Malkia wangu
Senior Member
- May 1, 2024
- 143
- 265
- Thread starter
- #41
Home bana 😃Sema kweli, ni lodge sio nyumbani.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Home bana 😃Sema kweli, ni lodge sio nyumbani.
Buku 5?Buku tu tena kwa mbinde sana.yote hiyo na bado unalalamika 🙄 kuna wenzio wanaachiwa buku 5 hadi buku 3 😀
Umeamua uje kunijibu hukuAaaah na wewe ukoje?Zilizobaki nimetumia kama nauli na kununulia madafu niendelee kuuza.Ulishindwa kuniuliza?
Unataka aivute ichanike hiyo note. Unatoa bunda unachomoa kiasi kinachotakiwa usije chana mali ya taifaHii inawahusu wanaume sio wavulana.
Hivi inakuaje unavoondoka nyumbani unatoa bunda la laki nne lote mfukoni kwako halafu unachomoa elfu 20 tu ndio unampa mwanamke wako?
Ni kuringishia kwamba una hela nyingi au kukomoana kwamba pesa ninazo na sikupi. Nimeumia sana.
Nimeona nijibu tu.Umeamua uje kunijibu huku
Teh teh 😃 😃 dah!...umewaza mbali sana...Cha kuzingatia ni kuwa ulichoachiwa kinakidhi mahitaji ya familia ama la, kuonekqna una pesa nyingi na unatoa chache haimaanishi kuringishia ama jeuri.
Kuwa mwanaume ni taaluma ngumu sana ingawa wanawake mnaichukulia poa sana, wakati mwingine ni kama konda wa daladala ambaye huonekana mchana ana pesa nyingi sana, ila ikifika muda wa kulaza gari unakuta hata anakosa posho
Mahali nilitoa,Bado nikupe na hela!Hii inawahusu wanaume sio wavulana.
Hivi inakuaje unavoondoka nyumbani unatoa bunda la laki nne lote mfukoni kwako halafu unachomoa elfu 20 tu ndio unampa mwanamke wako?
Ni kuringishia kwamba una hela nyingi au kukomoana kwamba pesa ninazo na sikupi. Nimeumia sana.
Hii comment nimejikuta nacheka kijinga ,so unataka asiwe mkali ili kibunda akuachie nyumbani ili ufanyie nini?We ni mkali uyo , naanzia wapi Mimi
Wanawake tuna akili kama za watoto,nilivyokuwa mdogo baba alikuwa anaweka pesa kwenye mfuko wa shati sasa nikiomba akisema hana nilikuwa simuelewi kabisa...kumbe zilikuwa zina mambo kibao ya kusolve..😅Kwa hiyo ulitaka akatolee chooni ili usione kiasi alicho nacho?
Wanawake mko na matatizo sana, mwanaume wa kweli anaweza shika hata milioni kadhaa na baada ya muda zimegawanywa zote zinaisha; zikileta nyingine ni bahati.
Wanawake kwa asili wanawaza macho yao yanapoishia.
Yani we unaonekana kabisa una tamaa. Laki 4 nyongo inakutoka hvo, hzo nyingine zina mipango ya kuzalisha zaid ya hzo ulizoziona. We unaonekana kushika hata laki ni nadra sana, iyo laki 4 sio hela ya kuwaza eti inaenda wp.Hii inawahusu wanaume sio wavulana.
Hivi inakuaje unavoondoka nyumbani unatoa bunda la laki nne lote mfukoni kwako halafu unachomoa elfu 20 tu ndio unampa mwanamke wako?
Ni kuringishia kwamba una hela nyingi au kukomoana kwamba pesa ninazo na sikupi. Nimeumia sana.
Kumbuka anahonga Malaya laki sharti awe mweupe TU . Sasa Mimi cheusi Mangala nikitaka mahitaji ya watoto napewa 20,000 .
Wanaume ni .............
Ndo maana wajane wananenepa kma maisha ndiyo haya bas nimeanza kuelewaBuku 5?Buku tu tena kwa mbinde sana.
Bado yuko 20's huyo 🤣🤣🤣Yani we unaonekana kabisa una tamaa. Laki 4 nyongo inakutoka hvo, hzo nyingine zina mipango ya kuzalisha zaid ya hzo ulizoziona. We unaonekana kushika hata laki ni nadra sana, iyo laki 4 sio hela ya kuwaza eti inaenda wp.