Genius Man
JF-Expert Member
- Apr 7, 2024
- 1,012
- 2,317
- Thread starter
- #61
Hongera sanaAisee, nimefikiwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hongera sanaAisee, nimefikiwa
🤣🤣Kibane baaaaneee mwisho kiliwe Na nyenyere📻
Alizini wapi na nani??Kama suleiman alizini wewe ni nani
Kama mtu unauwa kwasababu flani aliuwa, kama mtu unaiba kwasababu flani aliiba, kama mtu unazini kwasababu flani alizini ujue huna akiliAlizini wapi na nani??
🤣🤣 TZ ukifa kwa stress basi wewe tu mwenyewe umependa.😂😂Nyoo...pakishakuwa pakubwa muanze kuteta kijiweni🙌tupumzisheni sisi
You and from jf😀😀Mke mwema who,where 😀
Upo sahihi kijana kwakweli kufanya mapenzi ni hitaji lakini tufanye sehemu sahihi iliyo salama isiyokuwa na magonjwa isiyokuwa na namna yoyote iliyo mbaya bali sehemu yenye baraka ambayo ni kwenye ndoa, hapa sikatazi watu wasifanyemapenzi ila nikuangalia sehemu sahihiKufanya mapenzi ni mahitaji ya kiumbe hai!!
Kujinyima ni kuikataa asili!ukiikataa asili utauondoa ubinadamu na umnyama utakuingia!
Ni hayo.tu!!
Umelewa mkuuUmekua mrembo sikuhizi au nimeshalewa,😑
Hongera sanaAmbao hatujawahi yaani tunaojitunza tupo wachache sana.
Kwa kweli😀😀Tujitunze View attachment 3100711
Ahsante sana mkuuHongera sana
Kweli itakuwa maana zikikolea warembo wote unawaona wazuri hata kiwe kibibiUmelewa mkuu
Karibu kwenye ulimwengu huu wa tunaojitunzaAmbao hatujawahi yaani tunaojitunza tupo wachache sana.
Binti acha kuwa negative hivi sasa utalala mara na shaibu mara kesho na juma kesho na david ndio nini hiki nakushauri tafuta mume sahihi akuowe hao unaolalanao kama wanakupenda mbona hawakuowi😀😀Tujitunze View attachment 3100711
Wananiita Kobe nitaishi miaka 900Upo sahihi kijana kwakweli kufanya mapenzi ni hitaji lakini tufanye sehemu sahihi iliyo salama isiyokuwa na magonjwa isiyokuwa na namna yoyote iliyo mbaya bali sehemu yenye baraka ambayo ni kwenye ndoa, hapa sikatazi watu wasifanyemapenzi ila nikuangalia sehemu sahihi
Ahsante mkuuKaribu kwenye ulimwengu huu wa tunaojitunza
Malimao plus chapa maandazi hayapo!!?😂😂Nyoo...pakishakuwa pakubwa muanze kuteta kijiweni🙌tupumzisheni sisi
Mbona umeenda mbali mkuu kumbe uko serious hivo au hiyo picha ndo imekukera?Binti acha kuwa negative hivi sasa utalala mara na shaibu mara kesho na juma kesho na david ndio nini hiki nakushauri tafuta mume sahihi akuowe hao unaolalanao kama wanakupenda mbona hawakuowi