Charlz ze son conscious
JF-Expert Member
- Aug 22, 2019
- 554
- 848
Communication ni nguzo ya muhimu sana kwenye mahusiano! Angalau hata kama hupo busy waweza mtext mpenzi wako!Hii ni kweli kabisa huyo mtu anakupenda. Sio wanaume wote wapo active kwenye communication. As long as anakupenda na ameridhika na ww basi yeye yupo tuliiiiii ana uhakika na ww.
Shida ipo kwako bibi ww, kimuhemuhe, Roho isiyotulia kama pishi la Bisi, Upo nyonyo....?
Sasa huyo akikuweka ndani, akisafiri anaweza kaa mwezi huko bila kupiga simu wala sms kisa upo nyumbani kwake[emoji23]Hapo hamna kitu.. mwanaume akipenda atafanya juu chini apate muda wa kuwasiliana na mwandani wake..huyo mwanaume hapana.
Kiukweli mahusiano ni muhimu sana kwenye relationship though haya justfy kama ndo unapendwa sanaa...mwingine aneza akusalimie vile unataka na asiwe mkweli na anaeza asukusalimie akawa mkweli au muongo its un predictable.Ushauri wangu jaribu kuangalia factors zingine na siyo hiyo tuu ya mawasiliano.For me when someone truly loves you utajua tuu acha hayo mambo ya mawasiliano, outings, money giveaway...na vingine.Mbona mi najuaga kama huyo ni feki huyu ni real.A a man.
You just see it
Mahusiano ni muhimu kwenye relationship? How?
Tumeulizwa wanaume we na michepele yako umekurupuka tu huko..We unahisi kuna ukweli hapo mkuu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji56][emoji56][emoji56]
Hii ni kweli kabisa huyo mtu anakupenda. Sio wanaume wote wapo active kwenye communication. As long as anakupenda na ameridhika na ww basi yeye yupo tuliiiiii ana uhakika na ww.
Shida ipo kwako bibi ww, kimuhemuhe, Roho isiyotulia kama pishi la Bisi, Upo nyonyo....?
Nakujua haunaga breki..πEndelea kujichanganya tu
Bahati yako umeniomba nisikuchambe vinginevyo,,,ungechezea mchambo hevi sana
Huu uvurugaji ni humu ndani tu KENZY wetuπ
Kwani shida iko wapi? Kwa nini utafutwe tuu. Simu si unayo? Si upigeee? Ua uko bankrupt? Kupenda kuna gharama zake. Acha kujiona wewe wa muhimu zaidi. Tena hujajua nini unataka. Go for what you want.Hivi inawezekana ukampenda mtu na usiwasiliane naye? Yaani ikapita siku tatu mpaka week? Inawezekana mwanamke unayempenda usitake kumjulia hali?
Naombeni tu mnisaidie hili jibu
Mtu anakwambia anakupenda ila ukijikausha usimtafute wewe anaweza asikutafute mpaka week anakucheki tena kuna ukweli hapo?
Breki ninayo ya kutosha na wala sipendagi makuu KENZY labda kama umeanza kuchanganya madesa.Nakujua haunaga breki..π
Mwanamke unajicho kama ngamia!..
Niache usichambe..ππππππππππ
Ulikuwa unatest nini KENZY .kwa taarifa yako najua kunata na beat..ukija kimiyeyusho na mimi nakuja hivyo hivyo,ukija kibangi bangi na mimi nitakuja kibangi bangi ili unione ni mwenzakoππkumbe nahesabu tofauti na udhanivyo.π€£π€£ππ
Nilikuwa natest zari nione..πππππ
Kuna kitu nataka nikuambie..Ulikuwa unatest nini KENZY .kwa taarifa yako najua kunata na beat..ukija kimiyeyusho na mimi nakuja hivyo hivyo,ukija kibangi bangi na mimi nitakuja kibangi bangi ili unione ni mwenzakoππkumbe nahesabu tofauti na udhanivyo.
Hii ni JF....take it easy man
π³π³π³ sasa si useme π³π³π³Kuna kitu nataka nikuambie..
Nikinywa maji nakuona kwenye kikombe!π³π³π³ sasa si useme π³π³π³