Wanaume naomba mnijibu tafadhali

Wanaume naomba mnijibu tafadhali

Kwa hio kwa siku unataka upewe ngapi?
Siwez kucomfirm sababu sijaona kataja kipengele Cha ukubwa wa familia na majukum ya hiyo pesa mm Niko pekeyangu natumia elf 5 had 6
Na vyakula vipo ndani mfano unga mchele gesi sabuni mafuta ni mboga tu na vitafunwa
Ukisema upike chakula kizuri

Ukiamua kushindia mboga za majani elf 2 haiishi
Naona Kwa rafikiyangu Kuna watu 7
hakitoshi Bado mboga Bado watoto pesa ya shule
 
Siwez kucomfirm sababu sijaona kataja kipengele Cha ukubwa wa familia na majukum ya hiyo pesa mm Niko pekeyangu natumia elf 5 had 6
Na vyakula vipo ndani mfano unga mchele gesi sabuni mafuta ni mboga tu na vitafunwa
Ukisema upike chakula kizuri

Ukiamua kushindia mboga za majani elf 2 haiishi
Naona Kwa rafikiyangu Kuna watu 7
hakitoshi Bado mboga Bado watoto pesa ya shule
Kwa hio unataka laki 1 kwa siku 1 mnaona mlivyokua nyoka nyinyi Wanawake? Maana mwenzio kashikilia bango kwamba mumewe anampa Malaya laki 1 kwa siku 1 kwa hio na wewe amekuoa Malaya?
Kumbuka anahonga Malaya laki sharti awe mweupe TU
 
Kuna siku nilienda Kwa rafikiyangu akasema nipitie sokoni nimnunulie matunda ya kutengeneza juis ya kunywa na familia yake
Nilitumia elf 8 matunda tu
Imagine tangu asubhi ni sh ngapi
Kwa hio unataka nikupe laki 1 kwa siku 1 inamaana kwa Mwezi itasoma kiasi gani labda?
 
Kwa hio unataka laki 1 kwa siku 1 mnaona mlivyokua nyoka nyinyi Wanawake? Maana mwenzio kashikilia bango kwamba mumewe anampa Malaya laki 1 kwa siku 1 kwa hio na wewe amekuoa Malaya?
Ukiwa na makasiriko huwez kuelewa sijasema ni sawa ila angalia ukubwa wa familia na kipato Cha muhusika
Mm kwangu elf 5 ni sawa inanitosha na nakula vizuri lakin Kwa mwenye familia kubwa haitoshi kwann unafosi tunaongelea bajeti na hali ya maisha ilivo
 
Ukiwa na makasiriko huwez kuelewa sijasema ni sawa ila angalia ukubwa wa familia na kipato Cha muhusika
Mm kwangu elf 5 ni sawa inanitosha na nakula vizuri lakin Kwa mwenye familia kubwa haitoshi kwann unafosi tunaongelea bajeti na hali ya maisha ilivo
Wewe kwako ukiwa na nani hio elf 5 inatosha au ukiwa na Mimi?
 
Kwa hio unataka nikupe laki 1 kwa siku 1 inamaana kwa Mwezi itasoma kiasi gani labda?
Hatuwez kuelewana naona
Mm naongea bajet wew unaongelea kipato hatuwez kuelewana
Kuna wansotumia elf 3 kwasiku anapika maharage siku imeisha
Kuna siku unaweza amka ukatumia buku either kilakitu kipo ndani ndo maana nikasema inategemea na ukubwa wa familia na kipato Cha mhusika
 
Wewe kwako ukiwa na nani hio elf 5 inatosha au ukiwa na Mimi?
Na wewe Tena 😀
Hata tukiwa wawili inaweza kutosha sababu kilakitu Cha muhimu kipo ni mboga tu hapo kma Kuna vitafunwa haitoshi 😀labda km mboga ni maharage 😄
 
Hatuwez kuelewana naona
Mm naongea bajet wew unaongelea kipato hatuwez kuelewana
Kuna wansotumia elf 3 kwasiku anapika maharage siku imeisha
Kuna siku unaweza amka ukatumia buku either kilakitu kipo ndani ndo maana nikasema inategemea na ukubwa wa familia na kipato Cha mhusika
Kwa hio wewe familia yako tupo wawili tu na unatumia elf 5 kwa siku 1?
 
Na wewe Tena 😀
Hata tukiwa wawili inaweza kutosha sababu kilakitu Cha muhimu kipo ni mboga tu hapo kma Kuna vitafunwa haitoshi 😀labda km mboga ni maharage 😄
Silagi Maharage mimi badirisha mboga hapo weka nyama steki
 
Wewe kwako ukiwa na nani hio elf 5 inatosha au ukiwa na Mimi?
Mfano
Samaki robo 3000
Nyanya 500
Nazi 1000
Viungo. 1000
Hapo mboga ya mchana na jion na hakuna mboga za majani Yani nakula samaki Kwa kuvizia robo ni kidogo San

Bado sijaweka vitafunwa asubhi na naishi sehemu ambayo vitu Bei ni ya kawaida
 
Mfano
Samaki robo 3000
Nyanya 500
Nazi 1000
Viungo. 1000
Hapo mboga ya mchana na jion na hakuna mboga za majani Yani nakula samaki Kwa kuvizia robo ni kidogo San

Bado sijaweka vitafunwa asubhi na naishi sehemu ambayo vitu Bei ni ya kawaida
Hapo kwenye Samaki hapo umenikamata
 
Si unaona nyama steki
Nusu 6000
Nyanya 500
Viungo. 1000
Hapo mchele sijaweka Wala unga Wala mafuta Wala nazi nyie wanaume tulien aisee 😄😄
Hapo tena kwenye nyama steki umenikamata tena haya toa hizo kwenye 20
 
Back
Top Bottom