiForums mobile app
Kumbe kuna Prenup ilisainiwa?Uzuri mwanamke mwenyewe alikuta Bill tayari ana microsoft yake huyo maza alikua kijakazi kwny hio Co. kabla hajamuoa na huyo maza alishasainishwa prenup mwaka 1994.
Pole sana Joyce Kiria
Haya Gates nenda katembeze pumbu huko mtaani uwape maisha na wanawake wengine huko duniani.7
Hamuwezi kufanikiwa bila mwanamke mkubali
Watu wanatalikiana kwa kupeana mabilioni ya dola huko, ugonjwa wa moyo wanapata Waafrika mbaali kwa mjadala utafikiri walikuwa nao nyumba moja![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ni pesa ya mwanaume ndo huwa inatumika na anayetoa hana kinyongo za kwenu mpaka mtoe ni vikao 7 vikae na atakayepewa labda awe mtoto wako au wazazi wako.Ukimpa mwanaume kumi huo ni mkakati wa kuvuna mia.Na kama imetokea dharura utamsema nayo mpaka ndevu zing'oke.Kwa nini haswa unafikiri wanaume ndio wanaotengeneza pesa Jamani
Usiogope hilo la kugawana kwani aliyetafuta bado atasimama tena na maisha yatasonga otherwise utakuwa katika ndoa ya mateso.Na mwanamke utayempata halafu akadai talaka ikatakiwa mgawane mali pasu kwa pasu from that day "you will no longer be a man" wao wanaita "mwanaume suruali"
Kurizidhika kupo ndani ya mtu hakuna uhusiano na wingi wa mali au fedhaNi Hela kiasi gani inayohitajika kumfanya mwanamke asikusumbue?
Hivi ni sababu gani imepelekea Melinda na Billy kutalikiana, anayejua anisaidie.Ingawa najua sababu ya Bi Kijuu kuachana na Mumewe Dk. Shitambala.tuonyeshe na mali alizobaki nazo mzee gates.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] umenikumbusha mbali sana kwa comment yako ile.Watu wanatalikiana kwa kupeana mabilioni ya dola huko, ugonjwa wa moyo wanapata Waafrika mbaali kwa mjadala utafikiri walikuwa nao nyumba moja!
Najua nimegusa mulemule![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] umenikumbusha mbali San kwa comment yako ile.
UongoMhh Melinda ametoka kwenye familia nzuri sana baba ake ni millionaire ,Bill gates yeye ndio alikuwa mtoto wa mlala hoi .Melinda ali kuwa Victorian student( Victorian ni mtu mwenye Akili saaana ) .
Steve job na Melinda walikuwa wote Wakati wa apple .Melinda akamtosa Steve Jobs akaanzisha kampuni ya Microsoft na bill gates .
Melinda anaakili zaidi ya Bill gates .Level ya Akili ya Melinda ni level nyingine .So Melinda yeye ni mwanzilishi wa Microsoft
Huo ndio ukweliUkweli ni kwamba Bill alikuwa bilionea wakati anamuoa Melinda.
Bill amelelewa familia ya kitajiri. Ukoo wa Gates ni mamilionea miaka na miaka.
Sawa na Bezos na Zuckerberg.
Hahahahahahah acha tu,,, yani hela ya mwanamke ina masimango balaa hata ikiwa umeomba ujazilizie kwenye mzunguko wa biashara ole wako hio biashara izingue isiende sawa halafu ile hela iwe imekufa. Hamna rangi utaacha kuiona aisee!Ni pesa ya mwanaume ndo huwa inatumika na anayetoa hana kinyongo za kwenu mpaka mtoe ni vikao 7 vikae na atakayepewa labda awe mtoto wako au wazazi wako.Ukimpa mwanaume kumi huo ni mkakati wa kuvuna mia.Na kama imetokea dharura utamsema nayo mpaka ndevu zing'oke.
Huu utani sasa πππ hili andiko naamini ni feki
Hahahahahah nimecheka sanaWanaume mna Cha kujifunza juu ya wanawake Kama mnavyo ona akili ya mtoa post.
Ukizembea tu imekula kwako .....zalisha utakomboa mtoto .... Kama wakina 50 cent vile ...... Kuoana na mwanamke mnae chuana uchumi sio hizi takataka unazitoa huko Cha thaman wanacho miliki Ni smart phone na vibegi vya kubebea mafuta ya kulainishia marinda wanavyo nyanduliwa.
Wanawake wa Sasa hauhitaji akili nyingi kwenda nao sawa ,unahitaji moyo mgumu wenye maamuzi magumu.
Hela ya kitoto kama trillion 3 iende ubakie na trill 123 Kuna kuumia gani hapo! Yani ni sawa na mtu una million 123 halafu umlipe kivuruge million 3 akuondolee balaa kwenye maisha yakoUnapataje stimu ya kuinjoy kuona mali zako zikienda kwa mwanamke?
Happiness without racks can sometimes be impossible