Wanaume naomba mnisaidie hapa


Duh umenichanganya hio paragraph ya mwisho[emoji848]
 
Ila akitaka kula mzigo anakutafuta? Mwenzako ye bidada akitaka pesa anamtafuta anatoa mzigo anachukua nguo tano. Tafutaneni mpozane machungu.
 
Kama unampenda mtu, sababu zitazokufanya usiwasiliane naye labda uwe Gerezani au upo kwenye Coma.
 
Na mimi nimeshangaa nikajiuliza hii ni style mpya mjini au?

Me nakwambia usibabaike,

As i told u. kuna wanaume sio active kwenye commmunication kama ameshajenga mahusiano na yamesimama. May be ww utateswa na mazoea kama zamani alikuwa hardly anacontact na ww frequently

Lakini pia inawezekana hakupendi na hawezi kukuambia hakutaki.

so kuna maelezo ya ziada yanahitajika kung’amua scenario yako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…