Wanaume na wanawake wanaojitambua ambao hawajawai Kufanya uzinzi walio jitunza naomba tujuane hapa tafadhali

Matusi ya nguoni muhimu kwa afya ya ubongo na akili...
 
Wanaume na wanawake wanaojitambua ambao hawajawai Kufanya uzinzi walio jitunza naomba tujuane hapa tafadhali
MIMI NI GENIUS WA UKWELI SIYO FEKI ....Ninacho kuambia ni hiki kama umevuka miaka 18 bila ya kuwa japo na mademu wawili basi kuna hatari kamili ya kuja kuwa na hisia duni kwenye tendo la ndoa kuliko wale walio wahi mapema ...nguvu za kiume zita kuwa chini kwa asilimia kubwa kwa kadiri unavyo chelewa kuanza kusex na wanawake ndivyo performance yako itakavyo kuwa duni.
 
Chai
 
Sio kweli, utakapo jitunza utakuwa mpya na mwenye nguvu za kutosha, utaepukana na magonjwa hatarishi, utakuwa na afya njema. Lakini usipo jitunza utakutana na magonjwa, nguvu zako zitachakaa utapungukiwa nguvu za kiume, utakonda n.k hivyo kuna mda wa kufanya mapenzi sio unaruka ruka mara hupo kwa huyu mara kwa yule this is negative
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…