Wanaume naomba mnijibu tafadhali

Wanaume naomba mnijibu tafadhali

Hao ni wavulana ndio wanafanya hivyo mkuu.
Mwanaume kamili akifika nyumbani anaacha pesa zake zote na kuzitolea maagizo kwa kila kiasi, then yeye ndie anachukua kiasi kidogo kwaajili ya matumizi yake binafsi kwa siku inayo fuata.
Unakaaje na pesa nyingi ndani ,kama sio ya project inayoendelea, may be za mafisadi wanaoogopa ziweka benki ,kimbia mkono wa sheria ,balance nyumbani kama kila kitu kipo M1 inatosha kwa dhalura ,vinevyo hata kama upo na watu wanakusaidia kazi zipo mifumo ya kukamilisha ujira wao
kulipa ujirakika
 
Hii inawahusu wanaume sio wavulana.

Hivi inakuaje unavoondoka nyumbani unatoa bunda la laki nne lote mfukoni kwako halafu unachomoa elfu 20 tu ndio unampa mwanamke wako?

Ni kuringishia kwamba una hela nyingi au kukomoana kwamba pesa ninazo na sikupi. Nimeumia sana.
Ulitaka bei gani?
 
Hii inawahusu wanaume sio wavulana.

Hivi inakuaje unavoondoka nyumbani unatoa bunda la laki nne lote mfukoni kwako halafu unachomoa elfu 20 tu ndio unampa mwanamke wako?

Ni kuringishia kwamba una hela nyingi au kukomoana kwamba pesa ninazo na sikupi. Nimeumia sana.
Umeolewa lakini bado unakuwa na akili za kiudangaji wenzio hata hiyo 20 hawaipatk
 
Hii inawahusu wanaume sio wavulana.

Hivi inakuaje unavoondoka nyumbani unatoa bunda la laki nne lote mfukoni kwako halafu unachomoa elfu 20 tu ndio unampa mwanamke wako?

Ni kuringishia kwamba una hela nyingi au kukomoana kwamba pesa ninazo na sikupi. Nimeumia sana.
Twenty ya nini? Ilitakiwa atoe ten
 
Mahitaji ni makubwa kuliko pesa inayoachwa , ila ngoja nitafute zangu sitamsumbua mtoto wa ma mkwe
Pesa haijawahi kutosha mrembo, muhimu kwenye mapungufu kaa chini na mumeo mjadiliane vile mnaweza kuwekana sawa.
Kutegemea ushauri wa mtandaoni kupata jibu sahihi la changamoto za ndani ya ndoa yako inaweza ikapelekea kuharibu zaidi baada ya kupata maoni ya upotoshaji.
Bado mna nafasi ya kurekebisha changamoto zinazojitokeza badala ya kuhukumu bila kupata ufafanuzi wa kina kutoka kwa muhusika.
 
Hii inawahusu wanaume sio wavulana.

Hivi inakuaje unavoondoka nyumbani unatoa bunda la laki nne lote mfukoni kwako halafu unachomoa elfu 20 tu ndio unampa mwanamke wako?

Ni kuringishia kwamba una hela nyingi au kukomoana kwamba pesa ninazo na sikupi. Nimeumia sana.
Kuchomoa elfu 20 kwenye bunda huku likiwa mfukoni kuna hatari ya kuchana hela, hasa kama bunda lina 'barabendi'..!!
 
Hii inawahusu wanaume sio wavulana.

Hivi inakuaje unavoondoka nyumbani unatoa bunda la laki nne lote mfukoni kwako halafu unachomoa elfu 20 tu ndio unampa mwanamke wako?

Ni kuringishia kwamba una hela nyingi au kukomoana kwamba pesa ninazo na sikupi. Nimeumia sana.
Aaaah na wewe ukoje?Zilizobaki nimetumia kama nauli na kununulia madafu niendelee kuuza.Ulishindwa kuniuliza?
 
Pesa haijawahi kutosha mrembo, muhimu kwenye mapungufu kaa chini na mumeo mjadiliane vile mnaweza kuwekana sawa.
Kutegemea ushauri wa mtandaoni kupata jibu sahihi la changamoto za ndani ya ndoa yako inaweza ikapelekea kuharibu zaidi baada ya kupata maoni ya upotoshaji.
Bado mna nafasi ya kurekebisha changamoto zinazojitokeza badala ya kuhukumu bila kupata ufafanuzi wa kina kutoka kwa muhusika.
Asante muhenga
 
Back
Top Bottom