Wanaume naomba mnisaidie hapa

Nipe namba yako tuanze kuwasiliana hutajutia , kila siku full kukupigia , asubuh ,mchana, jioni na usiku .
Full doze 1x4
Mpotezee mwezi , hana time na ww
 
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]hapa Kuna story nyingine mpya
Best Anko una miaka mingapi?una utoto kama ni kwenye 30 basi una kisafari kirefu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kama kukutundikia references ni utoto basi nahisi malecturer bado wananyonya manyonyo, mana wanapenda references balaa [emoji2][emoji2][emoji2]
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kama kukutundikia references ni utoto basi nahisi malecturer bado wananyonya manyonyo, mana wanapenda references balaa [emoji2][emoji2][emoji2]

Ni utoto au we ni mgeni wa jf hapa mtu anapost kaolewa leo kesho anaomba ushauri ni mjane keshokutwa ni kigoli ukifatilia sana utajikuta wewe msomaji upo confused ndio kinacho kukuta hapa[emoji3]
Fatilia kuanzia hii post mpaka majibu yangu kwa wachangiaji yanaweza kukupa jibu ya reference ulioweka [emoji23][emoji23][emoji23]
Hebu usijaze uzi huu ni special kwanini sitafutwi week nzima hio yako rudi kule nikujibie kule
 
I agree
Nimeona moshi mapema sana huko mbele kuna moto
Siwezi kuchepuka kwa mchepukaji anakaliwa kimya huyo yupo kwenye ignore list[emoji706],siwezi kuwaza hela alafu nimfikirie na yeye kwanini hanitafuti [emoji35]
Ndio mwanzo si kama tumekuwa kwa mudaa,kila kitu tupo sawa ila hapo tu kwenye mawasiliano,sioni kosa jingine lolote mambo mengine yote yupo sawa
Nione kama mahusiano yapo kweli au nipo peke angu najidanganya
Umenifanya nitafakari
Ni mvivu kuandika hata sms kuandika ni fupi ila kuongea anaweza

Ni sahihi nikimuuliza kulikoni[emoji848]?
Sio sababu ya kuni ignore
Huwa siongelei mipango yangu ya pesa mbele yake
Pesa ni muhimu chief
Kutokana na replies zako huu uzi unakuhusu wewe mschana ambae so hard to tame [emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
 
Nipe namba yako tuanze kuwasiliana hutajutia , kila siku full kukupigia , asubuh ,mchana, jioni na usiku .
Full doze 1x4
Mpotezee mwezi , hana time na ww

Hii nayo itakinaisha sasa khee[emoji28][emoji28][emoji28]
 
Duh[emoji848]hapa kuna point,lakini...
Pigania penzi lako, wewe...mie nina totoz humu ila inaweza ikapita hata miezi sijamcheki kwa sms!! ingawa nampenda sana tuu.
Akihamua kuchepuka au kutafuta mtu mwingine shauri yake.
 
Hii nayo itakinaisha sasa khee[emoji28][emoji28][emoji28]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] hapo ndio inaanza kazi kuwatambua nyie viumbe aisee, huwa mnataka nn [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Kwa kipindi hichi Cha kampeni mbona ni kawaida wangu hatujawasiliana toka Nchi tuingie uchumi wa Kati nahisi ni kutokana na ubusy lkn Ngoja kampeni ilipita mtawasilina huenda ni mjumbe
 
Spritual words
 
Sawa mama lkn pole nahisi leo hauko sawa si wewe huyu hata tu jokes tudogo tudogo unataka kulia mamii..😜😅
Mzee huyu si mwanaume...mbna unamwita mama Tena au bado ninausingizii
 
Kwa kipindi hichi Cha kampeni mbona ni kawaida wangu hatujawasiliana toka Nchi tuingie uchumi wa Kati nahisi ni kutokana na ubusy lkn Ngoja kampeni ilipita mtawasilina huenda ni mjumbe

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mjumbee
 
Wengne sisi ni wavivu kuanzisha mawasiliano kwa simu Ila tukikutana face to face ndo utatujua Kama tuna mapenz ya kweli au laah
 
Hakupendi huyo....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…