Malkia wangu
Senior Member
- May 1, 2024
- 143
- 265
- Thread starter
- #21
Usipaniki unaharibu utamukwanini unipangie cha kufanya hv ww bint unaakili sawasawa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usipaniki unaharibu utamukwanini unipangie cha kufanya hv ww bint unaakili sawasawa?
Sawa natafutaNi kanuni anayepewa siku zote huhitaji,
hata ukipewa ilo bunda lote zitaisha na utahitaji tena na tena kwa kuwa umezoea kupewa. Tafuta zako.
kama mahitaji ni mengi si inatakiwa useme?Mahitaji ni makubwa kuliko pesa inayoachwa , ila ngoja nitafute zangu sitamsumbua mtoto wa ma mkwe
Unakaaje na pesa nyingi ndani ,kama sio ya project inayoendelea, may be za mafisadi wanaoogopa ziweka benki ,kimbia mkono wa sheria ,balance nyumbani kama kila kitu kipo M1 inatosha kwa dhalura ,vinevyo hata kama upo na watu wanakusaidia kazi zipo mifumo ya kukamilisha ujira waoHao ni wavulana ndio wanafanya hivyo mkuu.
Mwanaume kamili akifika nyumbani anaacha pesa zake zote na kuzitolea maagizo kwa kila kiasi, then yeye ndie anachukua kiasi kidogo kwaajili ya matumizi yake binafsi kwa siku inayo fuata.
We ni mkali uyo , naanzia wapi MimiKwa nini usimeulize mme wako hapohapo?
Ulitaka bei gani?Hii inawahusu wanaume sio wavulana.
Hivi inakuaje unavoondoka nyumbani unatoa bunda la laki nne lote mfukoni kwako halafu unachomoa elfu 20 tu ndio unampa mwanamke wako?
Ni kuringishia kwamba una hela nyingi au kukomoana kwamba pesa ninazo na sikupi. Nimeumia sana.
Umeolewa lakini bado unakuwa na akili za kiudangaji wenzio hata hiyo 20 hawaipatkHii inawahusu wanaume sio wavulana.
Hivi inakuaje unavoondoka nyumbani unatoa bunda la laki nne lote mfukoni kwako halafu unachomoa elfu 20 tu ndio unampa mwanamke wako?
Ni kuringishia kwamba una hela nyingi au kukomoana kwamba pesa ninazo na sikupi. Nimeumia sana.
Nimesema ila mwisho wa siku naambiwa shika 20 , halafu Malaya uko anawahonga laki awe mweupe TU . Naumiakama mahitaji ni mengi si inatakiwa useme?
Twenty ya nini? Ilitakiwa atoe tenHii inawahusu wanaume sio wavulana.
Hivi inakuaje unavoondoka nyumbani unatoa bunda la laki nne lote mfukoni kwako halafu unachomoa elfu 20 tu ndio unampa mwanamke wako?
Ni kuringishia kwamba una hela nyingi au kukomoana kwamba pesa ninazo na sikupi. Nimeumia sana.
DahMtatupendaje tusipokuwa na pesa na mtajuaje tunapesa.
Pesa haijawahi kutosha mrembo, muhimu kwenye mapungufu kaa chini na mumeo mjadiliane vile mnaweza kuwekana sawa.Mahitaji ni makubwa kuliko pesa inayoachwa , ila ngoja nitafute zangu sitamsumbua mtoto wa ma mkwe
Kuchomoa elfu 20 kwenye bunda huku likiwa mfukoni kuna hatari ya kuchana hela, hasa kama bunda lina 'barabendi'..!!Hii inawahusu wanaume sio wavulana.
Hivi inakuaje unavoondoka nyumbani unatoa bunda la laki nne lote mfukoni kwako halafu unachomoa elfu 20 tu ndio unampa mwanamke wako?
Ni kuringishia kwamba una hela nyingi au kukomoana kwamba pesa ninazo na sikupi. Nimeumia sana.
dah, hapa sina cha kukushauri dada yanguNimesema ila mwisho wa siku naambiwa shika 20 , halafu Malaya uko anawahonga laki awe mweupe TU . Naumia
Umenena vyema !Hao ni wavulana ndio wanafanya hivyo mkuu.
Mwanaume kamili akifika nyumbani anaacha pesa zake zote na kuzitolea maagizo kwa kila kiasi, then yeye ndie anachukua kiasi kidogo kwaajili ya matumizi yake binafsi kwa siku inayo fuata.
Aaaah na wewe ukoje?Zilizobaki nimetumia kama nauli na kununulia madafu niendelee kuuza.Ulishindwa kuniuliza?Hii inawahusu wanaume sio wavulana.
Hivi inakuaje unavoondoka nyumbani unatoa bunda la laki nne lote mfukoni kwako halafu unachomoa elfu 20 tu ndio unampa mwanamke wako?
Ni kuringishia kwamba una hela nyingi au kukomoana kwamba pesa ninazo na sikupi. Nimeumia sana.
Asante muhengaPesa haijawahi kutosha mrembo, muhimu kwenye mapungufu kaa chini na mumeo mjadiliane vile mnaweza kuwekana sawa.
Kutegemea ushauri wa mtandaoni kupata jibu sahihi la changamoto za ndani ya ndoa yako inaweza ikapelekea kuharibu zaidi baada ya kupata maoni ya upotoshaji.
Bado mna nafasi ya kurekebisha changamoto zinazojitokeza badala ya kuhukumu bila kupata ufafanuzi wa kina kutoka kwa muhusika.