Wanaume ndio chanzo cha ma single mother, lakini kashfa, dharau, matusi na kebehi husukumiwa wanawake. Tuwe na heshima kidogo

Wanaume ndio chanzo cha ma single mother, lakini kashfa, dharau, matusi na kebehi husukumiwa wanawake. Tuwe na heshima kidogo

Bujibuji Simba Nyamaume

JF-Expert Member
Joined
Feb 4, 2009
Posts
76,107
Reaction score
160,001
Wanawake wamekuwa ni wahanga wakubwa wa mahusiano hapa chini ya jua.

Unampa mimba mwanamke, unakataa mimba, halafu kesho unategemea aweje kama sio single mother?

Mwanamke kafiwa na baba watoto wake unategemea nini? Kwanini uje hapa JF kuwatukana na kuwasimanga single mothers?

Hebu tujaribu kuvaa viatu vyao, kwa kiasi kikubwa single mothers ni matokeo ya kutokuwajibika kwetu, licha ya kwamba kuna wanawake wengine ni pasua kichwa sana, hadi ni ngumu kuishi nao
 
Wanawake wamekuwa ni wahanga wakubwa wa mahusiano hapa chini ya jua.

Unampa mimba mwanamke, unakataa mimba, halafu kesho unategemea aweje kama sio single mother?

Mwanamke kafiwa na baba watoto wake unategemea nini? Kwanini uje hapa JF kuwatukana na kuwasimanga single mothers?


Hebu tujaribu kuvaa viatu vyao, kwa kiasi kikubwa single mothers ni matokeo ya kutokuwajibika kwetu, licha ya kwamba kuna wanawake wengine ni pasua kichwa sana, hadi ni ngumu kuishi nao
Wajane watamu sana lakini tuseme ukweli tu sio uongo,
 
Wanawake wamekuwa ni wahanga wakubwa wa mahusiano hapa chini ya jua.

Unampa mimba mwanamke, unakataa mimba, halafu kesho unategemea aweje kama sio single mother?

Mwanamke kafiwa na baba watoto wake unategemea nini? Kwanini uje hapa JF kuwatukana na kuwasimanga single mothers?


Hebu tujaribu kuvaa viatu vyao, kwa kiasi kikubwa single mothers ni matokeo ya kutokuwajibika kwetu, licha ya kwamba kuna wanawake wengine ni pasua kichwa sana, hadi ni ngumu kuishi nao
Singo maza? ARE YOU SERIOUS MKUU

Mi binafsi naona masingo maza wote duniani hawana shida ila ila ila ila

Hamna mwanaume aliyembaka mkuuu wamekulana kwa starehe zao, wamekukojolea, wamekuacha,

Na walivyowajinga wanaliwa na kuzalishwa na wahuni tu husband material mnakataa mnawaona ni weak men

Acheni waendelee kuongezeka tu maana tufanyeje sasa mtu mzima mwenye akili haambiwi fikiri
 
Wewe bado hujapigwa matukio na singo maza ndio maana unayatetea haya madubwasha...

Kama bado hajakuonesha kaburi la baba wa mtoto wake,bora ukalale kituo cha polisi kuliko kuoa singo maza....

Mimi kwa matukio niliyopigwa na singo maza hata nimkute anapigana na nyoka,nitamsaidia nyoka...
 
Wewe bado hujapigwa matukio na singo maza ndio maana unayatetea haya madubwasha...

Kama bado hajakuonesha kaburi la baba wa mtoto wake,bora ukalale kituo cha polisi kuliko kuoa singo maza....

Mimi kwa matukio niliyopigwa na singo maza hata nimkute anapigana na nyoka,nitamsaidia nyoka...
🤜👏🦾
 
Kitu ambacho Watanzania hatuji Mwanamke umri wake unavyozidi kuwa mkubwa huwezo wake wa Akili unashuka kwa kiasi kikubwa .

Binafsi naamini single mothers ni zao la wanawake kwakuwa na Huwezo Mdogo wa kuchakata mambo .

Yaani Mtu anabeba Mimba huku hamjui baba wa mtoto ni Nani anabaki kubahatisha tu .


Also single mothers wa halali wapo lakini hawazi 1% Hawa walifiwa na waume zao wengine walibakwa ,na wengine Ni insane (mental disorder)
 
Wewe bado hujapigwa matukio na singo maza ndio maana unayatetea haya madubwasha...

Kama bado hajakuonesha kaburi la baba wa mtoto wake,bora ukalale kituo cha polisi kuliko kuoa singo maza....

Mimi kwa matukio niliyopigwa na singo maza hata nimkute anapigana na nyoka,nitamsaidia nyoka...
Usigeneralize,sio wote wapo hivyo,ni hao vichaa wachache uliokutana nao,kuna wengine wako poa tu
 
Wanawake wamekuwa ni wahanga wakubwa wa mahusiano hapa chini ya jua.

Unampa mimba mwanamke, unakataa mimba, halafu kesho unategemea aweje kama sio single mother?

Mwanamke kafiwa na baba watoto wake unategemea nini? Kwanini uje hapa JF kuwatukana na kuwasimanga single mothers?


Hebu tujaribu kuvaa viatu vyao, kwa kiasi kikubwa single mothers ni matokeo ya kutokuwajibika kwetu, licha ya kwamba kuna wanawake wengine ni pasua kichwa sana, hadi ni ngumu kuishi nao
Kwani hizo mimba huingizwa kwa wireless au wifi? Au single mother wote walibakwa? , Hayo yatabaki makubaliano ya watu wawili, kabla shetani hajakaa katikati yao ? .. kuna mambo mengi hapo mengi hatujui,

Hakuna mwanaume anaacha damu yake kizembe? Wanaume nao ni binadamu wanaoitia mengi.. ukiona mwanaume hana mpango na damu yake ujue kuna jambo kubwa limemshinda.
 
Mentorship ni kwa wote bro
Yes Mkuu,
Binafsi ile moment Mtu anaolewa ndani ya madhabau , huku akiwa bikra ni Jambo Ambalo linafurahisha Sana .

Sometimes natamani Sana kuona moments Ambazo ni unforgettable zikitokea katika Maisha ya watu before his/her Death
It better late and make perfectly

My bro got married marrige at the age of 35 na mke wake she was around 30 yrs niseme tu my bro ni real God fearing Sana so alitumia Muda mrefu kusoma na kujitafta kiroho Hadi kimwili sahivi yupo na 43 yrs he has three kids .
Niseme ndoa Yao imefungwa 2014 so ni moja ya ndoa Bora Sana hapa TANZANIA zilizotulia.

Niseme we need to mentor peoples about to focus on direction na sio speed all we need , ni utulivu wa Mwili roho na Akili.

Unakimbilia kuzaa eti unakimbizana na Muda unaishia kuwa single mother
Au Mwanaume unatia Mimba bila kuoa huku wewe mwenyewe huna pesa za kujihudumia na kuhudumia mtoto , haraka ni ya SHETANI tu .

To be matured is to know what to keep and what to throw.

Single mothers are supposed to be used as study case kuonesha kuwa life is not simple on Ground.

Tusiwatenge tuwatumie Kama mifano na tuwape tumaini jipya la kuishi katika Usafi wa Roho , Matendo na Mwili.
 
Wanawake wamekuwa ni wahanga wakubwa wa mahusiano hapa chini ya jua.

Unampa mimba mwanamke, unakataa mimba, halafu kesho unategemea aweje kama sio single mother?

Mwanamke kafiwa na baba watoto wake unategemea nini? Kwanini uje hapa JF kuwatukana na kuwasimanga single mothers?


Hebu tujaribu kuvaa viatu vyao, kwa kiasi kikubwa single mothers ni matokeo ya kutokuwajibika kwetu, licha ya kwamba kuna wanawake wengine ni pasua kichwa sana, hadi ni ngumu kuishi nao

Wanaume chanzo cha singomamaza😮
Wanaume chanzo cha mashoga🙄
Wanaume kichwa cha familia🙏

Wakiamua wanaume kubadilika hizi shida zinaisha

Maombi yetu hata leo Mungu awabadilishe
 
Single maza wengi wa sikuhizi ni zao la ukosefu wa akili. Mtu anajua kabisa kwamba hapendwi ila anajibebesha mimba makusudi. Akishazaa na mtu ambaye hampendi anakuwa mistreated mwisho anaachika bila kuolewa.

Wengine ndio hao anazaa na mume wa mtu kisa njaa zake za kiboya. Anainjoy kulipiwa kodi na kupewa ela za saluni. Anajihisi nae ni mke wa pili anabeba mimba huduma zikikata analia lia noki.
 
Back
Top Bottom