Aaliyyah
JF-Expert Member
- Mar 20, 2022
- 19,041
- 46,239
Thubutu unaonekana mbahili wew🤣🤣Ndio maana nimekuachia 20 nunua nyama steki upike
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Thubutu unaonekana mbahili wew🤣🤣Ndio maana nimekuachia 20 nunua nyama steki upike
Wanaume wengi wanahonga, yaani tabia ya kuhonga ni ya wanaume wengi sana. Anachosahau ni kuwa yeye anapewa 20k kila siku, yule malaya anapewa 100k mara moja, akishaliwa mara moja-tatu hapewi tena. Mwanaume akitafuta K atatoa chochote ili.mradi aipate.Shida aliona wanawake weupe wakipewa laki 😄
Mbahili haswa haswa haya kata hapo kwenye 20 nunua nyama samaki nikirudi nile usisahau kutengeneza kachumbari ya kutoshaThubutu unaonekana mbahili wew🤣🤣
No umri umefikaKula maisha kwanza
Tafuta bas tule ubwabwaNo umri umefika
When you're whacked,you gonna walk voluntarilly!
Ujumbe huu uishi siku zote na ndivyo ilivyoCha kuzingatia ni kuwa ulichoachiwa kinakidhi mahitaji ya familia ama la, kuonekqna una pesa nyingi na unatoa chache haimaanishi kuringishia ama jeuri.
Kuwa mwanaume ni taaluma ngumu sana ingawa wanawake mnaichukulia poa sana, wakati mwingine ni kama konda wa daladala ambaye huonekana mchana ana pesa nyingi sana, ila ikifika muda wa kulaza gari unakuta hata anakosa posho
Yan azichambulie mfukoni, wewe kuweza! Kakitu kadogo km hako kanakuumiza una safari ndefu!Kwanini utoe zote sasa?
😀😀😀Yan azichambulie mfukoni, wewe kuweza! Kakitu kadogo km hako kanakuumiza una safari ndefu!
Hahahahaha mzee pale kariakoo hall 5
😄😄Sasa ampe Kwa Siri asione hii inauma sanaWanaume wengi wanahonga, yaani tabia ya kuhonga ni ya wanaume wengi sana. Anachosahau ni kuwa yeye anapewa 20k kila siku, yule malaya anapewa 100k mara moja, akishaliwa mara moja-tatu hapewi tena. Mwanaume akitafuta K atatoa chochote ili.mradi aipate.
FamiliaHii inawahusu wanaume sio wavulana.
Hivi inakuaje unavoondoka nyumbani unatoa bunda la laki nne lote mfukoni kwako halafu unachomoa elfu 20 tu ndio unampa mwanamke wako?
Ni kuringishia kwamba una hela nyingi au kukomoana kwamba pesa ninazo na sikupi. Nimeumia sana.
Kumbuka anahonga Malaya laki sharti awe mweupe TU . Sasa Mimi cheusi Mangala nikitaka mahitaji ya watoto napewa 20,000 .
Wanaume ni .............
Familia nisawa na taasisi ambayo inamifumo ya mapato matumizi akiba mipango malengo, I.e,Hii inawahusu wanaume sio wavulana.
Hivi inakuaje unavoondoka nyumbani unatoa bunda la laki nne lote mfukoni kwako halafu unachomoa elfu 20 tu ndio unampa mwanamke wako?
Ni kuringishia kwamba una hela nyingi au kukomoana kwamba pesa ninazo na sikupi. Nimeumia sana.
Kumbuka anahonga Malaya laki sharti awe mweupe TU . Sasa Mimi cheusi Mangala nikitaka mahitaji ya watoto napewa 20,000 .
Wanaume ni .............
Yaan chapati ndio kila kitu... Siku hiZi for dinnerKuna mda yanaokoaga
Japo sasa hivi wapika chapati jioni wanatisha sana wametapakaa Kila kona
Hii inawahusu wanaume sio wavulana.
Hivi inakuaje unavoondoka nyumbani unatoa bunda la laki nne lote mfukoni kwako halafu unachomoa elfu 20 tu ndio unampa mwanamke wako?
Ni kuringishia kwamba una hela nyingi au kukomoana kwamba pesa ninazo na sikupi. Nimeumia sana.
Kumbuka anahonga Malaya laki sharti awe mweupe TU . Sasa Mimi cheusi Mangala nikitaka mahitaji ya watoto napewa 20,000 .
Wanaume ni .............
🤣🤣🤣🤣 Hizi ndoa zina mateso.Hii inawahusu wanaume sio wavulana.
Hivi inakuaje unavoondoka nyumbani unatoa bunda la laki nne lote mfukoni kwako halafu unachomoa elfu 20 tu ndio unampa mwanamke wako?
Ni kuringishia kwamba una hela nyingi au kukomoana kwamba pesa ninazo na sikupi. Nimeumia sana.
Kumbuka anahonga Malaya laki sharti awe mweupe TU . Sasa Mimi cheusi Mangala nikitaka mahitaji ya watoto napewa 20,000 .
Wanaume ni .............
.......wema.Hii inawahusu wanaume sio wavulana.
Hivi inakuaje unavoondoka nyumbani unatoa bunda la laki nne lote mfukoni kwako halafu unachomoa elfu 20 tu ndio unampa mwanamke wako?
Ni kuringishia kwamba una hela nyingi au kukomoana kwamba pesa ninazo na sikupi. Nimeumia sana.
Kumbuka anahonga Malaya laki sharti awe mweupe TU . Sasa Mimi cheusi Mangala nikitaka mahitaji ya watoto napewa 20,000 .
Wanaume ni .............