Malkia wangu
Senior Member
- May 1, 2024
- 143
- 265
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usinifokee bado Nina maumivu hayajapoa au umekuja kunimalizia wewe 😕Tafuta za kwako acha kulilia hela za mwenzako, ni kwa sabb ya wadada kama nyiny ndio wanasema ndoa ni utapeli, unataka akupe nying ni za kwako ?? Mmetafuta pamoja ?? Uchoyo tu muone vile
Sina raha duniani.Mniamini jamani!😂😂😂Naijua tabia Yako lazima niilinde familia yangu
Kwahiyo bar kulewa nayo ni mizunguko ee ?Nitaziachaje home wakati pesa inahitajika kwenye mzunguko ?
Mshirikishe aliyewaunganisha mtandaoni hutopata majibu yenye kukuridhishaUsinifokee bado Nina maumivu hayajapoa au umekuja kunimalizia wewe 😕
Kama ningelikuwa na tabia ya wizi basi ningeshakua tajiri kwa uyu babaKila nikikuachia unasema zimepotea au umesahau ulipoziweka.You people are horrible!
Ndiyo ni mzunguko Mwenye Bar atapata hela, wahudumu watalipwa mishahara na wao wataenda kutumia na familia zao. Kwa mangi, maduka ya nguo, saloon na vipodozi huoni hapo hela inazunguka ?Kwahiyo bar kulewa nayo ni mizunguko ee ?
Ule ni uwekezaji.Subiri nife au tupate msiba ndiyo utajua.Watarudisha hela zangu zote kwa njia ya rambirambi huku wanalia.We are not hopelesses that much mtu wangu.Kwahiyo bar kulewa nayo ni mizunguko ee ?
Basi Toka ata 50k , January Kuna kulipia ada ujueSina raha duniani.Mniamini jamani!😂😂😂
Kwa majibu haya , naomba twende wote tukafanye hiyo mizunguko tupate faida kubwaNdiyo ni mzunguko Mwenye Bar atapata hela, wahudumu watalipwa mishahara na wao wataenda kutumia na familia zao. Kwa mangi, maduka ya nguo, saloon na vipodozi huoni hapo hela inazunguka ?
Najua hilo.Usikonde.Hautaaibika.Basi Toka ata 50k , January Kuna kulipia ada ujue
Umeandika kwa hasira sana ,Dear Men,
If you're still dating broke women, you're going to hell. Repent before it's too late.
Kwa hiyo mwanamke kapuku ni a pure temptation to being a good sinner?Dear Men,
If you're still dating broke women, you're going to hell. Repent before it's too late.
Na watasomesha wanao , si ndio ? Maana si umewekezaUle ni uwekezaji.Subiri nife au tupate msiba ndiyo utajua.Watarudisha hela zangu zote kwa njia ya rambirambi huku wanalia.We are not hopelesses that much mtu wangu.
What has 50k got to do with it?A man should have been loaded with wealthy before entering a club.🤣🤣🤣Basi Toka ata 50k , January Kuna kulipia ada ujue
They are all insured my love plus their mom/you!Need I add more?Na watasomesha wanao , si ndio ? Maana si umewekeza
Just leave her, and repent.Kwa hiyo mwanamke kapuku ni a pure temptation to being a good sinner?
I won't!I'm used to the hard moments oftenly.Just leave her, and repent.