Wakuperuzi
JF-Expert Member
- Mar 31, 2023
- 2,348
- 5,841
Kijogoo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama anayefanya ni mmoja na wanaofanyiwa ni 10 upande upi unastahili marekebisho ili kunusuru hiyo haliUna point. Hilo ni tatizo la mashoga pia, wanalaumiwa wanaofanyiwa, wanaofanya na ndiyo waharibifu, wanapuyanga tu
Wanawake wamekuwa ni wahanga wakubwa wa mahusiano hapa chini ya jua.
Unampa mimba mwanamke, unakataa mimba, halafu kesho unategemea aweje kama sio single mother?
Mwanamke kafiwa na baba watoto wake unategemea nini? Kwanini uje hapa JF kuwatukana na kuwasimanga single mothers?
Hebu tujaribu kuvaa viatu vyao, kwa kiasi kikubwa single mothers ni matokeo ya kutokuwajibika kwetu, licha ya kwamba kuna wanawake wengine ni pasua kichwa sana, hadi ni ngumu kuishi nao
Kulelewa na single mother haifanyi single mother kuwa wanazingua hata huyo mamako aliwazingua babazako wakufikiaMtu kalelewa na single mother; Kila siku anaimba kataa ndoa bado ana guts za kumsema vibaya single mother. Hawa ni wehu wanapaswa kupuuzwa.
Nipo around mazee.
Tatizo kubwa ni wao kukubali kirahisi kudanganywa na wanaowafanya wawe single motherTatizo kubwa zaidi niwaliowafanya kuwa "single mothers".
Yeah mkuu,nasimamia furaha yangu kwanzaduuu kumbe ndio unamauzi hivi
Hapa ndipo utawashangaa wanawake, anafurahia kulipiwa kodi na kupewa upkeep!Single maza wengi wa sikuhizi ni zao la ukosefu wa akili. Mtu anajua kabisa kwamba hapendwi ila anajibebesha mimba makusudi. Akishazaa na mtu ambaye hampendi anakuwa mistreated mwisho anaachika bila kuolewa.
Wengine ndio hao anazaa na mume wa mtu kisa njaa zake za kiboya. Anainjoy kulipiwa kodi na kupewa ela za saluni. Anajihisi nae ni mke wa pili anabeba mimba huduma zikikata analia lia noki.
Unataka tutetee na mizoga?Mwishoni hapo
“licha ya kwamba kuna wanawake wengine ni pasua kichwa sana”
Bado umerudi kule kule sijaona ulipowatetea
Ana matatizo mengi huyo.Single mothers hapana!
Nina aunt yangu ni single mother wa watoto wa wili , kila mtoto na mzazi wake ni pasua kichwa kweli kweli, kutukana wanaume kwake sio jambo geni.
How walimu wawe tatizo hao madr ,mainjinia,wahasibu,walimu,wachumi wamefundishwa na naniSingle mothers na walimu ni tatizo hapa nchini.
Anatafuta huruma humu jukwaani maana masingo maza wamejaa teleWewe bado hujapigwa matukio na singo maza ndio maana unayatetea haya madubwasha...
Kama bado hajakuonesha kaburi la baba wa mtoto wake,bora ukalale kituo cha polisi kuliko kuoa singo maza....
Mimi kwa matukio niliyopigwa na singo maza hata nimkute anapigana na nyoka,nitamsaidia nyoka...
Labda akutane na mwanaume kitasa haswaUsingle unaambukizwa ukilelewa kwenye usingle huwezi jua umuhimu wa kuwa wawili
Wapumbavu sana wanawake wa aina hio. Mie sheria mwanamke ajitegemee kwanza kabla sijatia ziada. Sio mwanamke unamuita kuja kuliwa hata hela ya nauli hana its a very sorry life.Hapa ndipo utawashangaa wanawake, anafurahia kulipiwa kodi na kupewa upkeep!