Aaliyyah
JF-Expert Member
- Mar 20, 2022
- 19,041
- 46,239
Mkuu inategemea na ukubwa wa familia aiseeMahitaj gn ayo mtu akuachie 20 it means kwa mwez 600 mi ngekupga chini
Kuna familia 20 inaisha unakuta nyumba Ina watu hata 7
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu inategemea na ukubwa wa familia aiseeMahitaj gn ayo mtu akuachie 20 it means kwa mwez 600 mi ngekupga chini
Kwa hio kwa siku unataka upewe ngapi?Mkuu inategemea na ukubwa wa familia aisee
Kuna familia 20 inaisha unakuta nyumba Ina watu hata 7
Siwez kucomfirm sababu sijaona kataja kipengele Cha ukubwa wa familia na majukum ya hiyo pesa mm Niko pekeyangu natumia elf 5 had 6Kwa hio kwa siku unataka upewe ngapi?
Kwa hio unataka laki 1 kwa siku 1 mnaona mlivyokua nyoka nyinyi Wanawake? Maana mwenzio kashikilia bango kwamba mumewe anampa Malaya laki 1 kwa siku 1 kwa hio na wewe amekuoa Malaya?Siwez kucomfirm sababu sijaona kataja kipengele Cha ukubwa wa familia na majukum ya hiyo pesa mm Niko pekeyangu natumia elf 5 had 6
Na vyakula vipo ndani mfano unga mchele gesi sabuni mafuta ni mboga tu na vitafunwa
Ukisema upike chakula kizuri
Ukiamua kushindia mboga za majani elf 2 haiishi
Naona Kwa rafikiyangu Kuna watu 7
hakitoshi Bado mboga Bado watoto pesa ya shule
Kumbuka anahonga Malaya laki sharti awe mweupe TU
Kuna siku nilienda Kwa rafikiyangu akasema nipitie sokoni nimnunulie matunda ya kutengeneza juis ya kunywa na familia yakeKwa hio kwa siku unataka upewe ngapi?
Kwa hio unataka nikupe laki 1 kwa siku 1 inamaana kwa Mwezi itasoma kiasi gani labda?Kuna siku nilienda Kwa rafikiyangu akasema nipitie sokoni nimnunulie matunda ya kutengeneza juis ya kunywa na familia yake
Nilitumia elf 8 matunda tu
Imagine tangu asubhi ni sh ngapi
Ukiwa na makasiriko huwez kuelewa sijasema ni sawa ila angalia ukubwa wa familia na kipato Cha muhusikaKwa hio unataka laki 1 kwa siku 1 mnaona mlivyokua nyoka nyinyi Wanawake? Maana mwenzio kashikilia bango kwamba mumewe anampa Malaya laki 1 kwa siku 1 kwa hio na wewe amekuoa Malaya?
Wewe kwako ukiwa na nani hio elf 5 inatosha au ukiwa na Mimi?Ukiwa na makasiriko huwez kuelewa sijasema ni sawa ila angalia ukubwa wa familia na kipato Cha muhusika
Mm kwangu elf 5 ni sawa inanitosha na nakula vizuri lakin Kwa mwenye familia kubwa haitoshi kwann unafosi tunaongelea bajeti na hali ya maisha ilivo
Hatuwez kuelewana naonaKwa hio unataka nikupe laki 1 kwa siku 1 inamaana kwa Mwezi itasoma kiasi gani labda?
Na wewe Tena 😀Wewe kwako ukiwa na nani hio elf 5 inatosha au ukiwa na Mimi?
Kwa hio wewe familia yako tupo wawili tu na unatumia elf 5 kwa siku 1?Hatuwez kuelewana naona
Mm naongea bajet wew unaongelea kipato hatuwez kuelewana
Kuna wansotumia elf 3 kwasiku anapika maharage siku imeisha
Kuna siku unaweza amka ukatumia buku either kilakitu kipo ndani ndo maana nikasema inategemea na ukubwa wa familia na kipato Cha mhusika
Silagi Maharage mimi badirisha mboga hapo weka nyama stekiNa wewe Tena 😀
Hata tukiwa wawili inaweza kutosha sababu kilakitu Cha muhimu kipo ni mboga tu hapo kma Kuna vitafunwa haitoshi 😀labda km mboga ni maharage 😄
MfanoWewe kwako ukiwa na nani hio elf 5 inatosha au ukiwa na Mimi?
Hapo kwenye Samaki hapo umenikamataMfano
Samaki robo 3000
Nyanya 500
Nazi 1000
Viungo. 1000
Hapo mboga ya mchana na jion na hakuna mboga za majani Yani nakula samaki Kwa kuvizia robo ni kidogo San
Bado sijaweka vitafunwa asubhi na naishi sehemu ambayo vitu Bei ni ya kawaida
Si unaona nyama stekiSilagi Maharage mimi badirisha mboga hapo weka nyama steki
Alafu uache bukuHapo kwenye Samaki hapo umenikamata
Hapo tena kwenye nyama steki umenikamata tena haya toa hizo kwenye 20Si unaona nyama steki
Nusu 6000
Nyanya 500
Viungo. 1000
Hapo mchele sijaweka Wala unga Wala mafuta Wala nazi nyie wanaume tulien aisee 😄😄
Nimekuachia 20 buku hio 19 umepeleka wapi?Alafu uache buku
Sahivi suala la kuoa ndo lengo kuu kichwaniWew usioe kwanza 😀
Unajua maishaSi unaona nyama steki
Nusu 6000
Nyanya 500
Viungo. 1000
Hapo mchele sijaweka Wala unga Wala mafuta Wala nazi nyie wanaume tulien aisee 😄😄