Wanaume naomba mnijibu tafadhali

Wanaume naomba mnijibu tafadhali

Kwahiyo ulitaka upewe 400 yote ukavihonge na vibeni 10 vyako
 
Hii inawahusu wanaume sio wavulana.

Hivi inakuaje unavoondoka nyumbani unatoa bunda la laki nne lote mfukoni kwako halafu unachomoa elfu 20 tu ndio unampa mwanamke wako?

Ni kuringishia kwamba una hela nyingi au kukomoana kwamba pesa ninazo na sikupi. Nimeumia sana.

Kumbuka anahonga Malaya laki sharti awe mweupe TU . Sasa Mimi cheusi Mangala nikitaka mahitaji ya watoto napewa 20,000 .
Wanaume ni .............
Tafuta za kwako na wewe uchomoe 20 kwenye laki 4 umpe ukiwa na laki 4 wewe hata buku humpi kwanza hayupo kwenye hesabu zako hesabu zako ni kujitafutia makolokolo ya kujiremba ujinga

Sicheki na Wanawake Wanawake ni nyoka wenye vichwa vingi 'Medusa'
 
M
Just leave her, and repe

They are all insured my love plus their mom/you!Need I add more?

Tafuta za kwako na wewe uchomoe 20 kwenye laki 4 umpe ukiwa na laki 4 wewe hata buku humpi kwanza hayupo kwenye hesabu zako hesabu zako ni kujitafutia makolokolo ya kujiremba ujinga

Sicheki na Wanawake Wanawake ni nyoka wenye vichwa vingi 'Medusa'
Umeandika kwa hasira sana hadi sipati maana ya ujumbe
 
Ni nani huyo anaefanya makosa makubwa kiasi hicho? Kwenye laki 4 unatoa elfu 20? Ni makosa makubwa sana kwenye laki 4 toa elfu 3 tu
 
M





Umeandika kwa hasira sana hadi sipati maana ya ujumbe
Wanawake ni nyoka wenye vichwa vingi 'Medusa' sicheki na Wanawake

Wewe ukitaka utamu wa Pesa tafuta zako uchomoe 20 kwenye laki 4 umpe mumeo uone km atasononeka ndio maana nasema nyinyi ni nyoka kabisa hujui hio 380 ni ya kazi gani eti umefura unataka 400 yote akupe wewe kwanini unakua nyoka kiasi hicho?
 
Wanawake ni nyoka wenye vichwa vingi 'Medusa' sicheki na Wanawake

Wewe ukitaka utamu wa Pesa tafuta zako uchomoe 20 kwenye laki 4 umpe mumeo uone km atasononeka ndio maana nasema nyinyi ni nyoka kabisa hujui hio 380 ni ya kazi gani eti umefura unataka 400 yote akupe wewe kwanini unakua nyoka kiasi hicho?
Asinipe yote na asitoke nayo yote kwenda bar
 
Mm naomba niulize japo sio mwanaume?
Ela haitoshi?huduma zingine za ziada hakutimizii?
 
Back
Top Bottom