Wanaume ndio chanzo cha ma single mother, lakini kashfa, dharau, matusi na kebehi husukumiwa wanawake. Tuwe na heshima kidogo

Wanaume ndio chanzo cha ma single mother, lakini kashfa, dharau, matusi na kebehi husukumiwa wanawake. Tuwe na heshima kidogo

Wanawake wamekuwa ni wahanga wakubwa wa mahusiano hapa chini ya jua.

Unampa mimba mwanamke, unakataa mimba, halafu kesho unategemea aweje kama sio single mother?

Mwanamke kafiwa na baba watoto wake unategemea nini? Kwanini uje hapa JF kuwatukana na kuwasimanga single mothers?


Hebu tujaribu kuvaa viatu vyao, kwa kiasi kikubwa single mothers ni matokeo ya kutokuwajibika kwetu, licha ya kwamba kuna wanawake wengine ni pasua kichwa sana, hadi ni ngumu kuishi nao
Una point. Hilo ni tatizo la mashoga pia, wanalaumiwa wanaofanyiwa, wanaofanya na ndiyo waharibifu, wanapuyanga tu
 
Yes Mkuu,
Binafsi ile moment Mtu anaolewa ndani ya madhabau , huku akiwa bikra ni Jambo Ambalo linafurahisha Sana .

Sometimes natamani Sana kuona moments Ambazo ni unforgettable zikitokea katika Maisha ya watu before his/her Death
It better late and make perfectly

My bro got married marrige at the age of 35 na mke wake she was around 30 yrs niseme tu my bro ni real God fearing Sana so alitumia Muda mrefu kusoma na kujitafta kiroho Hadi kimwili sahivi yupo na 43 yrs he has three kids .
Niseme ndoa Yao imefungwa 2014 so ni moja ya ndoa Bora Sana hapa TANZANIA zilizotulia.

Niseme we need to mentor peoples about to focus on direction na sio speed all we need , ni utulivu wa Mwili roho na Akili.

Unakimbilia kuzaa eti unakimbizana na Muda unaishia kuwa single mother
Au Mwanaume unatia Mimba bila kuoa huku wewe mwenyewe huna pesa za kujihudumia na kuhudumia mtoto , haraka ni ya SHETANI tu .

To be matured is to know what to keep and what to throw.

Single mothers are supposed to be used as study case kuonesha kuwa life is not simple on Ground.

Tusiwatenge tuwatumie Kama mifano na tuwape tumaini jipya la kuishi katika Usafi wa Roho , Matendo na Mwili.
The best comment of the day
 
Yes Mkuu,
Binafsi ile moment Mtu anaolewa ndani ya madhabau , huku akiwa bikra ni Jambo Ambalo linafurahisha Sana .

Sometimes natamani Sana kuona moments Ambazo ni unforgettable zikitokea katika Maisha ya watu before his/her Death
It better late and make perfectly

My bro got married marrige at the age of 35 na mke wake she was around 30 yrs niseme tu my bro ni real God fearing Sana so alitumia Muda mrefu kusoma na kujitafta kiroho Hadi kimwili sahivi yupo na 43 yrs he has three kids .
Niseme ndoa Yao imefungwa 2014 so ni moja ya ndoa Bora Sana hapa TANZANIA zilizotulia.

Niseme we need to mentor peoples about to focus on direction na sio speed all we need , ni utulivu wa Mwili roho na Akili.

Unakimbilia kuzaa eti unakimbizana na Muda unaishia kuwa single mother
Au Mwanaume unatia Mimba bila kuoa huku wewe mwenyewe huna pesa za kujihudumia na kuhudumia mtoto , haraka ni ya SHETANI tu .

To be matured is to know what to keep and what to throw.

Single mothers are supposed to be used as study case kuonesha kuwa life is not simple on Ground.

Tusiwatenge tuwatumie Kama mifano na tuwape tumaini jipya la kuishi katika Usafi wa Roho , Matendo na Mwili.
Leo umeandika point 🤝🤝🤝
 
Kama una mtoto wa kike hakikisha unampa elimu na exposure ili awe independent chanzo kikubwa cha single mothers ni tamaa.

Single mother pia anakosa thamani akiwa hana financial muscles lakini akiwa vizuri kichwani na anakipato that should not be a problem.

Each one teach one
 
Tunashukuru hata wapo wanaume wa kutupatia watoto,hayo mengi usiyajali wapuuze.....wanaume sasa ni wachache sana wengi wamekimbilia uwanawake.,....nao wanapiga ndulu"babe usiweke yote![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119]
duuu kumbe ndio unamauzi hivi
 
Wanawake wamekuwa ni wahanga wakubwa wa mahusiano hapa chini ya jua.

Unampa mimba mwanamke, unakataa mimba, halafu kesho unategemea aweje kama sio single mother?

Mwanamke kafiwa na baba watoto wake unategemea nini? Kwanini uje hapa JF kuwatukana na kuwasimanga single mothers?


Hebu tujaribu kuvaa viatu vyao, kwa kiasi kikubwa single mothers ni matokeo ya kutokuwajibika kwetu, licha ya kwamba kuna wanawake wengine ni pasua kichwa sana, hadi ni ngumu kuishi nao
Swadakta chief
 
Yes wanaume wanaweza kuwa chanzo cha single mothers, lakini iwene wewe mwanamke uzae na mtu ambaye sio mumeo?

Mtu hajakuoa, unakubali vipi kubeba mimba yake?
 
Mtu anaanza kushiriki ngono/kufanya mapenzi kabla hajaielewa elimu ya mahusiano si mabinti si vijana kijana mwelewa hawezi kukataa mtoto na ana uhakika ni wake 100%

MASINGO MAZA M/MUNGU ATAWASAIDIA INSHAALLAH

NB
Ukibebeshwa mimba ya kwanza na jamaa akakataa mimba baada ya kuzaa mtoto wako achana na wanaume Lea mtoto wako jitafutie biashara jenga uchumi wako vizuri sijasema usishiriki penzi shirki Kwa tahadhali usipate mimba nyingine kaa lea mtoto wako

Sio tena

Umeshaachiwa mtoto na kijamaa huko unapanic unaanza kugawa utamu kwa kila mwanaume kwa kigezo upate pesa ulee mtoto wako mambo hayapo hivyo hauwezi kulea mtoto Kwa kutegemea mtomboz utaachiwa na watoto wengine maisha yawe magumu zaidi na hadhi yako ishuke zaidi.. take care binafsi nna moyo mdogo sana nnapomuona singo maza daah inakuaje! Sasa mnawakimbia na mna uhakika watoto wenu na miaka ya baadae mnakuja kuwataka watoto wakawaone mama zenu Na huduma mlikuwa hamtoi wala nn? Sengez
 
Back
Top Bottom