Wanaume ndio chanzo cha ma single mother, lakini kashfa, dharau, matusi na kebehi husukumiwa wanawake. Tuwe na heshima kidogo

Sasa akikwambia umpe ujauzito atalea mwenyewe na wewe ndio umpe? Kwa hiyo hata kama ana uwezo wa kulea mwenyewe wewe kama mwanaume unajisikiaje uzao wako kuja duniani halafu haushughuliki nao?
Asilimia 75 ya mtoto ni wa mama zilizo baki ni za baba, na hii ndiyo maana mtoto kwa mama hakui ila kwa baba anakua na anatelekezwa tuu fresh na baba hawazi chochote
 
Kuna mwanamke ananisumbua sana anataka anizalie ila sitaki, simpendi hata kidogo na huwa sitaki ukaribu nae ila kama wiki mbili zimepita tulikutana town (hatukupanga ilitokea tu) tukasalimiana na tukaongea kidogo, bado alinikumbushia ishu ile ile na this time alidai atawajibika kulea mwenyewe.
 
Asilimia 75 ya mtoto ni wa mama zilizo baki ni za baba, na hii ndiyo maana mtoto kwa mama hakui ila kwa baba anakua na anatelekezwa tuu fresh na baba hawazi chochote

Basi wakiimba nani kama mama msi mind
 
Hakika umelenga mule mule. Mi ni mwanamke lkn kwenye ukweli usemwe tu. Tena unakuta kabisa anajua huyu bwana ni mume na ana familia yake. Anaahidiwa ooh subiri nitamuacha mke wangu nikuoe wewe kwa akili mbili anaachia mapaja akidhani anamkoa mke wa kwenhe ndoa kwa kuona anapendwa kumbe anajikomoa mwenyewe.
 
hahahahah anapigwa na kitu kizito sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…