Amehlo
JF-Expert Member
- May 8, 2019
- 10,104
- 29,178
Shindwa pepo😀😀KWamba u guys are my steps.
And between steps we still have options to explore more 😅
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shindwa pepo😀😀KWamba u guys are my steps.
And between steps we still have options to explore more 😅
wachana nae tuzungumze mada iliyopo mezani 😂Leo binadamu mtakatifu sijamuona 😀
Yale yalio constructive na yale yalio kwel ni sawa .Tofauti na zile nyuzi za tuhuma tuhuma na specilation pia accusations dhidi yao hicho ndio kimeenea sanaMtoa mada nyuzi kama hizi zenye mafunzo kwanini unataka zisiandikwe?
Ushuhuda mwanaume mwenzenu: Nilioa Single Mother yalioyonikuta ni haya. Nilichukua uamuzi huu.
Habari jf mimi nina umri wa miaka 40 sasa, ni member wa jf mda tuu ila nimekuja na id hii mpya kuleta kisa changu kilichonikuta na uhamuzi niliochukua. Mimi ni mmoja wa wapondaji sana wa single mother humu jf coz yalinikuta mwenzenu. Nitajitahidi kuelezea kwa ufupi. Mwaka 2009 nilikutana na...www.jamiiforums.com
Soma huo uzi, ni wa tuhuma dhidi ya single mother. Ni mzuri sana[emoji1787][emoji1787]Yale yalio constructive na yale yalio kwel ni sawa .Tofauti na zile nyuzi za tuhuma tuhuma na specilation pia accusations dhidi yao hicho ndio kimeenea sana
😀😀😀😀😀😀omba acc namba uone kama utakua umepiga hatua 2 mbele au 20 nyumaChangamoto yako ndio hii Amehlo , nikifikiria kuwa nimepiga hatua 2 mbele kuelekea safar ya matumaini bas unakuja kunirudisha hatua 20 nyuma..
We jua tu mi siachi ng'ooo
Soma huo uzi, ni wa tuhuma dhidi ya single mother. Ni mzuri sana[emoji1787][emoji1787]
Man's dominance is something bestowed on us by God, the Almighty himself.Huo ni ukweli mchungu, Wanaume wamezidiwa pakubwa sana na Wanawake ndio maana kutwa kulia lia na wakiona kuna kisa Mwanamke kanyanyaswa wanafurahi hadi wanatamani wavue nguo hadharani,
Wanaume waliisha miaka ya 80, kuanzia 90 ni huzuni kwa kweli.
#KAA MGUU PANDE ZAMA ZA MWANAMKE KUTAWALA DUNIA ZIMEFIKA.
Nitumie basi acc namba bas😀😀😀😀😀😀omba acc namba uone kama utakua umepiga hatua 2 mbele au 20 nyuma
Mpka ufundishweNitumie basi acc namba bas
Hahaha nipo mkuuLeo binadamu mtakatifu sijamuona 😀
[emoji12]Tunawachora tu
Hapana chief.Mimi ni mwanaume kamili kabisa.Wewe ni KE?
Sawaaa...😀😀😀😀😀tumuonesh receipt tu
[emoji3][emoji3][emoji3]Tunawachora tu
Tusipoongelea mbususu unafikiri itakuajekichwa cha uzi kinajieleza.
Guys, nafikiri hawa wanawake sasa tuwapumzishe , this is too much maana halipiti lisaa limoja uzi kuhusu mwanamke uko posted. Na kibaya zaid ni wanaume ndio wanalia lia kuhusu hawa wanawake , mara wanawake hivi, mara wanawake vile, jamani ndio kusema wametushinda kiasi hiki mpaka kufikia hatua ya kutema nyong every hour hapa JF??
Msome mwanamke wako, ukishamjua tulia kimya na jua namna ya kuenenda nae. Sio kisa manzi ako anapenda hela basi una kuja kulia lia hapa, tafuta hela mpe au piga chini tafuta unaye mmudu.
Kwanini uhangaike na vilivyo juu ya uwezo wako? wanasema ukiona vyaelea ujue vimeundwa. Kama vimeundwa basi waundaji wapo pia. Mwanamke mzuri anagharamiwa. Sina maana kama na mimi pia nagharamia au nawapigia promo, hapana, nachofanya mimi naiba waliogharamiwa, namlaghai, nikishapata nachotaka kila mtu anaendelea na yake, i dont keep a woman that i cant afford, huo ni mzigo wa kujitakia. Halaf mwanamke ghali wala huhitaji degree kumjua kwamba hapo utatakiwa kuwekeza pesa ya kutosha, na mwanamke mjanja mjanja pia ni rahis tu kumjua so tafuta unapopamudu pambana na hapo.
Sio unataka mambo mazuri halafu huna uwezo ,ukipigwa na kitu kizito unakuja kuanza kulia lia hapa jukwaani.
Halaf mnapokesha kusema wanawake wa hapa ni ma jobless mara shapeless mara beutless hizi ni tuhuma za kishamba sana sana kutolewa na mwanaume rijali aliyekamilika,yan ni vitoto pekee ndio vinakuja na hoja kama hzi. Wewe tafuta wa size yako uone kama utalalamika. Huwezi!!!
Ukitaka vizuri vilivyokuzidi uwezo na hutaki kugharamika basi jua tu kuwa unahitaji mbinu kuvipata. Hiz ni mbinu mshtukizo, yan manzi kabla hajajua nini kinaendelea au kabla hajaanza kukupa invoice ambazo ni halali yake, kwa kutumia hizo mbinu basi anajikuta ashaliwa zamani halaf huonekani.
Unaziua hizo mbinu?
huwezi kuzijua wewe kama kila siku unakaa kulia lia hapa kuhusu wanawake badala ya kutafuta suluhisho.
Heb tuwaache hawa wanawake.Sio kila dakika tu kuwaandama kana kwamba hamna kazi za kufanya wanaume wazima.
na ujue nini, wao badala ya kulalamika, wanakaa kimyaaaa kutusoma kisha wanakaza uzi kutunyoosha zaidi. na kwa hali hii nachelea kufikiri kwamba hawa wanawake wametushika pabaya, maana haiwezekani kila siku ni wanaume tuu wanalalamika.
Ahsanteni.
TUziongelee pasipo kutweza utu wao..Tusipoongelea mbususu unafikiri itakuaje