Wanaume ndio chanzo cha ma single mother, lakini kashfa, dharau, matusi na kebehi husukumiwa wanawake. Tuwe na heshima kidogo

Wanaume ndio chanzo cha ma single mother, lakini kashfa, dharau, matusi na kebehi husukumiwa wanawake. Tuwe na heshima kidogo

Single maza wengi wa sikuhizi ni zao la ukosefu wa akili. Mtu anajua kabisa kwamba hapendwi ila anajibebesha mimba makusudi. Akishazaa na mtu ambaye hampendi anakuwa mistreated mwisho anaachika bila kuolewa. Wengine ndio hao anazaa na mume wa mtu kisa njaa zake za kiboya. Anainjoy kulipiwa kodi na kupewa ela za saluni. Anajihisi nae ni mke wa pili anabeba mimba huduma zikikata analia lia noki.
Single maza wengi wa sikuhizi ni zao la ukosefu wa akili. Mtu anajua kabisa kwamba hapendwi ila anajibebesha mimba makusudi. Akishazaa na mtu ambaye hampendi anakuwa mistreated mwisho anaachika bila kuolewa. Wengine ndio hao anazaa na mume wa mtu kisa njaa zake za kiboya. Anainjoy kulipiwa kodi na kupewa ela za saluni. Anajihisi nae ni mke wa pili anabeba mimba huduma zikikata analia lia noki.
Wanaume chanzo cha singomamaza😮 Wanaume chanzo cha mashoga🙄 Wanaume kichwa cha familia🙏 Wakiamua wanaume kubadilika hizi shida zinaisha Maombi yetu hata leo Mungu awabadilishe
Single maza wengi wa sikuhizi ni zao la ukosefu wa akili. Mtu anajua kabisa kwamba hapendwi ila anajibebesha mimba makusudi. Akishazaa na mtu ambaye hampendi anakuwa mistreated mwisho anaachika bila kuolewa. Wengine ndio hao anazaa na mume wa mtu kisa njaa zake za kiboya. Anainjoy kulipiwa kodi na kupewa ela za saluni. Anajihisi nae ni mke wa pili anabeba mimba huduma zikikata analia lia noki.
Single maza wengi wa sikuhizi ni zao la ukosefu wa akili. Mtu anajua kabisa kwamba hapendwi ila anajibebesha mimba makusudi. Akishazaa na mtu ambaye hampendi anakuwa mistreated mwisho anaachika bila kuolewa. Wengine ndio hao anazaa na mume wa mtu kisa njaa zake za kiboya. Anainjoy kulipiwa kodi na kupewa ela za saluni. Anajihisi nae ni mke wa pili anabeba mimba huduma zikikata analia lia noki.
Single maza wengi wa sikuhizi ni zao la ukosefu wa akili. Mtu anajua kabisa kwamba hapendwi ila anajibebesha mimba makusudi. Akishazaa na mtu ambaye hampendi anakuwa mistreated mwisho anaachika bila kuolewa. Wengine ndio hao anazaa na mume wa mtu kisa njaa zake za kiboya. Anainjoy kulipiwa kodi na kupewa ela za saluni. Anajihisi nae ni mke wa pili anabeba mimba huduma zikikata analia lia noki.
Single maza wengi wa sikuhizi ni zao la ukosefu wa akili. Mtu anajua kabisa kwamba hapendwi ila anajibebesha mimba makusudi. Akishazaa na mtu ambaye hampendi anakuwa mistreated mwisho anaachika bila kuolewa. Wengine ndio hao anazaa na mume wa mtu kisa njaa zake za kiboya. Anainjoy kulipiwa kodi na kupewa ela za saluni. Anajihisi nae ni mke wa pili anabeba mimba huduma zikikata analia lia noki.
Single maza wengi wa sikuhizi ni zao la ukosefu wa akili. Mtu anajua kabisa kwamba hapendwi ila anajibebesha mimba makusudi. Akishazaa na mtu ambaye hampendi anakuwa mistreated mwisho anaachika bila kuolewa. Wengine ndio hao anazaa na mume wa mtu kisa njaa zake za kiboya. Anainjoy kulipiwa kodi na kupewa ela za saluni. Anajihisi nae ni mke wa pili anabeba mimba huduma zikikata analia lia noki.
Single maza wengi wa sikuhizi ni zao la ukosefu wa akili. Mtu anajua kabisa kwamba hapendwi ila anajibebesha mimba makusudi. Akishazaa na mtu ambaye hampendi anakuwa mistreated mwisho anaachika bila kuolewa. Wengine ndio hao anazaa na mume wa mtu kisa njaa zake za kiboya. Anainjoy kulipiwa kodi na kupewa ela za saluni. Anajihisi nae ni mke wa pili anabeba mimba huduma zikikata analia lia noki.
Single maza wengi wa sikuhizi ni zao la ukosefu wa akili. Mtu anajua kabisa kwamba hapendwi ila anajibebesha mimba makusudi. Akishazaa na mtu ambaye hampendi anakuwa mistreated mwisho anaachika bila kuolewa. Wengine ndio hao anazaa na mume wa mtu kisa njaa zake za kiboya. Anainjoy kulipiwa kodi na kupewa ela za saluni. Anajihisi nae ni mke wa pili anabeba mimba huduma zikikata analia lia noki.
 
Kwa hiyo kama tatzo kalisababisha mwanaume mwingne mimi nakua na haki ya kulibeba hilo tatizo kisa tu ni mwanaume mwenzangu?!!!!!!!
Swali zuri sana maana kuna watu ni wapumbavu sana, makosa afanye mwingine mzigo apewe mwingine
 
Mbali na tabia mbaya za wanawake zinazopelekea sisi wanaume tuwakatae na kuwaacha wakiwa single mother.

IFAHAMIKE KWAMBA;-

Wanaume tunajua wazi kabisa mwanamke akidai mimba kwa nguvu na ukakataa kumpea ana kudharau sana, anakuona hanithi, tasa na mbaya zaidi ukishupaza shingo anaenda kukubebea ya kidume mwezako na ukiwa bwege bwege una bambikwa ili kukomolewa.

Katika harakati za wanawake wetu kudai mimba kwa nguvu kumeibuka kauli tata sana na ambayo inaongeza single mother kwa wingi sana na yenye mashaka makubwa pamoja na ya kutumia akili sana ni hii ambapo mpo katikati ya mnyanduano mwanamke anakuambia

""NIPE MIMBA NITALEA MWENYEWE""

Kijana ukijichanganya hapa fahamu wazi kabisa umeingia cha kike na umeshiriki kuongeza single mother mtaani pasi na mashaka yoyote na hata wakati mwingine kulazimishwa kuoa bila kutarajia tena hata kwa usiye mpenda hakika

Ndugu zangu kauli hii tata imekua chachu ya ongezeko la single mother wengi mtaani kutokana na nguvu kubwa ya ushawishi walio nao mabinti wengi katikati ya mnyanduano huku wa kiongozwa na shetani pamoja na hisia zao.

Kijana unakuta hayupo teyari kuzaa na mwanamke ila ana shawishiwa mithili ya nyoka alivyo mshawishi mwanamke pale bustani ya eden mpaka mwanaume anajikuta anaachia mbolea ndani kwenye kipochi manyoya kwa matumaini ya asionekane bwege na tasa pindi mwanamke anapo dai mimba huku mwanamke akihimiza atalea mwenyewe hata kama mwanaume hutaki kulea na hauna mpango wowote wa kua na mtoto kwa wakati huo.

Ndugu zangu maneno haya yaliyo beba uharibifu mkubwa wa "nipe mimba nitalea mwenyewe" kutoka kwa mwanamke ni matamu sana hasa hasa pale anapo ya zungumza mwanamke katikati ya mnyanduano huku kakutegeshe siku hatari na shetani akiwa katikati yenu basi yanafanya kazi ya uharibifu kwa haraka sana.

Ndugu hili swala hupelekea vijana wengi sana kuwapa mimba wanawake pasipo na kuridhia na baadae kuwakataa maana hawakua teyari kuzaa nao bali ni msukumo uliotoka kwa mwanamke na hivyo kupelekea ongezeko la single mother wengi sana mitaani.

Wanawake kumbukeni mwanaume hategwi na wanaume wengi sana mnao walalamikia wamewatelekeza wanasema hawakua teyari kuzaa na nyie ila ndiyo nyie mlilazimisha kuzalishwa kwa kuwashinikiza mtalea wenyewe mbali kabisa wanafikia kusema waliogopa wasipo wapa mimba mtawaona mabwege, wajinga na kuwadharau sana.

NAWAOMBENI WANAWAKE HII TABIA MUIACHE HARAKA, NA BASI SISI KAMA WANAUME TUTUMIE AKILI SANA PINDI TUKUTANAPO NA USHAWISHI HUU WA KIPUUZI MAANA TUKIWAENDEKEZA HAWA WOTE WATAKUA SINGLE MOTHER ALAFU HAKUNA KITU TUTAKIFANYA CHA BARAKA NA AMANI MAAN DAMU ZA WATOTO WETU TULIOWATELEKEZA NA WENGINE KUFA KWA KUKOSA HUDUMA BORA ZINALIA KWA UCHUNGU NA TUTALAANIWA

Naomba kuwasilisha waraka huu.


NB: MWANAUME HAKOMOLEWI, MWANAUME HATEGWI . MTOTO ATATESEKA SANA, SINGLE MOTHER WATAKUA WENGI MNO
 
Miaka 18-25 ni umri wa ndoto kubwa za nia njema na matarajio makubwa (mfano; ndoto za kuwa bosi fulani hivi, higher position, kumiliki mambo makubwa n.k).

Miaka 31-35 ni umri wa majuto na roho mbaya (pia ni umri wa kutengwa au kujitenga na mambo yako hususani kwa wanaume).
 
Hapo kwenye kuoa mtu haumpendi hapo. Mwanaume rijali unawezaje kulala na mwanamke ambae haumpendi, unashindwaje kulala na huyo unaempenda. Ukiona unalala na mwanamke haumpendi na hauko tayari kumuoa basi una matatizo makubwa yaani hushindwi kwenda uwanja wa fisi au kule alikobomoa RC kujipoza.
 
Hapo kwenye kuoa mtu haumpendi hapo. Mwanaume rijali unawezaje kulala na mwanamke ambae haumpendi, unashindwaje kulala na huyo unaempenda. Ukiona unalala na mwanamke haumpendi na hauko tayari kumuoa basi una matatizo makubwa yaani hushindwi kwenda uwanja wa fisi au kule alikobomoa RC kujipoza.
Mwanaume rijali kulala na mwanamke si lazima ampende. Wakati mwingine ni tamaa tuu inayo waka ndani yetu.

MWANAUME RIJALI KAMA HUNA TAMAA TAMBUA UMELOGWA AU KUNA NATI HAZIPO SAWA
 
Sasa akikwambia umpe ujauzito atalea mwenyewe na wewe ndio umpe? Kwa hiyo hata kama ana uwezo wa kulea mwenyewe wewe kama mwanaume unajisikiaje uzao wako kuja duniani halafu haushughuliki nao?
Wanaume hatuna uchungu na watoto kama wanawake, ndo maana mwanaume anaweza acha watoto, Mtwara na yeye yuko Kigoma na wala asikumbuke kama kuna watoto katelekeza. Mtoto ni wa mama
 
Kuna mpuuzi mmoja juzi juz hapa anasema kanimiss anataka nimkaze.

Nikaenda straight kabisa lini upo safe? Akaniambia Alhamis hii, wakati hapo ni juzi tu anataka nimkune. Ina maana ningeenda kichwa kichwa tyr angebeba Mimba.
 
Wanaume hatuna uchungu na watoto kama wanawake, ndo maana mwanaume anaweza acha watoto, Mtwara na yeye yuko Kigoma na wala asikumbuke kama kuna watoto katelekeza. Mtoto ni wa mama

Mpo vizuri.

Acha nimshukuru Mungu kwa Baba watoto aliyenipatia kwa kweli. Ana uchungu na watoto wetu hata kuliko mimi yaani.
 
Back
Top Bottom