Ataona bora awe singleLabda akutane na mwanaume kitasa haswa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ataona bora awe singleLabda akutane na mwanaume kitasa haswa
Vidole lazima wanyoshewe tu.Usimnyooshee kidole mtu kisa ni single hali nawe una watoto ujui kesho kwako
Wanapenda kuwa au wanalazimishwaVidole lazima wanyoshewe tu.
Hata watoto au dada zetu wakiwa single wao ndo watanyoshewa vidole
Wanapenda kuwaWanapenda kuwa au wanalazimishwa
Na nyie acheni kuwaroga wanaume.
Duh.... kumbe shetani ni mwanamke!!!!!!Kuhaingaika kwenu hamtalogwa tuu
Mtalala hadi na shetani mwenyewe
Duh.... kumbe shetani ni mwanamke!!!!!!
Na mashogà je?Malaika ni watu na mashetani ni watu
Wakiume wapo na wakike wapo
Na mashogà je?
Tena ni masheitwani wenyeweNi malaika kundi la ibilisi, Lucifer Yule malaika aliyeasi
sawa To yeyeYeah mkuu,nasimamia furaha yangu kwanza
😉sawa To yeye
Mkuu weka namba tukublessWanawake wamekuwa ni wahanga wakubwa wa mahusiano hapa chini ya jua.
Unampa mimba mwanamke, unakataa mimba, halafu kesho unategemea aweje kama sio single mother?
Mwanamke kafiwa na baba watoto wake unategemea nini? Kwanini uje hapa JF kuwatukana na kuwasimanga single mothers?
Hebu tujaribu kuvaa viatu vyao, kwa kiasi kikubwa single mothers ni matokeo ya kutokuwajibika kwetu, licha ya kwamba kuna wanawake wengine ni pasua kichwa sana, hadi ni ngumu kuishi nao
Nitumie msg PmMkuu weka namba tukubless
Sasa usiombe wakutane singomaza na mzaz mwenzie mwalimuSingle mothers na walimu ni tatizo hapa nchini.
Haha... Pipa na mfuniko. 🤣Sasa usiombe wakutane singomaza na mzaz mwenzie mwalimu
Tatizo kubwa zaidi ni wao na tamaa zao,hajakuoa unakubali kulambwa kavukavu hali ya kuwa unajua mzigo utaubeba wewe,Wamekuwa wa Masingle mother kwa upumbavu wao wenyewe.Tatizo kubwa zaidi niwaliowafanya kuwa "single mothers".
Wanawake wanaojiita "single mother" wanajidhalilisha wakidhani ni sifa.
Na hao ndo wengi zaidi.Na wanapopewa ushauri hawakuelewiSingle maza wengi wa sikuhizi ni zao la ukosefu wa akili. Mtu anajua kabisa kwamba hapendwi ila anajibebesha mimba makusudi. Akishazaa na mtu ambaye hampendi anakuwa mistreated mwisho anaachika bila kuolewa.
Wengine ndio hao anazaa na mume wa mtu kisa njaa zake za kiboya. Anainjoy kulipiwa kodi na kupewa ela za saluni. Anajihisi nae ni mke wa pili anabeba mimba huduma zikikata analia lia noki.
Chanzo cha u single mother ni zinaa!! Mwanamke anafanya ukahaba ana wanaume wa kudumu hawapungui 10 wakupita hawana idadi wenyewe wanaita kula vichwa a.k.a kudanga, money talks hapendwi mtu linapendwa pochi, wewe unajua mwanamke ni chama la wana, kila mtu anamuuzia ngono akishika mimba akikwambia yako ukubali kirahisi tu!!! Kwanza hakuna mwanaume anayekataa mtoto katika ndoa, wanawake msilaumu mmepewa mimba KATAENI KUPOKEA MIMBA HADI MUOLEWE, otherwise usimlaumu mtu akikataa mimba.Wanawake wamekuwa ni wahanga wakubwa wa mahusiano hapa chini ya jua.
Unampa mimba mwanamke, unakataa mimba, halafu kesho unategemea aweje kama sio single mother?
Mwanamke kafiwa na baba watoto wake unategemea nini? Kwanini uje hapa JF kuwatukana na kuwasimanga single mothers?
Hebu tujaribu kuvaa viatu vyao, kwa kiasi kikubwa single mothers ni matokeo ya kutokuwajibika kwetu, licha ya kwamba kuna wanawake wengine ni pasua kichwa sana, hadi ni ngumu kuishi nao