Wanaume ni dhaifu na hawajiamini mbele ya wanawake

Umeelewa kweli mkuu swali nililo kuuliza ?
Unaelekea bado umetekwa na elements za ubeberu na ubepari!

Nimekujibu kulingana na madaa husika na sio swali lako kwakua swali lako linavishiria gandamizi vya mwanaume dhaifu mbele ya mwanamke!
 
Mtoa mada umetumia point nyepesi sana kutetea heading yako neno 'Dhaifu' lina maana zaidi ya ulivyoelezea hebu kachimbe vizuri madesa ujue maana ya udhaifu na relate kati ya mwanaume na mwanamke na ukielewa utakuja kuomba kufutwa kwa huu uzi
 
Feminists wanazidi kuongezeka nchi hii.
 
Unaelekea bado umetekwa na elements za ubeberu na ubepari!

Nimekujibu kulingana na madaa husika na sio swali lako kwakua swali lako linavishiria gandamizi vya mwanaume dhaifu mbele ya mwanamke!
Jitahidi kuji elimisha kwanza kabla ya kuandika thread humu jifunze kuhusu wanawake na jifunze pia kuhusu wanaume. udhaifu ulio nao wewe usiufanye kuwa udhaifu wa jamii nzima.

N.b: Pia kaa tambua kuwa mwanaume hapaswi na ni marufuku kwake yeye kujiaminisha ni dhaifu hii ni hasara kwa familia yake, tambua kuwa mwanaume ni imara na uimara wa mwanaume una anzia kichwa[ akilini ] mpaka mwili mzima[ nguvu ], mke na watoto hawato jihisi na amani kama wana baba dhaifu weka kichwani kwako hili na anza kujitambua kuanzia sasa kuwa wewe ni mwanaume na haupo special group kama walipo wanawake.
 
Kuna aibu na udhaifu

We umezungumzia aibu!!
Huwezi kuwa na aibu kama sio dhaifu
Aibu ni dalili kubwa ya udhaifu (psychological)
Na hata title umesema wanaume ni dhaifu hawajiamini mbele ya wanawake.
Sasa aibu si ndio kutojiamini kwenyewe?
 
labda wanaume wa Daslam.!
 
Mwanamke wa sasa atakutoa jasho broh!

Assuming mfano mdogo juzi kwenye ile ajali airhostess alivyopamba na majaliwa hadi kuufungua mlango wa ndege ilikuaje hebu jaribu kuvuta taswira ilikuaje kwenye tukio juu ya huyo mwanamke na ujasiri wake
Kwa taarifa yako tu aliyemuumba Ke mwenyewe alikiri dhahiri kuwa "KE NI KIUMBE DHAIFU"

Mi ni nani haswa hata nipingane na kauli yake Mungu?
 
Feminism [emoji706][emoji706]. Yan mwanaume umekaa unahaikweza mbavu (ya kushoto) eti iuzidi mwili. Mwanamke atabaki kuwa mbarara tu mpaka jua litapochomozea magharibi.
 
Mtoa mada umetumia point nyepesi sana kutetea heading yako neno 'Dhaifu' lina maana zaidi ya ulivyoelezea hebu kachimbe vizuri madesa ujue maana ya udhaifu na relate kati ya mwanaume na mwanamke na ukielewa utakuja kuomba kufutwa kwa huu uzi
Nimekupata vyema mkuu Singano jr ila hapo kwenye hii mada
Inaelekea mkuu binafsi nakuona kuwa hujiamini sana ukiwa na familia yako hata inakupelekea kuwatisha kwa ukali ilikuficha udhaifu wako licha ya kuwa unatambua unachokifanya sio sahihi.

Siri kubwa ya kuweza kujenga familia yenye furaha ni kuwa honest with them only na si kuwakoromea kila unapokua nao ili huwa inawajengea hofu na chuki so kuamakini na hili, Wewe ni sawa na baba anaerudi nyumbani halafu watoto wote wanakimbilia vyumbani kwa hofu hivi unaona hapo kutakua na upendo kweli au ni heshima ya usoni tu!
 
Mkuu kua na jitambue kuwa wewe ni nani na ni jinsia gani ?
 
Kuna mchungajii aliwahi sema mwanamke anaweza pita sokoni bila nguo, na kesho yake akarudi ameva vizurii akasifiwa na Kila mtuu ... Ila mwanaume hawezi rudia pita hapo tena hata nyasi ziotee pawe msituu hapiti kamwe
 
Huwezi kuwa na aibu kama sio dhaifu
Aibu ni dalili kubwa ya udhaifu (psychological)
Na hata title umesema wanaume ni dhaifu hawajiamini mbele ya wanawake.
Sasa aibu si ndio kutojiamini kwenyewe?
Aibu ni hali ya kuona (HAYA)

Udhaifu ni unyonge na huu unyonge unatokana na mabavu ambayo wengi wetu tumekua tukiyaonyesha mbele zao na kujikweza lkn inapofikia tu siku umekosa kidogo mbele yao huwa wanaanza na kukudharau na kisha unakua dhaifu mbele Yao.
 
Mkuu kua na jitambue kuwa wewe ni nani na ni jinsia gani ?
Wakiume na si dhaifu mbele yao kwa kua sina unyanyasaji wa kubepari natumia terminology sahihi kuwaelekeza hata wakiniona wanapata faraja lkn wewe mkuu utapata shida sana na hizi attitude zako za miaka ya Sabini(70) ambapo ilikua tanzania ya Giza!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…