To yeye
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 35,686
- 86,968
Kwani huyo MTU mnaenipa yeye kasemaje? Maana sielewi.Am single mom! Ukitaka kunioa mie nipo....njoo kwa mama mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani huyo MTU mnaenipa yeye kasemaje? Maana sielewi.Am single mom! Ukitaka kunioa mie nipo....njoo kwa mama mkuu
Una point. Hilo ni tatizo la mashoga pia, wanalaumiwa wanaofanyiwa, wanaofanya na ndiyo waharibifu, wanapuyanga tuWanawake wamekuwa ni wahanga wakubwa wa mahusiano hapa chini ya jua.
Unampa mimba mwanamke, unakataa mimba, halafu kesho unategemea aweje kama sio single mother?
Mwanamke kafiwa na baba watoto wake unategemea nini? Kwanini uje hapa JF kuwatukana na kuwasimanga single mothers?
Hebu tujaribu kuvaa viatu vyao, kwa kiasi kikubwa single mothers ni matokeo ya kutokuwajibika kwetu, licha ya kwamba kuna wanawake wengine ni pasua kichwa sana, hadi ni ngumu kuishi nao
[emoji23][emoji23][emoji23]Single mothers na walimu ni tatizo hapa nchini.
The best comment of the dayYes Mkuu,
Binafsi ile moment Mtu anaolewa ndani ya madhabau , huku akiwa bikra ni Jambo Ambalo linafurahisha Sana .
Sometimes natamani Sana kuona moments Ambazo ni unforgettable zikitokea katika Maisha ya watu before his/her Death
It better late and make perfectly
My bro got married marrige at the age of 35 na mke wake she was around 30 yrs niseme tu my bro ni real God fearing Sana so alitumia Muda mrefu kusoma na kujitafta kiroho Hadi kimwili sahivi yupo na 43 yrs he has three kids .
Niseme ndoa Yao imefungwa 2014 so ni moja ya ndoa Bora Sana hapa TANZANIA zilizotulia.
Niseme we need to mentor peoples about to focus on direction na sio speed all we need , ni utulivu wa Mwili roho na Akili.
Unakimbilia kuzaa eti unakimbizana na Muda unaishia kuwa single mother
Au Mwanaume unatia Mimba bila kuoa huku wewe mwenyewe huna pesa za kujihudumia na kuhudumia mtoto , haraka ni ya SHETANI tu .
To be matured is to know what to keep and what to throw.
Single mothers are supposed to be used as study case kuonesha kuwa life is not simple on Ground.
Tusiwatenge tuwatumie Kama mifano na tuwape tumaini jipya la kuishi katika Usafi wa Roho , Matendo na Mwili.
Leo umeandika point 🤝🤝🤝Yes Mkuu,
Binafsi ile moment Mtu anaolewa ndani ya madhabau , huku akiwa bikra ni Jambo Ambalo linafurahisha Sana .
Sometimes natamani Sana kuona moments Ambazo ni unforgettable zikitokea katika Maisha ya watu before his/her Death
It better late and make perfectly
My bro got married marrige at the age of 35 na mke wake she was around 30 yrs niseme tu my bro ni real God fearing Sana so alitumia Muda mrefu kusoma na kujitafta kiroho Hadi kimwili sahivi yupo na 43 yrs he has three kids .
Niseme ndoa Yao imefungwa 2014 so ni moja ya ndoa Bora Sana hapa TANZANIA zilizotulia.
Niseme we need to mentor peoples about to focus on direction na sio speed all we need , ni utulivu wa Mwili roho na Akili.
Unakimbilia kuzaa eti unakimbizana na Muda unaishia kuwa single mother
Au Mwanaume unatia Mimba bila kuoa huku wewe mwenyewe huna pesa za kujihudumia na kuhudumia mtoto , haraka ni ya SHETANI tu .
To be matured is to know what to keep and what to throw.
Single mothers are supposed to be used as study case kuonesha kuwa life is not simple on Ground.
Tusiwatenge tuwatumie Kama mifano na tuwape tumaini jipya la kuishi katika Usafi wa Roho , Matendo na Mwili.
duuu kumbe ndio unamauzi hiviTunashukuru hata wapo wanaume wa kutupatia watoto,hayo mengi usiyajali wapuuze.....wanaume sasa ni wachache sana wengi wamekimbilia uwanawake.,....nao wanapiga ndulu"babe usiweke yote![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119]
Hawa ndio huwa tunawajadili hapa, hawafai kabisalicha ya kwamba kuna wanawake wengine ni pasua kichwa sana,
sawa kambi ya fisi chugaHawa ndio huwa tunawajadili hapa, hawafai kabisa
Poa mkuusawa kambi ya fisi chuga
Swadakta chiefWanawake wamekuwa ni wahanga wakubwa wa mahusiano hapa chini ya jua.
Unampa mimba mwanamke, unakataa mimba, halafu kesho unategemea aweje kama sio single mother?
Mwanamke kafiwa na baba watoto wake unategemea nini? Kwanini uje hapa JF kuwatukana na kuwasimanga single mothers?
Hebu tujaribu kuvaa viatu vyao, kwa kiasi kikubwa single mothers ni matokeo ya kutokuwajibika kwetu, licha ya kwamba kuna wanawake wengine ni pasua kichwa sana, hadi ni ngumu kuishi nao
Tatizo kubwa zaidi niwaliowafanya kuwa "single mothers".Single mothers na walimu ni tatizo hapa nchini.
Wanaitwa wana wa joka na majokaHawa ndio huwa tunawajadili hapa, hawafai kabisa